USHAURI: Nini cha kufanya kama mwenza wako alikuficha kuwa ana mtoto, Ukaja kujua baada ya miaka zaidi ya 10 baadaye?

Umeishi na mtu kwa miaka 15, mmezaa watoto 4, unakuja kumuacha kisa hakukwambia kua aliwahi kuzaa kabla!!?

Ukisikia kutafutiana sababu ndio huko sasa.
trust me, kwenye watoto 4, possibly kuna mmoja au zaidi siyo wa yule wa mwamba, Imagine mkeo ana mawasiliano ya siri na mzazi mwenzie na mtoto kwa miaka karibu 20...na unaishi nae na kulala nae kitanda kimoja....
 
Kama umenificha miaka 15 yote vipi hao watoto 4 uliozaa na mimi nitaamini vipi kama ni watoto wangu?
Bora mwanume muongo kuliko mwanamke muongo
 
Yani umataka kusema mwanamke unazaa afu hujui kuwa unamtoto au???
 
Mume angemsamehe. Kama amefikiria vizuri. Awaze kwamba sii jambo. Jema kutoa mimba na pia sii jambo jema kuficha jambo, ila kwa. Sababu ya upendo alifanya hivyo. Akiri kosa. Na aombe msamaha.
 
Binafsi sijaona Cha kufanya ndoa ivunjike Kuna madhara gani yanatokea baada ya kugundua hakuna..so why kufanya mambo magumu huyo baba alikua anatafuta sababu tu .
 
Mkuu hivi vitu huwa mtu namwambia fuata moyo wako unavyopenda ukiona kaleta mpk hapo officini ujue imemuumiza sana.

Watu wengi wanachukuria kirahisi sana kwa sababu ijatokea kwao.
Umeona ee? Ndo maana tukawa tunampoza tunamwambia alifanya mkiwa hamjaoana. Msamehe muangalie ya sasa.

Ila kiukweli nikiwaza nashindwa kupata majibu. Mwanaume anamwambiaje potezea yalishapita sijui
 
Umeishi na mtu kwa miaka 15, mmezaa watoto 4, unakuja kumuacha kisa hakukwambia kua aliwahi kuzaa kabla!!?

Ukisikia kutafutiana sababu ndio huko sasa.
Unapoficha jambo kama hilo na baadaye kujulika a jua kwamba umevunja trust aliyokuoatia muhusika! Usishangae mkaachana hata kama ndoa ina miaka 50!

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Unapoficha jambo kama hilo na baadaye kujulika a jua kwamba umevunja trust aliyokuoatia muhusika! Usishangae mkaachana hata kama ndoa ina miaka 50!

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Kuna mama mmoja aliachwa ndoa yao ilikuwa na zaidi ya miaka 40 kisa mama alipokea mahari ya mtoto wao bila kumuambia mume wake.
 
Kwahiyo huyo mwanaume ndio unamtolea mfano?,hapo umefeli sana
 
Wewe una vituko utadhani mtoto,sasa kama saikolojia ya Baba kama haipo sawa hao watoto watalelewaje??.Kuoana kwa miaka 10,20 au 40 sio tatizo issue kubwa ni uaminifu.Mahusiano is all about trust huwezi kuishi ndani na mtu usiye mwamini-hata kama ndoa mna miaka 60 ukagundua mwezi wako alikudanganya jambo kubwa you call it off.

Huyo jamaa angekuwa tahira wa mwaka kama angeendelea kuishi na huyo Mwanamke.
 
Kweli kabisa mkuu.anaongea simple tu je kuhusu kumwamin kutakuwepo tena?
 
Sisi ni wanaume na nyinyi ni wanawake FULL STOP,
 
Kama tulivyo kubaliana kwenye kikao cha mwisho kwamba wazazi hawaachani[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…