Ushauri: Nimepewa RB kwa kosa la kufanya fujo kanisani

Ushauri: Nimepewa RB kwa kosa la kufanya fujo kanisani

Nenda karipoti tu polisi kwa busara Ila nimeshangaa umemjibu kibusara sana Mchungaji Mimi kwanza nae Angechezea ata viwili tu ili RB iwe na maana Zaidi
Sheria hujui wewe unamlisha ujinga
Hapo tu Yuko kwenye kikaango kikali akienda polisi nenda kamuwekee dhamana vinginevyo jiandae kumpelekea chakula mahabusu
 
Wanaokutana kanisani au msikitini wanaitwa waumini na wote eneo lile waliwepo.pale ni waumini chini ya uongozi wa kanisa au msikiti pale ni waumini wako kanisani au msikitini sio waume au wake za watu wako kanisani au msikitini

Yule alikuwa muumini akiwa kanisani.Mume ndiye kajichanganya aende polisi akakutane nao ndipo atajua usemi unasema tii Sheria bila shuruti Kila eneo au ukifanyacho kwanza angalia Sheria zinasemaje usikurupuke utaumia

Una akili ndogo sana ndugu!!
 
Una akili ndogo sana ndugu!!
Kesi yake Kwa taarifa Yako haitasomeka amvamia mke kanisani itasomeka amvamia muumini kanisani na mchungaji kanisani

Eneo la ibada wanasali waumini na viongozi wao wa dini yao.mambo ya mke au mume wa mtu kisheria hayapo hapo
 
Sahihi kabisa,kama Mama ameweza kutelekeza watoto wake wachanga na kuona kuwaombea watu wengine ni bora zaidi kuliko watoto wake,hii ina maanisha kua huyo Mwanamke akili yake na heshima yake na utu wake,vyote amevihamishia huko Kanisani,

Kama amekosa imani/huruma/mapenzi kwa watoto wake wachanga,unafikiri ana mapenzi tena na mumewe?

Hapo cha kufanya ni kukazia tu achague Kanisa au ndoa.
Mkuu mbona unampa option za huruma namna hiyo jamaa anatakiwa apige chini huyo mwanamke cha zaidi atoe matumizi wanae wasiteseke ila kwenye kuchagua ndoa au kanisa hiyo nafasi alishajifungia kwakua ameshaonyesha upande aliopo mpka sasa.
Tena mbaya zaidi mwanamke karuhusu mchungaji akatoe taarifa jamaa aitwe kituoni inamaana anamsikiliza zaidi mchungaji hata lo mchungaji akimuambia mwanamke muue mumeo huyo mwanamama hajiulizi mara mbili
 
MREJESHO.
Nimeripoti police nimewekwa selo kwa dakika 30 mama mkwe amekuja ameniwekea dhamana nimetoka.
Cha ajabu muda huu nimerudi nyumbani nimemkuta dada wa kazi tu.. kuuliza naambiwa ameenda kanisani yeye na watoto wote .

Kusikia kwa kenge mpaka damu zimtoke ngoja niende kwanza Bujumbura.
Asante
 
Wasaalam?
Ipo hivi juzi asubuhi Jumapili niliingia nyumbani nilikuwa SA kwa mambo ya kikazi, kufika nyumbani nilimkuta binti yangu wa kwanza pamoja na dada wa kazi kumuuliza mama yako yuko wapi? Akasema ameenda kanisani, nikamuuliza mbona hajaenda na watoto(watoto ni mapacha wana miezi 4) wakashindwa kunipa jibu nikapiga kimya nikaenda kupumzika kutokana na uchovu.

Imefika saa 7 mchana nikashtushwa na kelele za watoto walikuwa wanalia mno nahisi walikuwa wanataka kunyonya kuangalia makopo ya maziwa yameisha nikatoa pesa wakaenda kununua lakini nilipiga marufuku matumizi ya maziwa ya kopo.

Nimebuy time mpaka saa 10 jioni kimya mtu hajarudi nikipiga simu inaita tu haipokelewi, nikashikwa na gadhabu sana nikachukua watoto nikawatupia kwenye gari safari mpaka kanisani kwa wife.
Nimefika kanisani nimemkuta wife yupo madhabauni anaombea watu nikachukua watoto nikawaweka pale pale madhabauni nikamwambia awanyonyeshe watoto wana njaa, akagoma akasema nimemfanyia vitendo vya aibu!!

Ghafla mchungaji mkuu akaja akauliza kuna nini? Mimi nikamwambia mchungaji hayakuhusu nataka watoto wanyonye niondoke nao nyie endeleeni na ibada zenu,mchungaji akadakia akasema ibada ya leo inahitaji utulivu ndio maana tulitangaza watoto wote wabaki majumbani.

Nikamvuta kinguvu wife nikaondoka nae nikamwambia Leo ndio mwanzo na mwisho kusali katika makanisa ya kiroho kama hauwezi kusali roman Catholic pumzika nyumbani tu.

Nimepigiwa simu sasa hivi natakiwa kituo cha polisi kwa kosa la kufanya fujo kanisani na kufanya shambulio la kimwili dhidi ya wife, niende au nisiende? Kwa sababu kesho asubuhi inabidi niende Bujumbura kikazi.

Asante

MREJESHO.
Nimeripoti police nimewekwa selo kwa dakika 30 mama mkwe amekuja ameniwekea dhamana nimetoka.
Cha ajabu muda huu nimerudi nyumbani nimemkuta dada wa kazi tu.. kuuliza naambiwa ameenda kanisani yeye na watoto wote .

Kusikia kwa kenge mpaka damu zimtoke ngoja niende kwanza Bujumbura.
Asante


Umefanya vyema sana, nenda Police kifua mbele huyo mwanamke aeleze kaolewa na wewe au Huduma?

Ukimaliza mambo yako na safari zako ndo uende, huyo mchungaji ni mpumbavu sana, na hamisha huyo mke hapo.
 
Wasaalam?
Ipo hivi juzi asubuhi Jumapili niliingia nyumbani nilikuwa SA kwa mambo ya kikazi, kufika nyumbani nilimkuta binti yangu wa kwanza pamoja na dada wa kazi kumuuliza mama yako yuko wapi? Akasema ameenda kanisani, nikamuuliza mbona hajaenda na watoto(watoto ni mapacha wana miezi 4) wakashindwa kunipa jibu nikapiga kimya nikaenda kupumzika kutokana na uchovu.

Imefika saa 7 mchana nikashtushwa na kelele za watoto walikuwa wanalia mno nahisi walikuwa wanataka kunyonya kuangalia makopo ya maziwa yameisha nikatoa pesa wakaenda kununua lakini nilipiga marufuku matumizi ya maziwa ya kopo.

Nimebuy time mpaka saa 10 jioni kimya mtu hajarudi nikipiga simu inaita tu haipokelewi, nikashikwa na gadhabu sana nikachukua watoto nikawatupia kwenye gari safari mpaka kanisani kwa wife.
Nimefika kanisani nimemkuta wife yupo madhabauni anaombea watu nikachukua watoto nikawaweka pale pale madhabauni nikamwambia awanyonyeshe watoto wana njaa, akagoma akasema nimemfanyia vitendo vya aibu!!

Ghafla mchungaji mkuu akaja akauliza kuna nini? Mimi nikamwambia mchungaji hayakuhusu nataka watoto wanyonye niondoke nao nyie endeleeni na ibada zenu,mchungaji akadakia akasema ibada ya leo inahitaji utulivu ndio maana tulitangaza watoto wote wabaki majumbani.

Nikamvuta kinguvu wife nikaondoka nae nikamwambia Leo ndio mwanzo na mwisho kusali katika makanisa ya kiroho kama hauwezi kusali roman Catholic pumzika nyumbani tu.

Nimepigiwa simu sasa hivi natakiwa kituo cha polisi kwa kosa la kufanya fujo kanisani na kufanya shambulio la kimwili dhidi ya wife, niende au nisiende? Kwa sababu kesho asubuhi inabidi niende Bujumbura kikazi.

Asante

MREJESHO.
Nimeripoti police nimewekwa selo kwa dakika 30 mama mkwe amekuja ameniwekea dhamana nimetoka.
Cha ajabu muda huu nimerudi nyumbani nimemkuta dada wa kazi tu.. kuuliza naambiwa ameenda kanisani yeye na watoto wote .

Kusikia kwa kenge mpaka damu zimtoke ngoja niende kwanza Bujumbura.
Asante
Mchungaji ana akili kuzidi wewe. Ukitaka kumsaidia mkeo, jiunge ila uwe mjaja maana mbinguni tunaenda kwa kuamini Mungu na siyo vinginevyo then tafuta ufahamu zaidi ili mkeo akuone unajua ili umuomdoe huo mtego wa ubaya
 
MREJESHO.
Nimeripoti police nimewekwa selo kwa dakika 30 mama mkwe amekuja ameniwekea dhamana nimetoka.
Cha ajabu muda huu nimerudi nyumbani nimemkuta dada wa kazi tu.. kuuliza naambiwa ameenda kanisani yeye na watoto wote .

Kusikia kwa kenge mpaka damu zimtoke ngoja niende kwanza Bujumbura.
Asante

Huna mke Kaka! Usilee huo upumbavu.
 
Uko sahihi mwanaume huyo bichwani akili Hana kajaa ujinga mtupu Wacha aende akakutane na polisi kule Kuna dawati la jinsia wanajua Sheria Hadi basi hizo za matatizo ya familia watamnyoosha Hadi akome akitoka hapo atakuwa mtii wa Sheria bila shuruti Kila akitaka kufanya kitu atajiuliza kwanza Sheria za nchi zimekaaje kwenye hili
Tuheshimiane sawa? Mwenzako amekalia kuti kavu endeleeni kumjaza ujinga
 
Kwanza hakuna kanisa la kiroho ,hao ni wapiga Dili tuu, na Wana madaawa ya kuwateka waamini wanakuwa mazuzu. Hapo utaangaika Sana na hutofanikiwa. Usiombe ndugu yako atekwe na hao Wana upako wa Nigeria. Mfumo wa Maisha yake yote unaharibika anabakia kuwa kama zuzu la mchungaji
 
Kama huyo mchungaji ni nabii jua kuwa anakula mke wako ,ila kama ni WA kawaida ,huyo mchungaji ni mhuni tuu
 
Wasaalam?
Ipo hivi juzi asubuhi Jumapili niliingia nyumbani nilikuwa SA kwa mambo ya kikazi, kufika nyumbani nilimkuta binti yangu wa kwanza pamoja na dada wa kazi kumuuliza mama yako yuko wapi? Akasema ameenda kanisani, nikamuuliza mbona hajaenda na watoto(watoto ni mapacha wana miezi 4) wakashindwa kunipa jibu nikapiga kimya nikaenda kupumzika kutokana na uchovu.

Imefika saa 7 mchana nikashtushwa na kelele za watoto walikuwa wanalia mno nahisi walikuwa wanataka kunyonya kuangalia makopo ya maziwa yameisha nikatoa pesa wakaenda kununua lakini nilipiga marufuku matumizi ya maziwa ya kopo.

Nimebuy time mpaka saa 10 jioni kimya mtu hajarudi nikipiga simu inaita tu haipokelewi, nikashikwa na gadhabu sana nikachukua watoto nikawatupia kwenye gari safari mpaka kanisani kwa wife.
Nimefika kanisani nimemkuta wife yupo madhabauni anaombea watu nikachukua watoto nikawaweka pale pale madhabauni nikamwambia awanyonyeshe watoto wana njaa, akagoma akasema nimemfanyia vitendo vya aibu!!

Ghafla mchungaji mkuu akaja akauliza kuna nini? Mimi nikamwambia mchungaji hayakuhusu nataka watoto wanyonye niondoke nao nyie endeleeni na ibada zenu,mchungaji akadakia akasema ibada ya leo inahitaji utulivu ndio maana tulitangaza watoto wote wabaki majumbani.

Nikamvuta kinguvu wife nikaondoka nae nikamwambia Leo ndio mwanzo na mwisho kusali katika makanisa ya kiroho kama hauwezi kusali roman Catholic pumzika nyumbani tu.

Nimepigiwa simu sasa hivi natakiwa kituo cha polisi kwa kosa la kufanya fujo kanisani na kufanya shambulio la kimwili dhidi ya wife, niende au nisiende? Kwa sababu kesho asubuhi inabidi niende Bujumbura kikazi.

Asante

MREJESHO.
Nimeripoti police nimewekwa selo kwa dakika 30 mama mkwe amekuja ameniwekea dhamana nimetoka.
Cha ajabu muda huu nimerudi nyumbani nimemkuta dada wa kazi tu.. kuuliza naambiwa ameenda kanisani yeye na watoto wote .

Kusikia kwa kenge mpaka damu zimtoke ngoja niende kwanza Bujumbura.
Asante
Duh..pole sana mkuu.

Karl Max aliwahi kusema imani za kidini zikizidi ni zaidi ya uraibu wa opioids.
 
Wakati wa Magufuli watu wamechukuliwa kwenye nyumba za ibada, Hapo hata Mimi ningefanya hivyo as long as sijamzuia mchungaji kufanya KAZI yake Mimi nimemchukua Mke wangu, Mke kakiuka haki za watoto.
 
Back
Top Bottom