Ushauri: Niende Serikalini au nibaki private sector

Ushauri: Niende Serikalini au nibaki private sector

Mimi nimefanya kazi private company tena international walikuwa wanalipa vizuri sana ila kwa fitna zile kuna siku watakupiga tukio hutaamini nina visa vingi ila nakushauri nenda serikalini ukithibitishwa chukua mkopo kama million 12 fanya bussness endelea kupiga kazi usiwe kama wale washamba anachukua mkopo wa kwanza kijana mdogo ananunua gari mwingine anajenga tena nyumba ya kukaa mbali na anapofanyia kazi nenda serikalini chukua mkopo fanya bussness sasa huo mkataba wa miaka mitatu ni bank gani itakupa mkopo labda oya microfinance siku ukija kuwa na familia kama hauna utakuja kunielewa vizuri.

Nakazia hoja: Labda kwa kumwongezea uzoefu; mm nimefanya kazi na Shirika la kazi duniani (ILO) mshahara mnono (ni x 3 mshahara serikalini) na hakuna kuchelewesha malipo, usafiri ni personal driving i.e. unakabidhiwa gari L.C hard top mali ya ILO uitumie kwa mujibu wa taratibu zao lakini ilifika mahali nikaOpt kuondoka kutokana na udhalilishaji; yan mtu mweusi unaonekana kama hujui kitu, huna lolote, ni umaskini wako tu ndo umekuleta hapa......
 
Sasa sijui unabisha nini
Sijakubaliana na wazo lako eti huko unazurura...... Huko kuna upimaji wa kiwango cha ufanisi wa kazi na unakuwa chini ya mkuu wa Idara (immediate boss wako) atakayekusimamia kuona unatekeleza majukumu uliyopangiwa kwa mujibu wa Job description yako. Zaidi tena, ni lazima uandike Taarifa ya kazi i.e. kile ulichokifanya kwa mwezi mzima. Hakuna uzururaji kivile ila sikatai Utegaji upo.
 
Kuna classmate wangu alipataga kazi halmashauri mwaka 2023 ila hakwenda kwa kigezo cha kuwa private amekaa baada ya miezu kumi na moja akaona mambo ya private hayaendi akaenda kulia utumishi kuwa alikuwa anaumwa sana ndo maana hakwenda kuripoti, utumishi wakampa barua. Na yeye aliluwa amepangiwa Tabora pia
 
Wakuu habari, niliomba kazi taasisi flani ya umma (utumishi) sikupata nafasi jina langu likahifadhiwa kwenye database juzi kati kuna mkeka wa kuitwa kazini umetoka na jina langu likiwemo kwenye kazi za halmashauri. Ila kwa sasa kuna taasisi binafsi nafanya kazi ambayo nalipwa vizuri sana nimefuatilia mshahara wa hapa ni zaidi ya mara mbili ya mshahara huo wa serikalini na haki nyengine zote za mwajiriwa napata kama bima n.k ila changamoto ya hapa private mkataba wao ni wa miaka 3 ila unarenew kila mkataba unapoisha hawana shida.

Serikalini nimepangiwa Tabora na mimi makazi yangu miaka yote ni Dar sasa nikienda huko naenda kuanza moja.

Nilifikiria kutoenda huko ila kuna mtu kaniambia nisipoenda utumishi jina langu litakuwa blacklisted na sitopata tena nafasi nyengine ya kuingia serikalini maisha yangu yote.

Kuna ukweli wowote juu ya hili au nifanye nini wakuu I'm so confused nakosa usingizi kabisa.
Tabora nzega ni pazuri tu pia kwa kufanya maisha na swala la kuanza upya sio issue babe mizigo yako yote uje uendeleze ulipoishia
Labda kama una miladi huko dar ambayo unaona ikija nayo nzega itakufa bas bas huko huko ila kama unazungumzia vitu vya kawaida tu toka huko njoo tabira kwa speed ya ngiri bro
Chance hii haitakuja mara mbili Mechanical tupo wengi tu tunaotaman kupata kazi serikalini ww umepata gap ishi nalo
Waza tu baada ya contract yako kuishaje utarenew na ikitokea usiporenew itakuaje
Jitafakari mkuu nenda kachukue barua yako.
 
Wakuu habari, niliomba kazi taasisi flani ya umma (utumishi) sikupata nafasi jina langu likahifadhiwa kwenye database juzi kati kuna mkeka wa kuitwa kazini umetoka na jina langu likiwemo kwenye kazi za halmashauri. Ila kwa sasa kuna taasisi binafsi nafanya kazi ambayo nalipwa vizuri sana nimefuatilia mshahara wa hapa ni zaidi ya mara mbili ya mshahara huo wa serikalini na haki nyengine zote za mwajiriwa napata kama bima n.k ila changamoto ya hapa private mkataba wao ni wa miaka 3 ila unarenew kila mkataba unapoisha hawana shida.

Serikalini nimepangiwa Tabora na mimi makazi yangu miaka yote ni Dar sasa nikienda huko naenda kuanza moja.

Nilifikiria kutoenda huko ila kuna mtu kaniambia nisipoenda utumishi jina langu litakuwa blacklisted na sitopata tena nafasi nyengine ya kuingia serikalini maisha yangu yote.

Kuna ukweli wowote juu ya hili au nifanye nini wakuu I'm so confused nakosa usingizi kabisa.
Private job security ndogo, pressure kubwa sana, na unatumika ipasavyo kwa kile unacholipwa. BTW sikiliza moyo wako
 
Nakazia hoja: Labda kwa kumwongezea uzoefu; mm nimefanya kazi na Shirika la kazi duniani (ILO) mshahara mnono (ni x 3 mshahara serikalini) na hakuna kuchelewesha malipo, usafiri ni personal driving i.e. unakabidhiwa gari L.C hard top mali ya ILO uitumie kwa mujibu wa taratibu zao lakini ilifika mahali nikaOpt kuondoka kutokana na udhalilishaji; yan mtu mweusi unaonekana kama hujui kitu, huna lolote, ni umaskini wako tu ndo umekuleta hapa......
Private company hapana ni fitna watu wanarogana kuja jamaa alikuwa quality control kwenye hyo company ya mwanzoni niliyokuwa nafanyia kazi alikuwa na permanent contract jamaa alikuwa na msimamo sana kwakuwa yeye ni qc basi alikuwa kuna baadhi ya products ana zi reject walikuja kumuundia zengwe wakaja wakamsainisha new contract ambayo alikuwa analipwa mara mbili ya mshahara wake masikini hakusoma terms of contract basi akasaini kumbe ule mkataba mpya una sehemu una terminate mkataba wake wa permanent na aliopewa mpya ni wa mwaka mmoja yeye kaangalia hela tu mwaka ulivyoisha wakamla kichwa jamaa hakwenda mahakamani wala wapi akasema namwachia mungu ila alipoondoka akatuambia kuweni makini ikitokea kazi ombeni kweli niliondoka na wenzangu wengine bila mkataba kuisha baada ya kupata kazi sehemu nyingine mpaka leo mtu akiwa analingalisha eti serikalini na private kwasababu ya pesa naona hana tofauti na mwanamke anayeangalia mwanaume mwenye pesa wakati anataka kuolewa.
 
Private job security ndogo, pressure kubwa sana, na unatumika ipasavyo kwa kile unacholipwa. BTW sikiliza moyo wako
Pia Private mambo yanabadilika, kuna kipindi kampuni profit inashuka, na hapo ndo utaona punguza punguza ya kampuni...kwa ushauri wangu nenda Serikalini. Ila nenda pia ukajiendeleze kielimu na maarifa. Mafanikio ni mchakato
 
Private company hapana ni fitna watu wanarogana kuja jamaa alikuwa quality control kwenye hyo company ya mwanzoni niliyokuwa nafanyia kazi alikuwa na permanent contract jamaa alikuwa na msimamo sana kwakuwa yeye ni qc basi alikuwa kuna baadhi ya products ana zi reject walikuja kumuundia zengwe wakaja wakamsainisha new contract ambayo alikuwa analipwa mara mbili ya mshahara wake masikini hakusoma terms of contract basi akasaini kumbe ule mkataba mpya una sehemu una terminate mkataba wake wa permanent na aliopewa mpya ni wa mwaka mmoja yeye kaangalia hela tu mwaka ulivyoisha wakamla kichwa jamaa hakwenda mahakamani wala wapi akasema namwachia mungu ila alipoondoka akatuambia kuweni makini ikitokea kazi ombeni kweli niliondoka na wenzangu wengine bila mkataba kuisha baada ya kupata kazi sehemu nyingine mpaka leo mtu akiwa analingalisha eti serikalini na private kwasababu ya pesa naona hana tofauti na mwanamke anayeangalia mwanaume mwenye pesa wakati anataka kuolewa.
Aisee! Kumbe ww pia unao uzoefu na hao watu. Kwa bahati mbaya au tuseme kwa kutokujua, vijana wengi baadhi yao wanaangalia hapa karibu na kiasi cha hela atakachopata ndani ya muda mfupi na kusahau kwamba siku zinakimbia mno na mabadiliko ni mengi. Hao watu hawaangalii makunyanzi. Private Sector siku za mwanzoni utaona kama umefanikisha lakini baadaye wanakubadilikia.
Asante kwa kushare uzoefu wako. Huyo bwana 2in1 kama atatulia na kuzisoma comment kwa umakini atakuwa amejifunza kitu hapo.
 
1.Niliomba taasisi kubwa ya serikali mzee na ningepata huko nisingejishauri kwa chochote ningeenda sema nilikosa nafasi jina likabaki kwenye database ndio wamenipangia huko halmashauri sahv ambapo sikuombea ajira nimepangiwa tu
2.Mechanical Engineer
Mdogo wangu nikwambie ukweli tu.
Kama hiyo kazi ya serikali ingekuwa ni kwenye taasisi kama EWURA,TANAPA,BOT,TPDC ,TAZAMA hapo sawa ningekushauri uende serikalini lakini kwa hiyo kazi ya halmashauri ni kwenda kujitia umaskini tu na kibaya zaidi kwa hiyo fani yako hautajifunza chochote cha maana zaidi ya kuwa na maneno mengi kama dalali.
Kwa hiyo fani yako ukienda halmashauri utaenda kuwa fundi magari kwenye gereji yao ambayo huwa haipo active kivile maana gari zao zingine huwa wanazipeleka Temesa kwa ajili ya matengenezo.
Mwisho wa siku ndoto yako itakuwa tu uwe Supervisor wa gereji uanze kugombania cheo na wazee wakupige kipapai achana napo huko hakufai kabisa endelea kufanya private ili uwe smart kwenye kazi zako
 
Serikalini ni Job security tu,hasara yake ni kuwa unabweteka kuona kuwa bado una muda mrefu kazini,pili kuna mambo ya transfer za mara kwa mara,hapo Private ukikomaa kwakuwa pia mindset yako inasema "chochote kinaweza tokea at anytime" unaweza kukuta ndani ya muda mfupi umefanya mambo ya kutisha...
 
Serikalini tangu kuingie ma E GOVERNMENT serikali sio unyama siku hizi baki private utanishukuru
 
Mdogo wangu nikwambie ukweli tu.
Kama hiyo kazi ya serikali ingekuwa ni kwenye taasisi kama EWURA,TANAPA,BOT,TPDC ,TAZAMA hapo sawa ningekushauri uende serikalini lakini kwa hiyo kazi ya halmashauri ni kwenda kujitia umaskini tu na kibaya zaidi kwa hiyo fani yako hautajifunza chochote cha maana zaidi ya kuwa na maneno mengi kama dalali.
Kwa hiyo fani yako ukienda halmashauri utaenda kuwa fundi magari kwenye gereji yao ambayo huwa haipo active kivile maana gari zao zingine huwa wanazipeleka Temesa kwa ajili ya matengenezo.
Mwisho wa siku ndoto yako itakuwa tu uwe Supervisor wa gereji uanze kugombania cheo na wazee wakupige kipapai achana napo huko hakufai kabisa endelea kufanya private ili uwe smart kwenye kazi zako
Umesema vizuri ila cjui unazizungumzia Halmashauri za kipindi kipi. Kwa sasa hivi 2025; Halmashauri kumechangamka sio kama enzi zile. Kwa Taaluma ya mtoa mada, huko Halmashauri wajibu wake ni pamoja na kumshauri mkubwa wake kuidhinisha manunuzi ya vipuri vya mitambo lakini pia zipo fursa nyingine nyingi zenye malipo a.k.a mbali na mshahara. Halafu kuna muda mwingi wa "kujiongeza" (personal projects). Changamoto iliyopo Halmashauri ni pale mwanzoni kabla mtu hujayasoma mazingira na kugundua ramani au pale mtu esp.new comers wanapoangukia mikononi mwa makomredi njaa pangu pakavu tia mchuzi.
 
Aisee! Kumbe ww pia unao uzoefu na hao watu. Kwa bahati mbaya au tuseme kwa kutokujua, vijana wengi baadhi yao wanaangalia hapa karibu na kiasi cha hela atakachopata ndani ya muda mfupi na kusahau kwamba siku zinakimbia mno na mabadiliko ni mengi. Hao watu hawaangalii makunyanzi. Private Sector siku za mwanzoni utaona kama umefanikisha lakini baadaye wanakubadilikia.
Asante kwa kushare uzoefu wako. Huyo bwana 2in1 kama atatulia na kuzisoma comment kwa umakini atakuwa amejifunza kitu hapo.
Mkuu iko hivi private ni kwa ajili ya watu smart na competitive ambao wanajiupdate kila wakati ili kutengeneza impressive CV kuwavutia waajili wapya watakaokuchukua kwa dau refu zaidi.
Kama unajijua una kichwa kizito na mzito kujiupdate upstairs basi baki serikalini ili muwe kila mwaka mnaandamana kudai increament ya elfu 50 na uvae nguo za kuchakaa,soli ya kiatu iliyorika chini.
Ila watu wenye confidence huwa wanaingia private wanasaini mkataba wa mwaka mmoja au miwili na kabla mkataba haujaisha wanaandaa mazingira ya kupata kampuni mpya na kabla kampuni haijakutema unawatema wewe unarukia kampuni nyingine kwa maslahi makubwa zaidi.
Mfano mzuri mimi hapa tangu nimalize chuo imepita miaka 12 na nimefanya kazi kwenye kampuni 6 hadi sasa hivi nimechoka kuajiriwa nataka kujistaafisha mwenyewe nifanye mambo yangu binafsi wakati mtu wa serikalini atangoja hadi afike miaka 60 ndio anashtuka kuwa hatakiwi tena kazini.
 
Wakuu habari, niliomba kazi taasisi flani ya umma (utumishi) sikupata nafasi jina langu likahifadhiwa kwenye database juzi kati kuna mkeka wa kuitwa kazini umetoka na jina langu likiwemo kwenye kazi za halmashauri. Ila kwa sasa kuna taasisi binafsi nafanya kazi ambayo nalipwa vizuri sana nimefuatilia mshahara wa hapa ni zaidi ya mara mbili ya mshahara huo wa serikalini na haki nyengine zote za mwajiriwa napata kama bima n.k ila changamoto ya hapa private mkataba wao ni wa miaka 3 ila unarenew kila mkataba unapoisha hawana shida.

Serikalini nimepangiwa Tabora na mimi makazi yangu miaka yote ni Dar sasa nikienda huko naenda kuanza moja.

Nilifikiria kutoenda huko ila kuna mtu kaniambia nisipoenda utumishi jina langu litakuwa blacklisted na sitopata tena nafasi nyengine ya kuingia serikalini maisha yangu yote.

Kuna ukweli wowote juu ya hili au nifanye nini wakuu I'm so confused nakosa usingizi kabisa.
Kaza hapohapo.. Kufanya kazi Halmashauri ni kipengele, labda uende huko kisha ukatafute namna ya kuhama.

My take.:
Endelea kupambana tu na hapo Private.
 
Serikalini kuna high job security but zero exposer na hakuna kukua.


Private exposer kubwa na kukua .

So ikiwa unahitaji kukaa sehemu waweza fikiria mambo Kama hayo.
Exposure kwenye mambo yapi na kukua kivipi??,huko kote watu wa kuwa na wanapata Exposure itategemena na mahali ulipo.
 
Umesema vizuri ila cjui unazizungumzia Halmashauri za kipindi kipi. Kwa sasa hivi 2025; Halmashauri kumechangamka sio kama enzi zile. Kwa Taaluma ya mtoa mada, huko Halmashauri wajibu wake ni pamoja na kumshauri mkubwa wake kuidhinisha manunuzi ya vipuri vya mitambo lakini pia zipo fursa nyingine nyingi zenye malipo a.k.a mbali na mshahara. Halafu kuna muda mwingi wa "kujiongeza" (personal projects). Changamoto iliyopo Halmashauri ni pale mwanzoni kabla mtu hujayasoma mazingira na kugundua ramani au pale mtu esp.new comers wanapoangukia mikononi mwa makomredi njaa pangu pakavu tia mchuzi.
Ni kweli mimi baada ya kumaliza chuo niliwahi kufanya kazi halmashauri kama internship japo ni miaka mingi.
Nikayasoma mazingira nilichogundua ni kweli kuna watu wananufaika kwenye miradi ila si wote ni Mkurugenzi na Chief Engineer watu wa chini hawashirikishwi labda utaambulia hela ndogondogo za nauli ukitumwa ukabebe materials,so baada ya kuona hali hiyo nikaachana napo nikaendelea na mambo yangu mengine.
 
Mkuu iko hivi private ni kwa ajili ya watu smart na competitive ambao wanajiupdate kila wakati ili kutengeneza impressive CV kuwavutia waajili wapya watakaokuchukua kwa dau refu zaidi.
Kama unajijua una kichwa kizito na mzito kujiupdate upstairs basi baki serikalini ili muwe kila mwaka mnaandamana kudai increament ya elfu 50 na uvae nguo za kuchakaa,soli ya kiatu iliyorika chini.
Ila watu wenye confidence huwa wanaingia private wanasaini mkataba wa mwaka mmoja au miwili na kabla mkataba haujaisha wanaandaa mazingira ya kupata kampuni mpya na kabla kampuni haijakutema unawatema wewe unarukia kampuni nyingine kwa maslahi makubwa zaidi.
Mfano mzuri mimi hapa tangu nimalize chuo imepita miaka 12 na nimefanya kazi kwenye kampuni 6 hadi sasa hivi nimechoka kuajiriwa nataka kujistaafisha mwenyewe nifanye mambo yangu binafsi wakati mtu wa serikalini atangoja hadi afike miaka 60 ndio anashtuka kuwa hatakiwi tena kazini.
Umenena sawasawa. Umesema: "...private ni kwa ajili ya watu smart na competitive ambao wanajiupdate kila wakati ili kutengeneza impressive CV kuwavutia waajili wapya watakaokuchukua kwa dau refu zaidi."
1. Unadhani wasomi walioko kitaa sio smart na competitive halafu hawana CV zinazovutia? Kumbuka mshahara Private mara nyingi huwa ni negotiable.
2. Private Sector wanao mtandao wa mawasiliano baina yao. Ukiomba kazi huwa wanakufanyia usaili na kama huna "connection au mtu wa kukupigia debe" wanalo swali lao lile Ni kwa nini uliacha kazi huko na unataka kuja huku? Na je huku nako si utaacha kazi kama ulivyoacho kule? Badadaye hufuatilia utendaji wako na tabia yako huko ulikoacha kazi. Wakigundua madhaifu yako e.g. ww hapo udhaifu wako ni kutokutulia kazini i.e. ww ni mwindaji mashuhuri wa big salaries (Salary monger). Wanaweza wasikuchukue au wakaweka dau la chini ili ukatae kazi mwenyewe.
3. Sijakuelewa unaposema Kuji-update unamaanisha nini. Kusoma au Kupata mshahara mpya wa juu zaidi? Kama ni kusoma mbona hata hata ukiwa Halmashauri hukatazwi kujiupdate? Lakini uwe na sponsers vinginevyo unaishia Urusi frontline vs Ukraine.
 
Back
Top Bottom