Oppo A17k
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 904
- 2,708
Tumia akili dada. Kama wewe unaona ni rahisi basi kwa wengine ni ngumu.Kwa mtu mwenye akili timamu, rijali, aliyepitia malezi bora ya wazazi wote wawili hawezi kuacha mke aliyeishi nae miaka 15 na kuzaa nae watoto wanne kisa alimficha kua alizaa kabla, hilo ni kosa dogo sana na linazungumzika.....
Na kama mtu hayupo tayari kuzungumza ya nyuma kwanini alazimishwe??? Kila binaadam ana siri yake na maamuzi yake yanapaswa kuheshimiwa, huwezi jua hilo tukio lilimuumiza vipi akaamua kulifukia na kuanza upya.
Kama ameweza kunificha hilo nitamuamini vipi tena? Lazima kuna mengine mengi kayaficha mengi ya usaliti