Ushauri: Nimepewa RB kwa kosa la kufanya fujo kanisani

Ushauri: Nimepewa RB kwa kosa la kufanya fujo kanisani

Kanisa ni sehemu ya jumuiya.ya watu huwezi ibuka tu unaenda kamata mtu huko ndani wako kwenye taratibu zao za ibada unaingia tu hujali na kukamata watu na kuburuza nje Kuna taratibu za kisheria za kuzingatiwa
Huyo mwanaume hakuzingatia hakuhitajiki kibali Cha mke kuwa anaridhia au la ataburuzwa Hadi mahakamani hata mke akisema siridhii mume apelekwe mahakamani haihusu mapenzi Yao huko huko Sheria ni Sheria kavunja Sheria atakutana na msumeno wa Sheria mke sio jaji au mahakama
Kwa huu ushauri wako ungekuwa unanipatia mimi basi ningelipiga kiberiti hilo kanisa na mchocheaji wa hilo ni huu ushauri wako usiokuwa hata na chembe ya huruma kwa hao watoto wadogo sana.
 
Kwa ambao hawajasoma huu uzi ninawasihi wausome. Itawasaidia
 
Duuu! Inasikitisha Sana.

Kuna familia Moja jamaa aliweka fedha ndani Kwaajili ya kuendeleza Ujenzi wa nyumba Yao ili wahamie. Sasa siku imefika jamaa anamwambia mkewe leta Ile hela kazi ikaanze. Mwanamke akajibu nimetoa sadaka kanisani hivyo nilimpa mchungaji ili tupate baraka zaidi.

Jamaa alimshika mkewe akampa makofi kadhaa na kumwambia tuongozane kanisani Kwa huyo mchungaji. Alipofika jamaa alitoa panga na kumwambia mchungaji leta pesa aliyokupa huyu mke wangu. Mchungaji akajalibu kujitetea weee! Jamaa akamwambia nakufyeka, mchungaji akatoa pesa fasta.

Jamaa akamwambia mkewe marufuku kwenda kusali huko ila mwanamke akang'ang'ana na kumwambia mumewe eti ooo! nimeitwa na bwana kumtumikia hivyo bola tuachane. Mpaka sasa mwanamke aliachana na mumewe Kwa sababu alishindwa kutii maelekezo ya mumewe.
Wote mme na mke walifanya uamzi sahihi.
 
Ila Kwa jinsi ulivyoandika kaka nahisi Hawa ni wale wale manabii wa uongo na Kuna dalili jamaa kama hakumegei mzigo anamtaka mke wako.mimi Nina IQ kubwa sana ya kuona mambo ya mbeleni.Tatizo kubwa ni pale mke wako alipoamua kurudia tena kule kanisani ulikomkataza asiende na huku akijua fika wewe ulishalala kwenye mtondoo.Kaka ukishafikia leveli hii unatakiwa uwe na busara sana.Mimi nataka nijitolee kukusaidia ila uje pm.kwanza mchukue beki tatu nenda name mahali mnunulie vitu anapenda hata kama ni kuku au nguo au Hela mwambie akupe ratiba za wife,pindi unapokuwa haupo nyumbani.unaweza kuwagombanisha Kiana lazima unajua mara nyingi beki tatu na mother house haziivaji.jambo jingine inabidi unipe locations ya Hilo kanisa niwe naenda hapo kinyemela Kwa lengo la kuwapeleleza ila nifahamu mambo yafuatayo
Kama mchungaji ana vibali
Kama ana mke
Kama ni mkongo mkenya au mnigeria
Kama anafanya genuine ibada ama ni mlaghai/mimi nishawahi kuchunga naifahamu
Nifahamu nyumbani Kwa huyo mchungajikaka
Kama mchungaji anaofisi karibu na kanisa
Na kama analala jirani na kanisa au la
Kama alisomea theologian au ni tapeli.
Ni sehemu gani anapenda kwenda
Mengine tutafanya baadaye nitakuelekeza ,mimi hapo daslamu nimekulia
 
Kuweni Waislam, hamtaki.

Hakuna makorokocho yote hayo, watoto ndiyo tunahimiza wazazi waede nao misikitini wapate uzoefu na kumjuwa Muumba wao.

Kelele na fujo za watoto ni furaha ya waumini wa kweli.
 
Kwanza ni Mungu gani huyo atakayesikia maombi ya mtu aliyetelekeza vichanga vyake Nyumbani bila maziwa? Hapo walikua wanatapeli watu tu na sio maombi hayo.
 
Kwe
Kanisa genuine ni lazima lijali Hali za washirika wake,maandiko yanasema yule asiyejali wa nyumbani kwake ni mbaya kuliko asiyeamini`kama mchungaji Hana matumizi mazuri ya muda ni tatizo,Kwa kuwa kwenye ibada Kuna watoto na mchana watakuwa wale chakula Cha kawaida,huwezi kuwashindisha watu Kutwa nzima na njaa Kwa kigezo Cha ibada,mtu mwingine ana hiyo jumapili peke yake Kwa ajili ya mapumziko,kuona familia na watoto,kufua kufanya usafi n.k
Kweli kabisa.
 
Kwa huu ushauri wako ungekuwa unanipatia mimi basi ningelipiga kiberiti hilo kanisa na mchocheaji wa hilo ni huu ushauri wako usiokuwa hata na chembe ya huruma kwa hao watoto wadogo sana.
Kifupi Hasira hazilipi hata angeenda na mkuu wa Jeshi la Polisi angemwambia tukae nje wakimaliza ibada wakitoka tuwakanate nje lakini hata angekuwa IGP asingeingia kanisani au msikitini kumkamata

Ungechoma ni kesi ya mauaji Tena ya kukusudia.Kesi ya mauaji huchukua Hadi miaka 10 kuanza kusikilizwa ungenyea.ndoo Hadi ukome na mihasira Yako na mahakamani hupelekwi Kila siku waendesha mashtaka wanasema upelelezi unaendelea wanakuacha uoze huko mahabusu miaka 10 sababu bwege hujali wengine au kujijali mwenyewe kisheria wanakuacha uoze mahabusu sababu hata uhai wako mwenyewe huthamini Wala wa wengine Kwa mihemuko Yako ya kidini utafia mahabusu
 
Ila Kwa jinsi ulivyoandika kaka nahisi Hawa ni wale wale manabii wa uongo na Kuna dalili jamaa kama hakumegei mzigo anamtaka mke wako.mimi Nina IQ kubwa sana ya kuona mambo ya mbeleni.Tatizo kubwa ni pale mke wako alipoamua kurudia tena kule kanisani ulikomkataza asiende na huku akijua fika wewe ulishalala kwenye mtondoo.Kaka ukishafikia leveli hii unatakiwa uwe na busara sana.Mimi nataka nijitolee kukusaidia ila uje pm.kwanza mchukue beki tatu nenda name mahali mnunulie vitu anapenda hata kama ni kuku au nguo au Hela mwambie akupe ratiba za wife,pindi unapokuwa haupo nyumbani.unaweza kuwagombanisha Kiana lazima unajua mara nyingi beki tatu na mother house haziivaji.jambo jingine inabidi unipe locations ya Hilo kanisa niwe naenda hapo kinyemela Kwa lengo la kuwapeleleza ila nifahamu mambo yafuatayo
Kama mchungaji ana vibali
Kama ana mke
Kama ni mkongo mkenya au mnigeria
Kama anafanya genuine ibada ama ni mlaghai/mimi nishawahi kuchunga naifahamu
Nifahamu nyumbani Kwa huyo mchungajikaka
Kama mchungaji anaofisi karibu na kanisa
Na kama analala jirani na kanisa au la
Kama alisomea theologian au ni tapeli.
Ni sehemu gani anapenda kwenda
Mengine tutafanya baadaye nitakuelekeza ,mimi hapo daslamu nimekulia
Ushauri mzuri. "Counterattack intelligence techniques"
 
Kuweni Waislam, hamtaki.

Hakuna makorokocho yote hayo, watoto ndiyo tunahimiza wazazi waede nao misikitini wapate uzoefu na kumjuwa Muumba wao.

Kelele na fujo za watoto ni furaha ya waumini wa kweli.
Watoto wa nje ya ndoa yaani wanaharamu mwislamu aliyezaa hao wanaharamu anaruhusiwa kwenda nao msikitini?
 
Ulitaka atoe ziwa mbele ya mchungaji? All in all wanawake wanaosali katika hayo madhehebu ya kiroho ni kuwaogopa kama ukoma.

Wapo radhi wakupe sumu ufe, ila si kukosa hizo ibada uchwara.
Mzee nyboma kumbe upo mzee
 
Mfanyakazi mwenzangu naishi nae kwenye nyumba ya shirika, mkewe amevuka mipaka hadi ya kupeleka kodi ya meza kanisani.

Huyu mwanamke kwao ni waislamu typically, ila kaanza kwenda kwa wahubiri na kaiva hasa na sanaa zao.
Jamaa yangu anasali RC. Kila siku mwanamke anakuja na wito kuwa anaitwa na Mchungaji kuwa ameona kuna watu wanachezea ndoa yao (wanarogwa). Yaani mwamba anapigwa hela hadi basi.
Mwanzoni nilijaribu kumpa ushauri, na kila nilichomwambia alikipeleka kwa mkewe. Nikaamua kukausha na sasa kila akitaka ushauri namkwepa.

Mbaya zaidi watoto wakiumwa ni mwendo wa kuwapaka na kuwaogesha maji yenye mafuta ya kanisani, hospital ni mpaka mtoto afikie hatua mbaya.

Kuna wakati jamaa alifiwa na mama yake na tulienda Moshi kwa ajili ya mazishi. Ilikaribia 40 ya kumaliza msiba, jamaa hakuwa vizuri mfukoni na aliona auze asset yake moja kwa 3,000,000/= ili akamalize msiba.

Akamshirikisha mwanamke na mwanamke akaenda kumshirikisha Mchungaji. Na baadaye majibu ya mwanamke yalikuwa kwamba wagawane 50% ya mauzo na mwanaume akatumie ile ya kwake kwenda kumalizia msiba ila ya mwanamke itabidi akatoe fungu la kumi kanisani. Imepita miezi minne sasa hawajaenda kumalizia msiba wa Mama wa mwanaume.

Kuna siku nilishangaa zaidi mwanamke alipomletea bahasha yenye fomu inayohitaji kujazwa taarifa za kazi ya mwanaume, ikiwamo mshahara. Nilimwambia mwamba huo ni mtego, ila baada ya siku mbili akaniambia kabanwa sana na mkewe na ikabidi ajaze ile fomu na kuirudisha kanisani.

USHAURI:
Wanaume tuwe makini sana na haya makanisa ya kiroho, mengi yamejaa wasanii.
Wanachofanya ni kuangalia weakness ya mwanamke ili waweze kucheza na akili yake na hatimaye kukuteka mwanaume na uchumi wa familia nzima.
Huyo Ni mwanaume au tausi au shoga mwanaume mnk mwanmume shoga hanaga msimamo
 
Wanaokutana kanisani au msikitini wanaitwa waumini na wote eneo lile waliwepo.pale ni waumini chini ya uongozi wa kanisa au msikiti pale ni waumini wako kanisani au msikitini sio waume au wake za watu wako kanisani au msikitini

Yule alikuwa muumini akiwa kanisani.Mume ndiye kajichanganya aende polisi akakutane nao ndipo atajua usemi unasema tii Sheria bila shuruti Kila eneo au ukifanyacho kwanza angalia Sheria zinasemaje usikurupuke utaumia
Yaani wee ni mouuzi kweli kweli
 
Huwezi kuwa “chawa” halafu ukawa na akili. Wewe huna akili
Kijana ulishawahi kupigwa kofi na anayekupiga humuoni? Dharau ushauri wangu utakuja kutuletea mrejesho hapa mkeo kazaa na mchungaji. Mi chawa wa Mama kweli kweli ila hapa nimekushauri ulinde ndoa yako. Na hivyo unavyomgombeza mkeo basi mafaili yote anapeleka kwa airdrop kwa pastor na pastor ana bluetooth hivyo wewe utaonekana mjinga usipoguata ushauri wangu poyoyoy mkubwa
 
Wasaalam?
Ipo hivi juzi asubuhi Jumapili niliingia nyumbani nilikuwa SA kwa mambo ya kikazi, kufika nyumbani nilimkuta binti yangu wa kwanza pamoja na dada wa kazi kumuuliza mama yako yuko wapi? Akasema ameenda kanisani, nikamuuliza mbona hajaenda na watoto(watoto ni mapacha wana miezi 4) wakashindwa kunipa jibu nikapiga kimya nikaenda kupumzika kutokana na uchovu.

Imefika saa 7 mchana nikashtushwa na kelele za watoto walikuwa wanalia mno nahisi walikuwa wanataka kunyonya kuangalia makopo ya maziwa yameisha nikatoa pesa wakaenda kununua lakini nilipiga marufuku matumizi ya maziwa ya kopo.

Nimebuy time mpaka saa 10 jioni kimya mtu hajarudi nikipiga simu inaita tu haipokelewi, nikashikwa na gadhabu sana nikachukua watoto nikawatupia kwenye gari safari mpaka kanisani kwa wife.
Nimefika kanisani nimemkuta wife yupo madhabauni anaombea watu nikachukua watoto nikawaweka pale pale madhabauni nikamwambia awanyonyeshe watoto wana njaa, akagoma akasema nimemfanyia vitendo vya aibu!!

Ghafla mchungaji mkuu akaja akauliza kuna nini? Mimi nikamwambia mchungaji hayakuhusu nataka watoto wanyonye niondoke nao nyie endeleeni na ibada zenu,mchungaji akadakia akasema ibada ya leo inahitaji utulivu ndio maana tulitangaza watoto wote wabaki majumbani.

Nikamvuta kinguvu wife nikaondoka nae nikamwambia Leo ndio mwanzo na mwisho kusali katika makanisa ya kiroho kama hauwezi kusali roman Catholic pumzika nyumbani tu.

Nimepigiwa simu sasa hivi natakiwa kituo cha polisi kwa kosa la kufanya fujo kanisani na kufanya shambulio la kimwili dhidi ya wife, niende au nisiende? Kwa sababu kesho asubuhi inabidi niende Bujumbura kikazi.

Asante

MREJESHO.
Nimeripoti police nimewekwa selo kwa dakika 30 mama mkwe amekuja ameniwekea dhamana nimetoka.
Cha ajabu muda huu nimerudi nyumbani nimemkuta dada wa kazi tu.. kuuliza naambiwa ameenda kanisani yeye na watoto wote .

Kusikia kwa kenge mpaka damu zimtoke ngoja niende kwanza Bujumbura.
Asante
Ndugu yangu.

Huyo mwanamke ama mke wako unapaswa kumuacha haraka sana kwa saabbu ameshaonesha uasi na atakupa taabu sana.

Huyo mchungaji ameshaingilia ndoa yako.

Tafuta mama wa kuwalea watoto wako.
Muache akailee madhabahu
 
Wasaalam?
Ipo hivi juzi asubuhi Jumapili niliingia nyumbani nilikuwa SA kwa mambo ya kikazi, kufika nyumbani nilimkuta binti yangu wa kwanza pamoja na dada wa kazi kumuuliza mama yako yuko wapi? Akasema ameenda kanisani, nikamuuliza mbona hajaenda na watoto(watoto ni mapacha wana miezi 4) wakashindwa kunipa jibu nikapiga kimya nikaenda kupumzika kutokana na uchovu.

Imefika saa 7 mchana nikashtushwa na kelele za watoto walikuwa wanalia mno nahisi walikuwa wanataka kunyonya kuangalia makopo ya maziwa yameisha nikatoa pesa wakaenda kununua lakini nilipiga marufuku matumizi ya maziwa ya kopo.

Nimebuy time mpaka saa 10 jioni kimya mtu hajarudi nikipiga simu inaita tu haipokelewi, nikashikwa na gadhabu sana nikachukua watoto nikawatupia kwenye gari safari mpaka kanisani kwa wife.
Nimefika kanisani nimemkuta wife yupo madhabauni anaombea watu nikachukua watoto nikawaweka pale pale madhabauni nikamwambia awanyonyeshe watoto wana njaa, akagoma akasema nimemfanyia vitendo vya aibu!!

Ghafla mchungaji mkuu akaja akauliza kuna nini? Mimi nikamwambia mchungaji hayakuhusu nataka watoto wanyonye niondoke nao nyie endeleeni na ibada zenu,mchungaji akadakia akasema ibada ya leo inahitaji utulivu ndio maana tulitangaza watoto wote wabaki majumbani.

Nikamvuta kinguvu wife nikaondoka nae nikamwambia Leo ndio mwanzo na mwisho kusali katika makanisa ya kiroho kama hauwezi kusali roman Catholic pumzika nyumbani tu.

Nimepigiwa simu sasa hivi natakiwa kituo cha polisi kwa kosa la kufanya fujo kanisani na kufanya shambulio la kimwili dhidi ya wife, niende au nisiende? Kwa sababu kesho asubuhi inabidi niende Bujumbura kikazi.

Asante

MREJESHO.
Nimeripoti police nimewekwa selo kwa dakika 30 mama mkwe amekuja ameniwekea dhamana nimetoka.
Cha ajabu muda huu nimerudi nyumbani nimemkuta dada wa kazi tu.. kuuliza naambiwa ameenda kanisani yeye na watoto wote .

Kusikia kwa kenge mpaka damu zimtoke ngoja niende kwanza Bujumbura.
Asante
Mm ni mlokole na nnafanya hicho alichokua anafanya mkeo,(kuombea watu madhabahuni) lakini Hilo kanisa sio mahali sahihi pa mkeo kuendelea kusali maana hawana heshima kwa ndoa, there is no way utamuheshimu mchungaji( mwanaume ) more than unavomuheshimu mumeo hata biblia inapingana na Hilo.......hata kama ulikosea methodology( hukutakiwa kufika na kuweka watoto madhabahuni, ungemuita mkeo nje ukampa watoto anyonyeshe) still wao wamekosea sana kukuzuia kuonana na mkeo......muondoe mkeo hapo
 
L
Kifupi Hasira hazilipi hata angeenda na mkuu wa Jeshi la Polisi angemwambia tukae nje wakimaliza ibada wakitoka tuwakanate nje lakini hata angekuwa IGP asingeingia kanisani au msikitini kumkamata

Ungechoma ni kesi ya mauaji Tena ya kukusudia.Kesi ya mauaji huchukua Hadi miaka 10 kuanza kusikilizwa ungenyea.ndoo Hadi ukome na mihasira Yako na mahakamani hupelekwi Kila siku waendesha mashtaka wanasema upelelezi unaendelea wanakuacha uoze huko mahabusu miaka 10 sababu bwege hujali wengine au kujijali mwenyewe kisheria wanakuacha uoze mahabusu sababu hata uhai wako mwenyewe huthamini Wala wa wengine Kwa mihemuko Yako ya kidini utafia mahabusu
Labda sungusungu.
 
Nenda kaka,na uombe rehema ya Mungu kwa kufanya fujo madhabahuni. Kumbuka madhabahu haichezewi. Hapo alikuwa kanisani,imagine huyo mkeo angekuwa yuko kwenye kikao na mkuu wa nchi ungempelekea watoto hapo? Angekuwa daktari yuko theatere ungempelekea?
Angekuwa amekwama safarini ama amelazwa wodini ungempelekea watoto hapo?
Acha uninga wewe. **** na mkuu wa nchi ndio kichukue masaa kumi. Ingekuwa watoto sio mhimu hata waajiri wasingekuwa wanawapa muda wazazi kwenda kunyonyesha
 
Back
Top Bottom