Ushauri: Nina mchumba anasoma chuo cha Mkwawa Iringa, napitia magumu sana!

Mkuu kuwa mpole.
Tafuta mchumba uoe.

Mwanamke msomi huchakatana na wasomi wenzake. Atapata mume na hana habari na wewe.
 
Jamii ina tatizo kubwa katika namna inavyowandaa vijana wa kiume kutekekeza majukumu yao.
 
Mwanaume ni mtemi by nature, hana asili ya kulia lia...

Hivi mwanaume unaanzaje kulia lia eti simu zako hazipokelewi ?

Toa kauli moja tu kwa mwanamke yenye kuonesha mamlaka full stop...
Mkuu
Unadhani hawa wanaokuja kulia lia jukwaani dhidi ya wanawake ni wanaume kamili basi?

Wengi ni mchicha mwiba. Wananitutumua kuonesha wana mahusiano kumbe hasara tupu
 
Hii ndo ajabu yaani...
Ukitaka kuona maajabu zaidi pale ukimwacha kule alikokuwa anakimbilia huwa panafunga anabaki kama mwehu..
Ilotokea hivyo hivyo, maana wote tulikua wanachuo mm nilienda mbeya yeye iringa. Sijui kilimpata nini[emoji848][emoji848][emoji848]

Baada ya mwaka kule upande mwingine kumefunga anabwaya kunitisha atajinyonga baada ya kutotaka kumsamehe. Na hata chuo hakumaliza
 
Mkuu mbona kama visa vyetu vinafanana kasoro majina ya chuo[emoji16][emoji16][emoji16]

Mimi nilitumiwagwa text baada ya kumpigia 0000hrs usiku ikisema "mbona unambua mke wangu" sisahau niliumwa nikainua na magonjwa mengine na kufika hospitali.
Sasa huyu alietoa mahari kabisa kazi anayo.


Ahesabu Hana mchumba
 
Kadai pesa yako. Kama vipi fanya kumtembea ghafla bila taarifa na ukifika mwambie unataka kuwa nae siku nzima. Kifupi japo inauma kama unaweza mkatie mawasiliano mazima. Ila chunguza uenda kweli anachoka kwani yupo facult gani? Je mchana uwa anakutafuta?
 
Ukute anaishi na msela geto Ana balansi gemu
 
Iliwahi kunikuta hii mkuu, acha kabisa yaan Mapenzi kummyoooo 🤪🤪
 
Duh..!
Hii ya kwako ilikuwa balaa zaidi
 
Tatizo la hawa watoto wa kike kuna muda wanakua kama nyama choma yani kila unapopita inanukia unaweza kujikuta unagombana na kila mwanaume aisee wengine wanamsalimia tu wafurahi.
 
App niliifuta nakumbuka niliichuka kwa 47000. Zipo nyingi ila jina la app nimesahau,

Niliifuta siku ambayo nimekuta wanachart wanasifiana kua pisi anajua kupika na anajua kunyanduana.
 
usiku hapokei simu kabisa... hii kauli tafsiri yake ni kuwa haupo peke yako usiku ni mda wa kupumzika na mpenzi wake wewe tulia tu.
 
Sitisha huduma haraka iwezekanavyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…