[emoji38][emoji38][emoji38]Andika mirathi yako kabisa alafu nenda kamtembelee by surprise.
Mwambie TU ukweli,Saivi unayo kitu inaitwa perceptual blind spot. Kiufupi hauna mke ameshakuzoea amekuona huna value kwake. Nakuambia ukweli sema hutonielewa Mana saivi unayo iyo perceptual blind spot in your mind. Yaani huwezi ona. Already you're operating under fight/flight mode of our survival ancestry caveman brain mode mkuu. Yaani narudia kopi hii isevu in your email baada ya miaka mitano utakuja kunielewa. Kama vipi nipe namba yako wozapu nikuokoe Kuna Kodi nyingine Naona tunaenda kupoteza ama kupunguza Mana huwezi fanya kazi zako vizuri. Nikuambie tu mie nimesoma na hao wanachuo mpaka nje kwa Putin nimesoma nimewachakata mbususu zote adi za kirusi Ila nimerudi bush kwetu nikaoa lasaba mkuu. Can you imagine like.
Naomba tuwasiliwane nikuambie ukweli ambao sahihi hutoelewa Ila ubongo utataka kulazimisha kuona ambacho inataka kuuona. Nakuhurumia niliyapitia hayo mkuu.
Unajaribu kumpa ukweli ambao anataka yeye aupate Ila Bora umwambie ili ajue la kufanya. Kuliko kupoteza muda. Na Tena akatoa mahari duu jamaa akaoza kinyama. Usioe unayempenda mno kupitiliza utaumia. Atakuwa anakohoa huendi kazini unafanya analotaka. Hao huwa Ni wakupitia tu. Weka ndani mke wa kawaida mwenye Tabia nzuri over akutengenezee familia. Hapo bado hajaanza kazi akutane na ded amuhaidi kuwa nakuhamisha idara ya elimu nikupeleke financial kila muda akihitaji mbususu anapelekewaPole sana huwezi ukaanza kuargue moja kwa moja huenda ni kweli unakuta harakati za masomo kwa siku zinamchanganya, mimi siamini kwamba kila msichana akifanya hivyo anakuwa anakusaliti hapana! Unaweza kukuta ni kweli anakua amechoka tafadhali usimhukumu moja kwa moja bila kupata uthibitisho. Sio kila msichana akionesha hivyo ni msaliti[emoji3578]
NyiiiieeeeKwa hizi comments bado hujakata roho tu?
Mie miaka yote minne pale Bibi hostel sapu za kutosha sijawahi miss bana ,Sasa Ile wanaingia pale getini nishapokea begi lake adi room namba yake nampeleka anaoga tunaenda kula tukirudi Ni kulala humo mpaka asubuhi. Kesho napokea mwingine Tena jamani.maisha ya bibo yalikuwa matamu mno kwa upande wangu. Ule uwanja wa basketball baada ya Sina tunapumzika pale nafungulia zipu napakata mtu tunapiga stori na huku wengine wakifanya yao huko uwanjani.wapo moto sana!!
Akajitoa mazima Ila ndio anapitishwa kwa tohara ya roho ili akomaeKwa hizi comments bado hujakata roho tu?
Wengi wao hutoka huko na wachumba type yao mkuu.Wadau tupeane uzoefu kidogo ,nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa lunzewe, yupo chuo cha mkwawa iringa mwaka wa mwisho!
Tatizo linakuja usiku hapokei cm kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga cm hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi cm hapokei!
Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma mkwawa nisiendelee kupigwa!
Ingia inbox mkuu umwambie ukweli ili umuokoe,mwambie wanayesoma naye hapo chuoni huku wakiwa wanatumia earphone moja kila mtu kwa sikio lake. Pia wanajisomea room vimbweta vikiwa vimejaa fulaniSio "lunzewe" ni RUNZEWE A.K.A SHAMBA LA NYEGE,nishafungua codes,huyo manzi namjua,Pole sn...
Mleta uzi kakata moto jamani,aliyekaribu naye atupe maendeleo yakeNyiiiieeee
Apatiwe msaada mapemaAkajitoa mazima Ila ndio anapitishwa kwa tohara ya roho ili akomae
Tulete ambulance mapema au utakuf a kimya kimya?😅Kuna wangu kaenda chuo ndo yupo mwaka wa kwanza tayari mawasiliano yameshaanza kuyumba
Ni swala la muda tu
Shindikana katika ubora wako!!!Mwanaume unapiga piga simu hovyo hadi usiku unataka kuripoti tukio la uhalifu ama?
Mwanamke ndiye anayepaswa kuwa anakupigia pigia simu...
Na kama hapokei simu zako, nawe acha kupokea za kwake...
Haha!!Wacha niendelee kufa kimya kimya tuTulete ambulance mapema au utakuf a kimya kimya?[emoji28]
shemeji Acha kulalamika ,muache dada asomeWadau tupeane uzoefu kidogo ,nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa lunzewe, yupo chuo cha mkwawa iringa mwaka wa mwisho!
Tatizo linakuja usiku hapokei cm kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga cm hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi cm hapokei!
Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma mkwawa nisiendelee kupigwa!