Ushauri: Nimekuta 'urine pregnancy test' kwenye kimkoba cha binti yangu

Nikiyafanya haya Binti atatulia? Nawaza nitakavyomkuza Binti yangu mpaka kichwa kinauma.Mungu anisaidie.
 
Umezidi umbea baba lazma uwe na adabu uwez kufungua mikoba ya mwanao....

Mm uyo dada angu tu au mtoto wa kike siwwz kufungua vitu vyako hata chumban kwake kuingia

Kuweni na adabu

Sent from my SHV-E275S using JamiiForums mobile app
Utoto unakusumbua
 
Mtafute dadako,amchukue akampime,

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Ndio mkuu,samaki mkunje angali mbichi,mlee binti yako mbelen kadri uwezavyo ila baadae usijejilaumu kwa uzembe(kuna mabint wengine wamelelewa kimaadili ila kampan za marafiki zikawaharibu)
Nikiyafanya haya Binti atatulia? Nawaza nitakavyomkuza Binti yangu mpaka kichwa kinauma.Mungu anisaidie.
 
Mi nahisi Kitu kama hiki kikitokea kwa Binti yangu sijui nitakuwa kwenye hali gani.
 
best mom.kudos
 
Labda hiyo test ni ya rafiki yake ... fanya kumfuatilia nyendo zake utajua ukweli. Kidisha private investigator akuletee file lake. Kupandisha pressure kutakumaliza bure .... ukiwa na watoto tegemea lolote ila uwe umewapa guidelines ili usijejilaumu bure kwa kukaa kimy.

Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
 
Noted mkuu.
kwa kuniogopa ananiogopa sana kwa sababu ananijua nikimshika inakuwa issue nyingine ila ktk hili nikisema nimshike nadhani serikali inaweza kunifunga na ndo maana naona nisimuulize nimuache dada yangu labda na mama yake waongee nae.
Ila ushauri wako kwa kiasi kikubwa naukubali
Asante mkuu

Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
 
Kikubwa ni kupata ukweli wa hyo kitu basi kama watamuliza na akawa mwepesi kusema hapo sawa ila sasa hawa watoto wa siku hizi akili nyingi sana za ujanja ujanja wa mambo yakijinga lakini darasani shidaaaa...
Aisee nikutakie mafanikio mema kwenye kutafuta ufumbuzi wa hilo tatizo...
Ila usisahau mrejesho mana wazazi tupo wengi humu

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
Ndo ukome.... Na wewe uache peku peku kwenye vitu vya bint yako ukikuta naniii!?
Hizi akili ni sawa na za ostrich, yani ostrich akiona adui akaogopa huficha kichwa chake kwakuwa hamuoni adui ufikiri pia adui hamuoni yeye.
Sasa usipofuatilia watoto hasa mtoto mdogo kama huyo hata miaka 16 bado ukajua madudu na madhaifu yake ukamkanya mapema, akija haribikiwa utamlaumu nani?
Uzungu mwingi na eti privacy ndio tunaharibu familia zetu.
 
Afu hizi smart phones mnawapa watoto ni balaa, mtoto anamaliza form 4 unampa smart phone anakutana na STUNTER kadhaa wa kitaa utafurahi na roho yako, mtoto anatumiwa picha mtu anayonywa k, afu yuko kwenye balehe utafurahi na roho yako
Alafu na vile sisi wakina STUNTER tunavyozipenda sketi za shule... Mbona atafurahi na roho yake...
 
Amekosa Upendo wa baba ameamua atafute sehemu nyingine. Kuwa karibu na binti yako ndugu!

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Shida ya jamii nyingi za kiafrica wanadhani mlezi ni mama tu, hata wewe baba unapaswa kukaa na binti yako na kuongea nae bila aibu wala kificho,
i'm so grateful for my dady since we were young amekua akitueleza mimi na ma bros each and everything bila kificho wala kona kona, lol
na sasa tupo imara (sifa jipe mwenyewe, lol)

Bro ongea na mwanao, usimuogope wala kumuonea aibu, she is your douta, huna haja ya kuput a blame kwa her mom.
#BabaZungumzaNaMwanao#

Sent from my siemens kidole juu using JamiiForum mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…