Ushauri: Nina mchumba anasoma chuo cha Mkwawa Iringa, napitia magumu sana!

Unapigwa, mabinti wa vyuoni wapo moto sana!!

Happ tayari ana mpenzi wake wa huko chuoni aidha ni mwnafunzi mwenzake ama mwalimu anaempa penzi ili apewe maksi za chupi.

Subiri amalize chuo kwanza aachane na mambo ya huko, kwa sasa utaumiza kichwa tu.
 
japo hawezi kukuelewa ila mpe ushauri sana ajikinge na magonjwa....Iringa sio safe sana, tupo hapa tunajua.

atajutia sana...huwa tunazika wengi Kwa magonjwa ya kikubwa.
 
Mkuu achana na malaya uyo.. Inauma kingese..
 
Mwambie TU ukweli,
Tutakuja kupoteza Nguvu KAZI ya taifa kizembe sana
 
Unajaribu kumpa ukweli ambao anataka yeye aupate Ila Bora umwambie ili ajue la kufanya. Kuliko kupoteza muda. Na Tena akatoa mahari duu jamaa akaoza kinyama. Usioe unayempenda mno kupitiliza utaumia. Atakuwa anakohoa huendi kazini unafanya analotaka. Hao huwa Ni wakupitia tu. Weka ndani mke wa kawaida mwenye Tabia nzuri over akutengenezee familia. Hapo bado hajaanza kazi akutane na ded amuhaidi kuwa nakuhamisha idara ya elimu nikupeleke financial kila muda akihitaji mbususu anapelekewa
 
wapo moto sana!!
Mie miaka yote minne pale Bibi hostel sapu za kutosha sijawahi miss bana ,Sasa Ile wanaingia pale getini nishapokea begi lake adi room namba yake nampeleka anaoga tunaenda kula tukirudi Ni kulala humo mpaka asubuhi. Kesho napokea mwingine Tena jamani.maisha ya bibo yalikuwa matamu mno kwa upande wangu. Ule uwanja wa basketball baada ya Sina tunapumzika pale nafungulia zipu napakata mtu tunapiga stori na huku wengine wakifanya yao huko uwanjani.

Zile dining ama kitchen nimesoma nimechoka saa Saba usiku naita mbususu from block a or b inakaa juu ya meza nimesimama chini. Romance ya kutosha miguu begani nasuuza viwili naenda kulala zangu nikishamaliA kuoga. Kesho yake pindi main campus Niko mwepesi na furaha ya kutosha. Huwa nawaza nikapige postgraduate ili kidogo niwe nawapa lift undergraduate Mana wanagombania mno shato to main campus
 
Wengi wao hutoka huko na wachumba type yao mkuu.
 
Sio "lunzewe" ni RUNZEWE A.K.A SHAMBA LA NYEGE,nishafungua codes,huyo manzi namjua,Pole sn...
Ingia inbox mkuu umwambie ukweli ili umuokoe,mwambie wanayesoma naye hapo chuoni huku wakiwa wanatumia earphone moja kila mtu kwa sikio lake. Pia wanajisomea room vimbweta vikiwa vimejaa fulani
 
Mwanaume unapiga piga simu hovyo hadi usiku unataka kuripoti tukio la uhalifu ama?

Mwanamke ndiye anayepaswa kuwa anakupigia pigia simu...

Na kama hapokei simu zako, nawe acha kupokea za kwake...
Shindikana katika ubora wako!!!
 
Tulete ambulance mapema au utakuf a kimya kimya?[emoji28]
Haha!!Wacha niendelee kufa kimya kimya tu

Ila dogo mtamu balaa na mimi ndo nilikuwa mwanaume wake wa kwanza kutoa usichana wake(najivunia katika hilo)

Nawaza nilivyokuwa namfanya kuna jamaa atakuwa tayari kashaanza kumfanya(ila nisihukumu katika hili perhaps ni ubize wa masoma na ugeni wa mazingira)[emoji1]
 
Sm
shemeji Acha kulalamika ,muache dada asome
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…