MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
We ulikuwa mzembe tuNakazia. Sperm donors wafutiliwe mbali. By the way Mimi nina wajukuu na watoto wangu niliwaambia kabisa wawe waangalifu kuchagua girlfriend maana akimpa mimba ni lazima aoe. Sitaki wazazi walezi mimi. Ni marufuku kuchezea mabinti na kuacha bila sababu ya msingi. Na kama akiacha aachwe bila mtoto. Nilisimamia hili na vijana wangu wawili wameoa na ninawaombea hata nje wasizae maana Mimi Baba yao sina mtoto nje ya ndoa. Period.
Haha mkuu. Ni maadili na kujipangia tu. Sitaki kuacha watoto nje ya mama Furaha wangu. Ndiyo msimamo wangu na nilijiambia kabisa sitazaa nje nikiwa kijana au ndani ya ndoa. Na hii pamoja na nidhamu tuliyojengewa na wazazi wangu (Pumzikeni kwa Amani) lakini niliona kwa ndugu waliozaa nje inakuwa ngumu Sana watoto kuchangamana na wanawake wanalogana na kudhuru Sana watoto wa Wanawake wenzao. Kuzaa nje ni tunakaribisha invisible war kwa familia kwa mambo ya tamaa tu. Kwani ukizaa watoto hata 10 na mke mmoja kuna Shida gani? Ila kila mwanaume ana maamuzi yake jinsi anataka familia yake iwe hasa nidhamu.We ulikuwa mzembe tu
Huna hata katoto ka nje
Sasa una faida gani duniani
Habari wana jf kuna ishu inachanganya huku, kuna harusi miezi 3 ijayo sasa huyu binti anayeolewa anababa yake mzazi ambaye Hakushi naye alikuwa anaishi na mama yake wa mzazi wa kumzaaa na baba wa kufikia, Sasa kwenye malezi Baba wa kufikia ndo alikuwa ana muhudumia kila kitu na alikuwa anaishi kwake lakini Baba yake ambaye alikuwa na ndoa nyingine kahusikia kwenye malezi kiasi kidogo sana tena sana, na kwenda kwa Baba mzazi alikuwa ni likizo tuu kama 2 weeks anarudi kwa mama na baba wa kufikia.
Sasa kapata kigugumizi kuhusu wapi apeleke mchumba wake apeleke posa na pia wapi mahari ikatolewe pamoja na wapi afanyie send-off wake kwa Baba yake mzazi au malezi?
Baba mlezi kamwambia kuwa aende kule kwa Baba yake mzazi iringa. Ila binti anaona Baba yake mzazi hakuusika hata kwenye malezi alimuacha kwa mama yake akiwa na umri wa mwaka 1 na yeye kuoa mwanamke mwimgine. Kuna kipindi akimuomba hata pesa kidogo mzee anazungusha maneno tuu.
Sasa send off ifanyike iringa au dsm anapoishi na mzazi mlezi?
Na kama dsm nani aiandae sherehe hio?
Na kuna zawadi anataka kuotoa ya Alphard gari kwa Baba mlezi coz alimlea kama mwanae wa kumzaa bila kubagua na hata baada ya kumaliza chuo alimsaidoa kumtafutia kazi na pesa kidogo alimpa.
Na ikifanyika iringa zaiwadi ya gari ampe mlezi kule iringa.
KAONGEA NA WATU WENGI WAMEMWAMBIA KUWA AMSHILIKISHE TUU BABA MZAZI NA SIO BABA MLEZI. ITAONEKANA NI AIBU.
Respect [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Haha mkuu. Ni maadili na kujipangia tu. Sitaki kuacha watoto nje ya mama Furaha wangu. Ndiyo msimamo wangu na nilijiambia kabisa sitazaa nje nikiwa kijana au ndani ya ndoa. Na hii pamoja na nidhamu tuliyojengewa na wazazi wangu (Pumzikeni kwa Amani) lakini niliona kwa ndugu waliozaa nje inakuwa ngumu Sana watoto kuchangamana na wanawake wanalogana na kudhuru Sana watoto wa Wanawake wenzao. Kuzaa nje ni tunakaribisha invisible war kwa familia kwa mambo ya tamaa tu. Kwani ukizaa watoto hata 10 na mke mmoja kuna Shida gani? Ila kila mwanaume ana maamuzi yake jinsi anataka familia yake iwe hasa nidhamu.
Hii taarifa, wachangiaji wengi ni wale waliopitia hiyo changamoto.Habari wana jf kuna ishu inachanganya huku, kuna harusi miezi 3 ijayo sasa huyu binti anayeolewa anababa yake mzazi ambaye Hakushi naye alikuwa anaishi na mama yake wa mzazi wa kumzaaa na baba wa kufikia, Sasa kwenye malezi Baba wa kufikia ndo alikuwa ana muhudumia kila kitu na alikuwa anaishi kwake lakini Baba yake ambaye alikuwa na ndoa nyingine kahusikia kwenye malezi kiasi kidogo sana tena sana, na kwenda kwa Baba mzazi alikuwa ni likizo tuu kama 2 weeks anarudi kwa mama na baba wa kufikia.
Sasa kapata kigugumizi kuhusu wapi apeleke mchumba wake apeleke posa na pia wapi mahari ikatolewe pamoja na wapi afanyie send-off wake kwa Baba yake mzazi au malezi?
Baba mlezi kamwambia kuwa aende kule kwa Baba yake mzazi iringa. Ila binti anaona Baba yake mzazi hakuusika hata kwenye malezi alimuacha kwa mama yake akiwa na umri wa mwaka 1 na yeye kuoa mwanamke mwimgine. Kuna kipindi akimuomba hata pesa kidogo mzee anazungusha maneno tuu.
Sasa send off ifanyike iringa au dsm anapoishi na mzazi mlezi?
Na kama dsm nani aiandae sherehe hio?
Na kuna zawadi anataka kuotoa ya Alphard gari kwa Baba mlezi coz alimlea kama mwanae wa kumzaa bila kubagua na hata baada ya kumaliza chuo alimsaidoa kumtafutia kazi na pesa kidogo alimpa.
Na ikifanyika iringa zaiwadi ya gari ampe mlezi kule iringa.
KAONGEA NA WATU WENGI WAMEMWAMBIA KUWA AMSHILIKISHE TUU BABA MZAZI NA SIO BABA MLEZI. ITAONEKANA NI AIBU.
Nimekuelewa sanaaaaaaa.Respect [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Kabla ya kuchangia, unatakiwa kutafakari kwa kina na kumuomba mwenyezi Mungu akupatie busara katika kulikamua.Habari wana jf kuna ishu inachanganya huku, kuna harusi miezi 3 ijayo sasa huyu binti anayeolewa anababa yake mzazi ambaye Hakushi naye alikuwa anaishi na mama yake wa mzazi wa kumzaaa na baba wa kufikia, Sasa kwenye malezi Baba wa kufikia ndo alikuwa ana muhudumia kila kitu na alikuwa anaishi kwake lakini Baba yake ambaye alikuwa na ndoa nyingine kahusikia kwenye malezi kiasi kidogo sana tena sana, na kwenda kwa Baba mzazi alikuwa ni likizo tuu kama 2 weeks anarudi kwa mama na baba wa kufikia.
Sasa kapata kigugumizi kuhusu wapi apeleke mchumba wake apeleke posa na pia wapi mahari ikatolewe pamoja na wapi afanyie send-off wake kwa Baba yake mzazi au malezi?
Baba mlezi kamwambia kuwa aende kule kwa Baba yake mzazi iringa. Ila binti anaona Baba yake mzazi hakuusika hata kwenye malezi alimuacha kwa mama yake akiwa na umri wa mwaka 1 na yeye kuoa mwanamke mwimgine. Kuna kipindi akimuomba hata pesa kidogo mzee anazungusha maneno tuu.
Sasa send off ifanyike iringa au dsm anapoishi na mzazi mlezi?
Na kama dsm nani aiandae sherehe hio?
Na kuna zawadi anataka kuotoa ya Alphard gari kwa Baba mlezi coz alimlea kama mwanae wa kumzaa bila kubagua na hata baada ya kumaliza chuo alimsaidoa kumtafutia kazi na pesa kidogo alimpa.
Na ikifanyika iringa zaiwadi ya gari ampe mlezi kule iringa.
KAONGEA NA WATU WENGI WAMEMWAMBIA KUWA AMSHILIKISHE TUU BABA MZAZI NA SIO BABA MLEZI. ITAONEKANA NI AIBU.
Kabla ya kuchangia, unatakiwa kutafakari kwa kina na kumuomba mwenyezi Mungu akupatie busara katika kuling'amua.
Kiuhaisia baba yake mzazi yupo,hiyo zawadi ya gari iende Kwa baba mlezi,ila kwenye eneo la baba mzazi mbingu zinafahamu kuwa baba mzazi ni nani.usiingia kwenye changamoto za wazazi ,yeye afanye kulingana na protocol zinavyohitaji.Baba mzazi asimane mahali pake
Mtoto alihitaji kulelewa sio kuzaliwa.
Alizaliwa bila kupenda,akapenda apate malezi Bora.
So hapo baba mlezi ndo muhusika na siye mzazi.
Kizazi chetu kinapenda sanaa acceptance sanaaaHata mwenyewe nimemwambia hivyo.
Ili kuondoa sintofahamu Aachane na mambo ya sendoff afunge tuu harusi na mume wake mtarajiwa . Tatizo mabinti kupenda show off ndio inachangia kuongeza haya mambo ya sintofahamuHabari wana jf kuna ishu inachanganya huku, kuna harusi miezi 3 ijayo sasa huyu binti anayeolewa anababa yake mzazi ambaye Hakushi naye alikuwa anaishi na mama yake wa mzazi wa kumzaaa na baba wa kufikia, Sasa kwenye malezi Baba wa kufikia ndo alikuwa ana muhudumia kila kitu na alikuwa anaishi kwake lakini Baba yake ambaye alikuwa na ndoa nyingine kahusikia kwenye malezi kiasi kidogo sana tena sana, na kwenda kwa Baba mzazi alikuwa ni likizo tuu kama 2 weeks anarudi kwa mama na baba wa kufikia.
Sasa kapata kigugumizi kuhusu wapi apeleke mchumba wake apeleke posa na pia wapi mahari ikatolewe pamoja na wapi afanyie send-off wake kwa Baba yake mzazi au malezi?
Baba mlezi kamwambia kuwa aende kule kwa Baba yake mzazi iringa. Ila binti anaona Baba yake mzazi hakuusika hata kwenye malezi alimuacha kwa mama yake akiwa na umri wa mwaka 1 na yeye kuoa mwanamke mwimgine. Kuna kipindi akimuomba hata pesa kidogo mzee anazungusha maneno tuu.
Sasa send off ifanyike iringa au dsm anapoishi na mzazi mlezi?
Na kama dsm nani aiandae sherehe hio?
Na kuna zawadi anataka kuotoa ya Alphard gari kwa Baba mlezi coz alimlea kama mwanae wa kumzaa bila kubagua na hata baada ya kumaliza chuo alimsaidoa kumtafutia kazi na pesa kidogo alimpa.
Na ikifanyika iringa zaiwadi ya gari ampe mlezi kule iringa.
KAONGEA NA WATU WENGI WAMEMWAMBIA KUWA AMSHILIKISHE TUU BABA MZAZI NA SIO BABA MLEZI. ITAONEKANA NI AIBU.
Sio mimi ni rafiki yangu inamuhusuSijaona sehemu baba alikimbia majukumu,huyo mlezi anavyokwambia nenda kwa baba usidhani ni mjinga,mahari yako haiwezi kumwongezea chochote,ye alifanya sehemu yake kama mlezi,