Ushauri: Nimepewa RB kwa kosa la kufanya fujo kanisani

Wewe mi mpumbavu sana, mleta mada kasema alipiga marufuku kutumia maziwa ya kopo, incase of emergency ikabidi anunue maziwa ya kopo.
Poor you jinga sana wewe
 
Wewe mi mpumbavu sana, mleta mada kasema alipiga marufuku kutumia maziwa ya kopo,
Mwanaume anajua kulea mtoto.mchanga kuliko Mwanamke mshinda kiliniki na mtoto Kila siku ya kliniki?

Anapiga marufuku kama nani ? Anamiliki kiliniki ya watoto hapo kwake?
 
Mwanaume anajua kulea mtoto.mchanga kuliko Mwanamke mshinda kiliniki na mtoto Kila siku ya kliniki?

Anapiga marufuku kama nani ? Anamiliki kiliniki ya watoto hapo kwake?
Mimi ni daktari by professional unajua breastfeeding inajenga bond nzuri katika ya mama na mtoto?
Kama mleta mada amejua ilo kwanini atumie maziwa ya kopo???
 
Wewe ndio soma kwa kutulia faller wewe. Jamaa kasema hapendelei watoto watumie maziwa ya kopo ila alilazimika kununua kwa sababu watoto walikuwa wanalia sana. By the way jamaa ana mke bogus. Mke wa namna hii ni stress sana.
 

Mke wako amekamatwq kwenye cult, hilo sio kanisa la kiroho ni cult.
Muondoe mke wako hapo haraka kabla hajaharibikiwa.
 
Hiyo sio madhabahu ya Mungu. Mungu ninayemjua hayupo hivyo, hiyo ni cult.
 
Wewe ndio soma kwa kutulia faller wewe. Jamaa kasema hapendelei watoto watumie maziwa ya kopo ila alilazimika kununua kwa sababu watoto walikuwa wanalia sana. By the way jamaa ana mke bogus. Mke wa namna hii ni stress sana.
To cut the story short siwezi mwaga Kila kitu humu tukutane mahakamani huyo Mkewe atakuwa na mawakili kibao na hiyo case judgement hata hakimu au jaji akiamua itakuwa quoted kama presedence ya case zingine kama hizo mbeleini

Mwambieni huyo mume tunamsubiri Kwa hamu mahakamani
 
Wewe mi mpumbavu sana, mleta mada kasema alipiga marufuku kutumia maziwa ya kopo, incase of emergency ikabidi anunue maziwa ya kopo.
Poor you jinga sana wewe
Ndio maana sijataka kumjibu coz inaonekana huyo jamaa hata mada hajaisoma na kuielewa,amekurupuka tu na kuanza kutapika matapishi yako hovyo tu hapa.
 
Wewe ndio mke wa huyo jamaa? Mbona povu linakutoka kama mgonjwa wa kifafa?
 
Duh kweli ww jamaa ni mpole sana .mm ningemchukua kwenye gari narudisha kwao .
 
Itoshe kusema watoto ni wa baba mchungaji πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Vyovyote please tell him tukutane mahakamani
Mbona hii thread umeishikilia kidete hivi? Naweza kuamini wewe ndio mchungaji husika unataka kuharibu ndoa ya watu
 
sipendi mwanamke asiye na kiasi kwa kweli.
 
Duuh
 
Aiseeee
Ila unajua siku hizi wachungaji ni wapiga ramli wazuri kuliko hata sangoma
Kuna jamaa hii ilimtokea pia alienda kanisani alipokuwa anasali mkewe,mchungaji akaona jamaa Ana maokoto..anajua alichokifanya mwisho wa siku jamaa akalowea huko kanisani na kazi akaachishwa...kila mali anapeleka kanisani hadi viwanja anatoa sadaka...alikuja kustuka too late ameshapoteza kila kituuu
Kwahiyo jamaa inabidi awe makini sana na mkewe kabla hajalowea huko
 
Subiri sasa utwangwe talaka ili ukaendeshe vizuri hayo maombi yenu fake,

Huwezi kushindana na Mwanaume.
Talaka haitolewi kienyeji sababu.mwanaume kaamua ni mahakamani sio barabarani

Uzuri mahakama huamua kisheria sio ohh mfumo dume mume anasema sikutaki Hakuna Cha mfumo dume mahakamani na hakuna Cha ohhh mimi kama mwanaume nasema!!! Una mawazo ya porini vijijini huko wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…