YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Mtafutie mkeo kazi ya Bar, akifunga unaondoka naye. Case closed.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kabisaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtafutie mkeo kazi ya Bar, akifunga unaondoka naye. Case closed.
FursaSi ntakula sasa hadi nivimbe nitapike
Thread ifungwe tuendelee na mambo mengine 🤣🤣Mtafutie mkeo kazi ya Bar, akifunga unaondoka naye. Case closed.
Unapenda vya wengi, jichunge.Wakuu hii inaenda kunipoteza, hapa nilipo nimetoka kdg kupiga vyombo ila kuna huyu barmaid nisipoondoka nae leo sidhan kama nitalala.
Yaan hii kama ni fetish basi nimekamatwa mwenzenu, naenjoy sana kubaiolojiana na mabarmaid kuliko pisi za kawaida wakifuatiwa na masecretary
Wataalam nipeni mbinu natokaje hapa
Kwao ni sawa, sababu mtu anaishi hadi 80 akiwa na afya nzr, cheki kina Gates walivyo. Huku 50 tu mtu choka mbaya, kwa African context life begins at 20 kama sio 15Wazungu wanasema "Life began at 40" sijui walikua wanamaanisha nini!!??
Heheheheee, ww kwenye hizi dhambi umekubuhu, ila role play inachangia sana wanaume kuanza kutamani kugeuzwa na wake zao, sio mm ni research inasema hvo. Hio michezo sio kabisa, ma sishaurimnaweza mkafanya role-play we na mkeo, anavaa kibarmaid na wewe unajifanya mteja.... bar mnaigiza ni hapo dining room....
wajuba dronedrake mzabzab na Mzee wa kupambania wanaelewa hii
leta ushahidi haparole play inachangia sana wanaume kuanza kutamani kugeuzwa na wake zao