Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Mimi nimefanya kazi private company tena international walikuwa wanalipa vizuri sana ila kwa fitna zile kuna siku watakupiga tukio hutaamini nina visa vingi ila nakushauri nenda serikalini ukithibitishwa chukua mkopo kama million 12 fanya bussness endelea kupiga kazi usiwe kama wale washamba anachukua mkopo wa kwanza kijana mdogo ananunua gari mwingine anajenga tena nyumba ya kukaa mbali na anapofanyia kazi nenda serikalini chukua mkopo fanya bussness sasa huo mkataba wa miaka mitatu ni bank gani itakupa mkopo labda oya microfinance siku ukija kuwa na familia kama hauna utakuja kunielewa vizuri.
Nakazia hoja: Labda kwa kumwongezea uzoefu; mm nimefanya kazi na Shirika la kazi duniani (ILO) mshahara mnono (ni x 3 mshahara serikalini) na hakuna kuchelewesha malipo, usafiri ni personal driving i.e. unakabidhiwa gari L.C hard top mali ya ILO uitumie kwa mujibu wa taratibu zao lakini ilifika mahali nikaOpt kuondoka kutokana na udhalilishaji; yan mtu mweusi unaonekana kama hujui kitu, huna lolote, ni umaskini wako tu ndo umekuleta hapa......