Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Wabongo suala la Privacy hua wanalitafsiri tofauti sanaaa, hatujui kuwekeana mipaka hata kama ni wanandoa au wapenzi, tamaduni zetu labda zinachangia,Mimi nawekaje hasira na mihemko kwenye uzi usionihusu? Hapa tumeitwa tutoe ushauri nakushangaa unapanic kwenye comment yangu,
Unavyosema tusijadili kimazoea ya Kiswahili kwa hiyo tujadili kigeni kwa Kizungu au Kichina? Maana hao hili tukio wakipelekewa ndio kabisaa watazidi kumshangaa huyo Mwanaume,
Umesema mwanzo wa mahusiano mnaulizana moja, mbili, tatu, umejuaje kama hii couple tunayoijadili hapa waliulizana yote hayo!!??
Pia elewa maana ya privacy, kama hajataka jambo lake liwe wazi sio vema kumlazimisha, yule ni mwanae yeye ndie alikua anajua zaidi.
Pole Muarabu wangu, naona ulitumia nguvu nyngi kuwaelewesha wamatumbi (in your voice) lol