Ushauri: Nimepewa RB kwa kosa la kufanya fujo kanisani

Ushauri: Nimepewa RB kwa kosa la kufanya fujo kanisani

Kwamba nitawaambia nakuja kuchoma?
Kifupi Hasira hazilipi hata angeenda na mkuu wa Jeshi la Polisi angemwambia tukae nje wakimaliza ibada wakitoka tuwakanate nje lakini hata angekuwa IGP asingeingia kanisani au msikitini kumkamata

Ungechoma ni kesi ya mauaji Tena ya kukusudia.Kesi ya mauaji huchukua Hadi miaka 10 kuanza kusikilizwa ungenyea.ndoo Hadi ukome na mihasira Yako na mahakamani hupelekwi Kila siku waendesha mashtaka wanasema upelelezi unaendelea wanakuacha uoze huko mahabusu miaka 10 sababu bwege hujali wengine au kujijali mwenyewe kisheria wanakuacha uoze mahabusu sababu hata uhai wako mwenyewe huthamini Wala wa wengine Kwa mihemuko Yako ya kidini utafia mahabusu
 
Kwani
Badala ufurahi umepata mke mcha Mungu unaanza kuleta fuko,subili aache aanze mambo ya hovyo,utakuja hapa kulia Lia.
Kwani hayo aliyofanya huyo mwanamke kutelekeza watoto wadogo siyo ya hovyo?
Kifupi Hasira hazilipi hata angeenda na mkuu wa Jeshi la Polisi angemwambia tukae nje wakimaliza ibada wakitoka tuwakanate nje lakini hata angekuwa IGP asingeingia kanisani au msikitini kumkamata

Ungechoma ni kesi ya mauaji Tena ya kukusudia.Kesi ya mauaji huchukua Hadi miaka 10 kuanza kusikilizwa ungenyea.ndoo Hadi ukome na mihasira Yako na mahakamani hupelekwi Kila siku waendesha mashtaka wanasema upelelezi unaendelea wanakuacha uoze huko mahabusu miaka 10 sababu bwege hujali wengine au kujijali mwenyewe kisheria wanakuacha uoze mahabusu sababu hata uhai wako mwenyewe huthamini Wala wa wengine Kwa mihemuko Yako ya kidini utafia mahabusu
 
Wasaalam?
Ipo hivi juzi asubuhi Jumapili niliingia nyumbani nilikuwa SA kwa mambo ya kikazi, kufika nyumbani nilimkuta binti yangu wa kwanza pamoja na dada wa kazi kumuuliza mama yako yuko wapi? Akasema ameenda kanisani, nikamuuliza mbona hajaenda na watoto(watoto ni mapacha wana miezi 4) wakashindwa kunipa jibu nikapiga kimya nikaenda kupumzika kutokana na uchovu.

Imefika saa 7 mchana nikashtushwa na kelele za watoto walikuwa wanalia mno nahisi walikuwa wanataka kunyonya kuangalia makopo ya maziwa yameisha nikatoa pesa wakaenda kununua lakini nilipiga marufuku matumizi ya maziwa ya kopo.

Nimebuy time mpaka saa 10 jioni kimya mtu hajarudi nikipiga simu inaita tu haipokelewi, nikashikwa na gadhabu sana nikachukua watoto nikawatupia kwenye gari safari mpaka kanisani kwa wife.
Nimefika kanisani nimemkuta wife yupo madhabauni anaombea watu nikachukua watoto nikawaweka pale pale madhabauni nikamwambia awanyonyeshe watoto wana njaa, akagoma akasema nimemfanyia vitendo vya aibu!!

Ghafla mchungaji mkuu akaja akauliza kuna nini? Mimi nikamwambia mchungaji hayakuhusu nataka watoto wanyonye niondoke nao nyie endeleeni na ibada zenu,mchungaji akadakia akasema ibada ya leo inahitaji utulivu ndio maana tulitangaza watoto wote wabaki majumbani.

Nikamvuta kinguvu wife nikaondoka nae nikamwambia Leo ndio mwanzo na mwisho kusali katika makanisa ya kiroho kama hauwezi kusali roman Catholic pumzika nyumbani tu.

Nimepigiwa simu sasa hivi natakiwa kituo cha polisi kwa kosa la kufanya fujo kanisani na kufanya shambulio la kimwili dhidi ya wife, niende au nisiende? Kwa sababu kesho asubuhi inabidi niende Bujumbura kikazi.

Asante

MREJESHO.
Nimeripoti police nimewekwa selo kwa dakika 30 mama mkwe amekuja ameniwekea dhamana nimetoka.
Cha ajabu muda huu nimerudi nyumbani nimemkuta dada wa kazi tu.. kuuliza naambiwa ameenda kanisani yeye na watoto wote .

Kusikia kwa kenge mpaka damu zimtoke ngoja niende kwanza Bujumbura.
Asante
Kwa nini hawakuacha mamlaka ya mbingu ikushughulikie kama ambavyo Huwa wanadai?
 
Kwanza ni Mungu gani huyo atakayesikia maombi ya mtu aliyetelekeza vichanga vyake Nyumbani bila maziwa? Hapo walikua wanatapeli watu tu na sio maombi hayo.
Watoto hulelewa na wazazi wawili baba na mama ok mleta mada kasema maziwa ya kopo yaliisha Kwa Nini asiende kununua ? Hela Hana? Kwa Nini asinunue wakati watoto hunywa maziwa ya kopo? Anasubiri Mkewe arudi kanisani ndio anunue ? Yeye kazi yake Nini kutembeza tu mti ulio katikati ya mapaja au? Majukumu yake ndani ya nyumba kulea hao Watoto ni Nini? Kama hata maziwa ya kopo hawezi nunua Hadi afuate mke kanisani? wanakunywa maziwa ya kopo akaangalia yameisha anabeba watoto kupeleka Kwa Mkewe kanisani Kwa Nini asinunue hayo maziwa ya kopo mpuuzi huyo ? Ina maana yeye lofa anategemea mke tu alete maziwa hata ya kopo lofa huyo?

Kilimshinda nini kununua maziwa ya kopo awape watoto Hadi aende kanisani kufanya fujo mke atoke kanisani? Mwambieni anasubiriwa mahakamani atajua mahakama haitetei wajinga kama yeye na kesi yake atapangiwa hakimu Mwanamke .Ajiandae
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Hata hao wachungaji nina wasiwasi nao utambuzi wao. Roho Mtakatifu hawezi kuwatesa viumbe wadogo hivyo. Watoto wa miezi minne hata kazini unaenda nusu siku. Walishawahi jiuliza kwa nini kazini unapewa ruhusa ya kwenda nusu siku? Nampenda Mungu lakini hata yeye siamini kama anaunga mkono hicho kitendo cha huyo mwanamke.
 
Watoto hulelewa na wazazi wawili baba na mama ok mleta mada kasema maziwa ya kopo yaliisha Kwa Nini asiende kununua ? Hela Hana? Kwa Nini asinunue wakati watoto hunywa maziwa ya kopo? Anasubiri Mkewe arudi kanisani ndio anunue ? Yeye kazi yake Nini kutembeza tu mti ulio katikati ya mapaja au? Majukumu yake ndani ya nyumba kulea hao Watoto ni Nini? Kama hata maziwa ya kopo hawezi nunua Hadi afuate mke kanisani? wanakunywa maziwa ya kopo akaangalia yameisha anabeba watoto kupeleka Kwa Mkewe kanisani Kwa Nini asinunue hayo maziwa ya kopo mpuuzi huyo ? Ina maana yeye lofa anategemea mke tu alete maziwa hata ya kopo lofa huyo?

Kilimshinda nini kununua maziwa ya kopo awape watoto Hadi aende kanisani kufanya fujo mke atoke kanisani? Mwambieni anasubiriwa mahakamani atajua mahakama haitetei wajinga kama yeye na kesi yake atapangiwa hakimu Mwanamke .Ajiandae
Swali tu unajua mtoto anatakiwa aanze kutumia maziwa mengine baada ya muda gani kama mama hana tatizo? Na fujo ipi? Kumvuta mke wake aje amsikilize? Mbona mnataka kumkufuru Mungu? Vichanga vingekufa njaa mchungaji angezika na kuongea Bwana ametwaa? Seriously? Mpende Bwana Mungu wako, sio kanisa, sio mchungaji. Tatizo kwenye nafasi ya Mungu mmewaweka watumishi wake na wao kwa upumbavu wanaupokea utukufu bila kujua madhara yake. Umeshajiuliza kwa nini ofisi inamruhusu mzazi adanye kazi nusu siku arudi nyumbani kwenda kunyonuesha mtoto? Unafikiri walio tengeneza huo utaratibu ni wapumbavu?
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Hata hao wachungaji nina wasiwasi nao utambuzi wao. Roho Mtakatifu hawezi kuwatesa viumbe wadogo hivyo. Watoto wa miezi minne hata kazini unaenda nusu siku. Walishawahi jiuliza kwa nini kazini unapewa ruhusa ya kwenda nusu siku? Nampenda Mungu lakini hata yeye siamini kama anaunga mkono hicho kitendo cha huyo mwanamke.
Soma Kwa kutulia na wewe acha mihemuko mleta mada kasema hao Watoto Wana miezi minne na hutumia maziwa ya kopo pia yaliisha kabeba watoto sababu maziwa ya kopo.yameisha kaenda kumtoa mke madhabahuni aende kunyonyesha watoto mshenzi huyo mumewe watoto wanatumia maziwa ya kopo yameisha alishindwa kununua Hadi aende kusumbua Mkewe kanisani? Ina maana yeye analelelewa na mke hata Hela ya kopo la maziwa tu Hana likiisha anamfuata Mkewe hata kama Yuko madhabahuni akanunue kopo la maziwa.Hakuna mume mwanaume hapo huyo mume ni mume suruali tu na lile dudu katikati ya mapaja.Hakuna mume hapo
 
Kitendo cha mkeo kukushitaki ni kakudharau sana. Kwa hiyo anataka ufungwe au upigwe faini? Fikiria mara mbili huna ndoa hapo mkeo ni lipumbavu la kugawa bure

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Mimi ndoa ingevunjikia hapo hapo, asiponisikiliza Mumewe asepe zake na kisusio chake na maisha lazima yaendelee hata bila ya kuishi naye.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Haya makanisa kuna namna huwa sielewi na hapo nachelea kusema shem ni mjinga kiasi hicho wenda hata yeye hajui nini anafanya kwa sasa. kuna bro wetu Mmoja alikuwa mkatolik mzuri kabisaa na misingi yake ya dini ilikuwa thabiti mpaka pale alipoalikwa na rafiki yake kuwa aende kuudhuria kongamano kanisani kwao. Toka hapo yeye na familia vilitengana lasmi hakutaka tena kusikia juu ya familia, Mazaa alikuwa kampambania kazi flani Serikalin na tayar ilikuwa hatua ya mwisho ilikuwa ni yeye tuu kwenda kuripot na kuanza kazi lakin alikataa kabisaa kuwa hataki kazi. Toka 2010 mpaka leo yupo yupo tuu amebaki kuugua magonjwa yasiyo elezeweka kila kukicha
[emoji15]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Nenda kaka,na uombe rehema ya Mungu kwa kufanya fujo madhabahuni. Kumbuka madhabahu haichezewi. Hapo alikuwa kanisani,imagine huyo mkeo angekuwa yuko kwenye kikao na mkuu wa nchi ungempelekea watoto hapo? Angekuwa daktari yuko theatere ungempelekea?
Angekuwa amekwama safarini ama amelazwa wodini ungempelekea watoto hapo?
"Waacheni Watoto wadogo waje kwangu kwa maana ufalme wa mbinguni ni wao" ni Yesu (Mungu) ndiye kasema hivyo, Doctor ni nani hata asipelekewe Watoto?

Acha utapeli kupitia kichaka cha dini.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wanawake bhana na dinii sijui huwa kuna shida ganiii...yuko radhi akatoe mil 2 kanisani kesho akuombe hela ya naulii very pathetic...ovyooo sanaa jitahdi kuwaelimisha hasa haya makanisa ya kirohooo ni balaaa tupu
Dini, vikoba, michezo na urembo wa mawigi, makalio, kope, kucha, matiti, ngozi bandia tokana na vipodozi pia hupumbaza sana akili za Ke.

Hivi viumbe tunaishi navyo tu sababu hutuzaa na kutuzalia Watoto lakini hata vyenyewe havijuagi akili zao hutaka nini haswa kimahusiano.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Pima DNA ya hao mapacha namuchungaji.
Kifupi, unalisha na kumvisha nyumba ndogo ya muchungachi
 
Nimempenda mkeo kwa kitendo chake cha kuombea watu, sasa badala ya kupoteza muda kwenye makanisa ya watu ni heri afungue kanisa lake ajiajiri, kama familia mtakuwa mmepata family business.

Zingatia maokoto shemeji.
Mke wa jamaa ni nyumba ndogo ya mchungaji hilo lipo wazi
 
Back
Top Bottom