Ushauri: Nataka kuacha kula wanga kwa mwaka mzima

Ushauri: Nataka kuacha kula wanga kwa mwaka mzima

Yote ni matokeo tu.
Nafanya subtitling ya mapractioner wa Marekani na Canada, yani kila kitu tunachokula wanasema ni sumu, bado wanasema tunafanye sijui chanting, yoga, sijui madude gani na kusisitiza tule sana viungo na tujiepushe na vyakula vyenye gluten na gmo.
Mambo mengi yanaweza kuwa reversed hata kisukari according to them
Achana nao wapuuzi tu hao.

Wazee wwtu zamani walikula sana wanga hawakuwa na maobesity na visukari vilikuwa vichche.

Wazee wetu zamani walikunywa sana miti shamba na wala figo hazikupata shida ndio maana waliishi miaka mingi sana.
 
Nakazia..
Achana nao wapuuzi tu hao.

Wazee wwtu zamani walikula sana wanga hawakuwa na maobesity na visukari vilikuwa vichche.

Wazee wetu zamani walikunywa sana miti shamba na wala figo hazikupata shida ndio maana waliishi miaka mingi sana.
 
Ndio maana nilikwambia toka Mwanzo kabisa kwamba wewe ni kichaa.
Wewe ni mgonjwa wa akili. Huna unachoeleza zaidi ya majigambo na kashifa. Hebu nitolee shida zako hapa. Hapa sio sehemu ya kuja kutoa stress zako. Jiheshimu punguani weye.
 
Achana nao wapuuzi tu hao.

Wazee wwtu zamani walikula sana wanga hawakuwa na maobesity na visukari vilikuwa vichche.

Wazee wetu zamani walikunywa sana miti shamba na wala figo hazikupata shida ndio maana waliishi miaka mingi sana.
Wazee wa zamani hawakuwa na lifestyle tunayoishi sisi. Tukianza na baba yangu tu hakuwa sawa na babu. My babu hard to work toughly to earn a living. Alikua fundi na mkulima na mwindaji maana alimiki bunduki.
Unlike my dad, who was a govt employee. Hakutumia nguvu kupata kipato. Nakumbuka shambani alikua anawalipa vibarua walime. Same to me. Nimeajiriwa sifanyi kazi za nguvu...blue collar.

Shida sio kula wanga mwingi. Shida ni matumizi ya huo wanga baada ya kuula. Unaufanyia nini huo wanga?
 
Wazee wa zamani hawakuwa na lifestyle tunayoishi sisi. Tukianza na baba yangu tu hakuwa sawa na babu. My babu hard to work toughly to earn a living. Alikua fundi na mkulima na mwindaji maana alimiki bunduki.
Unlike my dad, who was a govt employee. Hakutumia nguvu kupata kipato. Nakumbuka shambani alikua anawalipa vibarua walime. Same to me. Nimeajiriwa sifanyi kazi za nguvu...blue collar.

Shida sio kula wanga mwingi. Shida ni matumizi ya huo wanga baada ya kuula. Unaufanyia nini huo wanga?
Je huyo babu yako alikufa na miaka mingapi ?

Au kama hajafa ana miaka mingapi sasa ?
 
Parachichi ni protein bdo ataongeza mwili
No parachichi ni nzuri sana kwa mtu anaefanya diet. Good source of protein and also fiber.
Asubuhi huwa nakula nusu parachichi + mayai mawili ya kukaanga, bacon na slice moja ya brown bread nashushia na glass moja ya maziwa fresh.
Hapo nashinda siku nzima sijala kitu.
Nakunywa maji tu kwa wingi. Nimefanikiwa kupungua zaidi ya kilo ishirini + kitambi kimepotea kabisa
 
Habari wana jamvi.

Kijana wenu nikiwa na umri wangu wa miaka 33 kamili, nimedhamiria kwa hiyari yangu mwenyewe, bila kushurutishwa wala kushawishiwa na mtu yeyote; kuacha kula kabisa vyakula vyenge wanga. Vyakula vyenye wanga kwa wingi ni kama mahindi, mpunga, mihogo, viazi, magimbi, ngano, mtama n.k

Inaaminika kisayansi vyakula hivi vikitumika kwa wingi vinasababisha sana kitambi na unene, kisukari na magonjwa ya moyo.

Juzi Jumatatu, 21.03.22 nikaanza movement yangu bila kuwa na mpango maalum. Asubuhi sikujua ntakula nini...mpaka imefika saa 5 sijala kitu. Sehemu za kula zote zina vitafunwa tulivyovizoea maandazi, chapati, vitumbua, mikate, viazi, mihogo and the likes. Ikafika saa 7 njaa inauma vibaya sana mpaka nikahisi kutetemeka mwili.

Nikajisemea cha kufia nini? Nikala zangu dona safi, nyama, maharage na spinach. Baadae nikawa nakunywa tu maji.

Sasa najiona kabisa sina plan na sielewi hii game inachezwaje. Najua humu kuna wazoefu wa haya mambo. Naomba mnisaidie wenzangu msiokula wanga ama heavy meals mnafanyaje?

Mnakula nini hasa? Na mliishindaje njaa hizi siku za mwanzo mpaka tumbo lizoee? Maana ile juzi nilihisi mpaka kizungu zungu.
Mimi napenda sana nyama iwe ya kuku, ng'ombe, mbuzi, kuku n.k. Ndio udhaifu wangu mkubwa.

Nipeni ushauri wadau. Hili ndio lengo la uzi.
Asanteni.
NB: sina ugonjwa wowote unaonizuia kula chochote.
Niliacha kula wanga( mara mmoja mmoja nakula) nimepungua sana sana. Nakunywa capuchino asubuhi, mchana salads tofauti, nazitia Thunfisch, kuku au beef, yogurt matunda na maji mengi.
 
Carbs mwilini hugeuzwa kuwa simple sugars tena ndio zigeuzwe energy. So kuna alternatives
Usahihi ni Kwamba all carbs food building blocks zake ni glucose, so ukila wali, ugali and other carbs food lazima zimeng'enywe into simple sugars (glucose) ndiyo viweze kuwa absorbed into the blood stream. Sasa pale ambapo kiwango cha sugar kimezidi mwilini then inabadilishwa kwenda glycogen ambayo inaweza kuwa stored mwilini kama fatty deposits. Mwili ukikosa tena carbs then hii glycogen inakuwa converted back to simple sugar.
 
No parachichi ni nzuri sana kwa mtu anaefanya diet. Good source of protein and also fiber.
Asubuhi huwa nakula nusu parachichi + mayai mawili ya kukaanga, bacon na slice moja ya brown bread nashushia na glass moja ya maziwa fresh.
Hapo nashinda siku nzima sijala kitu.
Nakunywa maji tu kwa wingi. Nimefanikiwa kupungua zaidi ya kilo ishirini + kitambi kimepotea kabisa
Seems your diet comprising of too much lipids and fats.
 
No parachichi ni nzuri sana kwa mtu anaefanya diet. Good source of protein and also fiber.
Asubuhi huwa nakula nusu parachichi + mayai mawili ya kukaanga, bacon na slice moja ya brown bread nashushia na glass moja ya maziwa fresh.
Hapo nashinda siku nzima sijala kitu.
Nakunywa maji tu kwa wingi. Nimefanikiwa kupungua zaidi ya kilo ishirini + kitambi kimepotea kabisa

Kula chakula fanya mazoezi
 
Back
Top Bottom