Good-bye
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,085
- 1,812
Kama alivyoingia etii🤣🤣unatokaje? kwa uliingiaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama alivyoingia etii🤣🤣unatokaje? kwa uliingiaje?
Fungua bar
Mtafutie mkeo kazi ya Bar, akifunga unaondoka naye. Case closed.
Wamedondoka Kwa sababu ya Msingo wa MaishaNje ya mada: nasikia vijana wengi wamedondoka mwaka huu kwa sabbu ya homa ya ini. Sijafanya utafiti ni story za vijiwe vya kahawa.
Pia vijana wengi nchini Wana UKIMWI Ila hawajijuiNje ya mada: nasikia vijana wengi wamedondoka mwaka huu kwa sabbu ya homa ya ini. Sijafanya utafiti ni story za vijiwe vya kahawa.
Kawaoe uone raha au shubiri yao. Mkataa pema pabaya panamuitaWakuu, hii inaenda kunipoteza, hapa nilipo nimetoka kidogo kupiga vyombo ila kuna huyu barmaid nisipoondoka nae leo sidhan kama nitalala.
Yaan hii kama ni fetish basi nimekamatwa mwenzenu, naenjoy sana kubaiolojiana na mabarmaid kuliko pisi za kawaida wakifuatiwa na masecretary.
Wataalam nipeni mbinu natokaje hapa.
Aisee huu ugonjwa ni hatari na sasa hv umepamba motoNje ya mada: nasikia vijana wengi wamedondoka mwaka huu kwa sabbu ya homa ya ini. Sijafanya utafiti ni story za vijiwe vya kahawa.
Mbaya zaidi haizuiliki kwa condom...unaweza ukapenya...make apo kwanza ncheke....Aisee huu ugonjwa ni hatari na sasa hv umepamba moto
Wakuu, hii inaenda kunipoteza, hapa nilipo nimetoka kidogo kupiga vyombo ila kuna huyu barmaid nisipoondoka nae leo sidhan kama nitalala.
Yaan hii kama ni fetish basi nimekamatwa mwenzenu, naenjoy sana kubaiolojiana na mabarmaid kuliko pisi za kawaida wakifuatiwa na masecretary.
Wataalam nipeni mbinu natokaje hapa.
Case closed.Mtafutie mkeo kazi ya Bar, akifunga unaondoka naye. Case closed.
anakuj tusumbua uku akiingia hakutuukiza kutok anatuuliz etKama alivyoingia etii[emoji1787][emoji1787]
Unahitaji maombiWakuu, hii inaenda kunipoteza, hapa nilipo nimetoka kidogo kupiga vyombo ila kuna huyu barmaid nisipoondoka nae leo sidhan kama nitalala.
Yaan hii kama ni fetish basi nimekamatwa mwenzenu, naenjoy sana kubaiolojiana na mabarmaid kuliko pisi za kawaida wakifuatiwa na masecretary.
Wataalam nipeni mbinu natokaje hapa.
Siku si nyingiKa u kimwi kadogo tu wala sio kengi katakutuliza baadae.
Mwanaume halisi ni yule mwenye uwezo wa kuji'control' tamaa za kijinga Kama hizi! Jali familia yako! Ithamini familia yako! Ipende familia yako!Wakuu, hii inaenda kunipoteza, hapa nilipo nimetoka kidogo kupiga vyombo ila kuna huyu barmaid nisipoondoka nae leo sidhan kama nitalala.
Yaan hii kama ni fetish basi nimekamatwa mwenzenu, naenjoy sana kubaiolojiana na mabarmaid kuliko pisi za kawaida wakifuatiwa na masecretary.
Wataalam nipeni mbinu natokaje hapa.
Jasho la mtu mwenye maambukizi mate yaani maji maji yoyote ya mwilini yanaweza kuambukiza huu ugonjwaWekeni data, kwani hepatitis B inaambukizwa kwa kundinyana
SureJasho la mtu mwenye maambukizi mate yaani maji maji yoyote ya mwilini yanaweza kuambukiza huu ugonjwa