Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha mkuu umenifurahisha sana Aisee Eti anakimbilia majini mvua ikianza nyesha!Kenge! Kuna baadhi ya maeneo wanakula hawa! Niliwahi kuishi maeneo flani wanakula sana na hawaiti kenge wana jina lao...
Nilitamani kuonja ila nafsi ikasita nikifikiria vile alivyo na akili yake nusu ya kukimbia mvua kuingia mtoni nikaona hapana...
KichWa bOX
Acha kutisha watu mi nimekula kenge sana kipindi nipo pemba adhurike adhurike nini we kama hujawahi kutumia kitu usiwatishe wengine.Tena mwanagu kama upo dar nipm niwe nakuja kutafuna kenge mkuu mi ntagharamia ndizi za kuchomaJaribu kula kama hujazulika,endelea kuwala na kama ikwezekana tengeneza banda ufuge kabisa ili uwale vizuri.
Pumbaf zako,jinga sana Wewe jamaaa yaani umenifanya nicheke kifala sana uliposema jamii za Phisi nikaanza kutafakari ndio jamii za wapi hizo au ni zile za wa Galatia wa kale nikakaa nikafikiiiiriaaaaa kumbe umemaanisha yule kiumbe ndugu za Watani zetu kule GeitaMkuu ww ni jamiii ya fithi? Hutaki kupitwa.
HahahahaKenge! Kuna baadhi ya maeneo wanakula hawa! Niliwahi kuishi maeneo flani wanakula sana na hawaiti kenge wana jina lao...
Nilitamani kuonja ila nafsi ikasita nikifikiria vile alivyo na akili yake nusu ya kukimbia mvua kuingia mtoni nikaona hapana...
KichWa bOX
Kuna sehemu nime mtisha?Acha kutisha watu mi nimekula kenge sana kipindi nipo pemba adhurike adhurike nini we kama hujawahi kutumia kitu usiwatishe wengine.Tena mwanagu kama upo dar nipm niwe nakuja kutafuna kenge mkuu mi ntagharamia ndizi za kuchoma
Take it easy broKuna sehemu nime mtisha?
Unajishtukia!!! mbona nipo normal ww tu na wenge lako.Take it easy bro
Ani ukiambiwa una akiki za kenge pigana.. Kenge acha tu kuna siku natembea njiani ghafla huyu hapa mbele,[emoji3][emoji3] ani nilishtuka nikawa nakimbia nae alishtuka alitoka nduki ani nikikumbuka mimi na yeye nani muoga nabaki tu nacheka..hahahaha mkuu umenifurahisha sana Aisee Eti anakimbilia majini mvua ikianza nyesha!
Ama kweli kenge Kawa kenge kweli kweli!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wanaita mbuluKenge! Kuna baadhi ya maeneo wanakula hawa! Niliwahi kuishi maeneo flani wanakula sana na hawaiti kenge wana jina lao...
Nilitamani kuonja ila nafsi ikasita nikifikiria vile alivyo na akili yake nusu ya kukimbia mvua kuingia mtoni nikaona hapana...
KichWa bOX
Sidhani ila maeneo ya Kibiti kwa Wandengereko wana jina lao! Halafu wale wanakula hadi nyani ani duh!!Wanaita mbulu
Wewe hebu acha uongo. Mamba ni close family member wa jamii ya ndege na si mijusi kama kenge.Nyama ya mamba inaliwa na inauzwa ghali Sana kg 1 ni 30,000/= pale kibaha kwa mzungu Sasa mamba na kenge ni ndugu je Kuna tatizo naomba ushauri.
Naishi pembeni ya mto Kuna kenge wengi Sana.
Hilo jina sio "Kuku makucha"Kenge! Kuna baadhi ya maeneo wanakula hawa! Niliwahi kuishi maeneo flani wanakula sana na hawaiti kenge wana jina lao...
Nilitamani kuonja ila nafsi ikasita nikifikiria vile alivyo na akili yake nusu ya kukimbia mvua kuingia mtoni nikaona hapana...
KichWa bOX