Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila Shaka utakuw unafanya mazoezi hiyo diet bila mazoezi kipengeleNo parachichi ni nzuri sana kwa mtu anaefanya diet. Good source of protein and also fiber.
Asubuhi huwa nakula nusu parachichi + mayai mawili ya kukaanga, bacon na slice moja ya brown bread nashushia na glass moja ya maziwa fresh.
Hapo nashinda siku nzima sijala kitu.
Nakunywa maji tu kwa wingi. Nimefanikiwa kupungua zaidi ya kilo ishirini + kitambi kimepotea kabisa
Ningekuwa na mamlaka ningezuia uuzaji wa unga wa mahindi iwe dona au sembe bila kuwa na mchanganyiko mwingine. Kuna wakat inabid uvuke mstari wa utash wa weng wajinga kuwasaidia wenyewe. Tatzo la utapiamlo mkoa wa iringa kuwa juu ni la kiufaham zaid kuliko ukosef wa nini kiliwe! Ndo mana nchi zinazohangaikia afya za akili za watu wao wako makin na ingredients za bidhaa kuliko uchu wa kodi. Hadi maji yanawekwa virutubisho vya IQ!Achana na mahindi mkuu, si unaona jinsi akili za watanzania zimekaa upande upande?
Jitahidi sana kupunguza kiwango,kama ni wali au ugali kula kidogo sana,usishibe na usiku kula matunda pekee.Habari wana jamvi.
Kijana wenu nikiwa na umri wangu wa miaka 33 kamili, nimedhamiria kwa hiyari yangu mwenyewe, bila kushurutishwa wala kushawishiwa na mtu yeyote; kuacha kula kabisa vyakula vyenge wanga. Vyakula vyenye wanga kwa wingi ni kama mahindi, mpunga, mihogo, viazi, magimbi, ngano, mtama n.k
Mwenzako nilijitia naparamia GYM kufika Gym piga piga kama week hivi akaja GYM MASTER na ratiba lake la misosi,nikaona kbisa huyu mwamba ananichukulia mimi wa kishua sanaaa.Usemalo ni sahihi. Mara nyingi nakula samaki au nyama jioni na matunda. Bei ya samaki mjini hapa ni balaa. Mlo kama huo mdogo tu usioshibisha sometimes inazidi hadi elfu 5. Wakati kuna wali wa buku jero.
Japo mara nyingi mimi hula nyumbani. Lakini kwa sasa wife si mtu wa kukaa sana home. So ntakuwa naamua mwenyewe nikale wapi.
Unapika kazini au hizi mboga unaziagiza toka wapi?Saa saba napata mboga za majani
Hizi mboga nachukua restaurant iliyo karibu na ofc yanguUnapika kazini au hizi mboga unaziagiza toka wapi?
wanauza mboga kama mboga tu hawana shida?Hizi mboga nachukua restaurant iliyo karibu na ofc yangu
Nashukuru hawa wanakubali kuniuzia mboga tu, bila wali au ugali.wanauza mboga kama mboga tu hawana shida?
mimi nina changamoto hiyo,wanankatalia kuniuzia asee
We jamaa kama umeniona vile 😅Jiandae Financialy uwe sawa sawa pia, Watumiaji wanga wengi pia Sababu kuu ni "saving" akitandika chapati na supu hapo mnakutana jioni kwenye ubwabwa. AU kama n familia Marage robo mahindi nusu,Makande haya hapa siku nzima na kesho yake chai yapo...
Ku replace wanga yakubidi kamfuko kakae vizuri maana kula mpk ushibie protini usipojipanga utalalamika mara 5 kuwa maisha n magumu,wakat ugali wa buku upo tena na mboga kama zoteeee.
Seems your diet comprising of too much lipids and Pia I eat a lot vegetables and fruits
Nafanya mazoezi kidogo sana like 2 or three times per week. Pia nakula sana mboga za majaniBila Shaka utakuw unafanya mazoezi hiyo diet bila mazoezi kipengele
Ndugu dawa ya kukata kitambi ni kupunguza kula wanga tu. Kula protein kwa wingi na health fat bila kusahau mboga za majani na matunda.Kula chakula fanya mazoezi