USHAURI: Nini cha kufanya kama mwenza wako alikuficha kuwa ana mtoto, Ukaja kujua baada ya miaka zaidi ya 10 baadaye?

USHAURI: Nini cha kufanya kama mwenza wako alikuficha kuwa ana mtoto, Ukaja kujua baada ya miaka zaidi ya 10 baadaye?

Kwa mtu mwenye akili timamu, rijali, aliyepitia malezi bora ya wazazi wote wawili hawezi kuacha mke aliyeishi nae miaka 15 na kuzaa nae watoto wanne kisa alimficha kua alizaa kabla, hilo ni kosa dogo sana na linazungumzika.....

Na kama mtu hayupo tayari kuzungumza ya nyuma kwanini alazimishwe??? Kila binaadam ana siri yake na maamuzi yake yanapaswa kuheshimiwa, huwezi jua hilo tukio lilimuumiza vipi akaamua kulifukia na kuanza upya.
Tumia akili dada. Kama wewe unaona ni rahisi basi kwa wengine ni ngumu.

Kama ameweza kunificha hilo nitamuamini vipi tena? Lazima kuna mengine mengi kayaficha mengi ya usaliti
 
Bora shetani unayemjua...

Ningemuacha, sio kwasababu ana mtoto ila kwa sababu simjui. Kama naweza kukaa nae miaka 15 ya ndoa na nisifahamu suala zito kwenye maisha yake kama idadi ya watoto aliozaa, huyo mm simfahamu kabisa.

Ni hatari kuishi na stranger. Bora shetani unayemjua.
 
Ninyi ni wabinafsi sana ndio maana hamuwezi kuona hili suala kwa jicho la tatu, umeishi na mtu miaka 15 na ameshazaa watoto wanne unamuacha akaanze maisha ya usingle, mna watoto wanne tayari watoto waanze kulelewa bila wazazi wote wawili mlishawaza jinsi gani mnawaathiri kisaikolojia? je mahusiano ya mama na mtoto aliyemficha kwa miaka 20 yatakuaje? hamuoni kuna chuki itazalika kua ujio wake ndio umemfanya ameikosa ndoa yake?

Kosa lenyewe la kijinga kabisa.
Eti kosa la kijinga hahaha ....
 
Mama Kinachoshangaza kweny comment yako ni kwamba unakosoa maamuzi ya mwanaume ambaye hana makosa yeyote...yaan makosa afanye mwanamke alaf mwanaume ndo alalamikiwe.

Usimtetee mwanamke mwenzako bhana amekosea, kama kakuficha ana mtoto miaka 15 atakuwa amekuficha mangapi??
Kwann akufiche miaka yote hiyo mtu unalala nae na kuamka kitanda kimoja, mnakula meza moja kila siku mnaangaliana usoni anakuficha ana mtoto miaka 15.

WANAWAKE MNATISHA AISEE, UKIACHANA NA MUNGU HAMNA KITU NAOGOPA HAPA DUNIANI KAMA MWANAMKE.

Impression yangu ni kwamba huyo mwanamke alikuwa ni mhuni na alikuwa anajaribu kuficha.

Ndoa na kufichana ukweli ni vitu viwili tofauti.
Huyu mwanamke hastahili kusamehewa hatakama wangezaa watoto Saba....Hapo Kuna vingi anawaza na vinamuumiza sana
 
Kwa maelezo ya mtoa mada ni kua, mwanamke aliolewa akiwa ana miaka 21, na sasa mtoto ana miaka 20, hatujui sababu ya yeye kutengana na mtoto wake na hatujui sababu ya yeye kutokumwambia mumewe kua ana mtoto, mtoto alikua analelewa na baba ake, what if alinyang'anywa mtoto akaamua kuanza upya na huyo mume wake? Kwanini umuite muhuni kisa tu hakukwambia kuhusu mtoto,

Kwanini uumie sana hadi utoe talaka, alikuomba matumizi ya mtoto? Kama miaka yote mlikua vizuri hilo tu ndio umuache? hapo ni wazi ulikua unamtafutia sababu hakuna kingine unless kuwe na jambo lingine mleta mada halijui.
Mtoto hanyang'anywi hata siku moja, hili nakataaa ila Serikali inaamua mtoto akae sehemu atapata matunzo, wewe unazani huyo mtoto ajekuwa Rais au mfanyabiashara mkubwa huyo mama hatamfwata mwanae??? .....eti aanze upya[emoji23][emoji23][emoji23],
 
Umeishi na mtu kwa miaka 15, mmezaa watoto 4, unakuja kumuacha kisa hakukwambia kua aliwahi kuzaa kabla!!?

Ukisikia kutafutiana sababu ndio huko sasa.
Uongo ni kitu kibaya sana mkuu, hasa kwa mtu unayemwamini. Nakubaliana na huyo mwamba 100%
 
Haya ni hivi: Mimi nilipokutana naye alikuwa na mtoto mmoja na hakunificha. Huyo mtoto baba yake ni wale wanaume wala maisha na hakuwa na habari naye wala alikuwa hamtunzi wala kuulizia lolote juu yake. Kwa kifupi ni kama alikuwa amemsahau. Basi akawa mmoja ya familia yetu na tukafanikiwa kupata wengine wawili. Vituko vilianza hapa. Nikapata safari ya kikazi ya miezi kadhaa. Nikiwa safarini nikasikia maneno maneno mengi juu yake, ya kutotulia na kuonekana na wanaume japo sikutilia maanani sana. Kurudi nikakuta kuna mtoto wa kiume mdogo kama miaka 12 nyumbani. Nilipoulizia huyu mtoto ni wa nani nikaambiwa ''mama yake alishafariki'' (alisema mama yake alikuwa rafiki yake sana) na huyo mtoto anaishi na baba yake. Nikaambiwa yuko likizo na amekuja kusalimia. Mambo yakaisha. Siku moja nilisafiri kwenda Arusha kwa wiki moja. Kumbe nilipoondoka ndugu zake walikuja na wakawa wanapiga story. (haya nilikuja kupenyezewa na mama mmoja mmbeya sana.) Na akaniambila alisikia wanapiga story huku akisema kuwa katika mimba ambazo hakuteseka kabisa ni ile ya yule wa mtoto wa kiume ambaye alisema ni mtoto wa rafiki yake aliyefariki. Hili likanifungua macho. Kuchunguza nikaona kuna ufanano kati yake na yule mtoto. Nikazama sehemu nikiwa na jina la mtoto. Nikakuta imeandikishwa mama ni yeye. Nikachunguza zaidi nikakuta kumbe nilipokuwa safari nikaambiwa alionekana na jamaa ni kweli na ni baba wa yule mtoto. Sasa niambie. Unataka niwe ''rijali'' (kama ulisevyosema wewe) na kusamehe upuuzi kama huu kwa sababu tu tumezaa na tulishaishi wote miaka kama kumi?
Pole sana kaka, Hapo USISAMEHE ,WANAWAKE NI WABAYA SANA HUWA HAWAONI HURUMA KABISA
 
Umeanza mihemko isiyo na sababu.
Pili tusijadili mambo kimazoea ya kiswahili.

Mwanzo wa mahusiano una mambo mengi.

Kuna mwanamke mkianza mahusiano anakutaka uwe wazi kwake kama umewahi kuoa au kuzaa nje.

Kwa moyo mkunjufu unamweleza ukweli.

Naye anakwambia hajawahi kuolewa wala kuzaa, baada ya miska 15 ukagundua alizaa na alikuficha kwanini udimwache?

Mwanzoni ukiniambia hata una watoto wawili kwa uwazi huo mimi nitakuoa.

Napendezwa na mwanamke muwazi, makosa kila mtu hufanya.

Lakini kitendo cha kumficha binadamu aliyetoka kiunoni mwako, si unaweza kumficha mmeo jambo lingine kubwa?
Ongea uhalisia uache hasira
Hana akili huyo anaongea simple sana jina lake lenyewe dream anajua anaota hapa achana nae asikuumize kichwa ...... kweli vijana tukatae ndoa maana ukipata mwanamke kama huyu cha moto lazima ukipate.
 
Hana akili huyo anaongea simple sana jina lake lenyewe dream anajua anaota hapa achana nae asikuumize kichwa ...... kweli vijana tukatae ndoa maana ukipata mwanamke kama huyu cha moto lazima ukipate.
Mkuu kuna mwana..mke na mwenye..uke
 
The husband has lived in the midst of lies to unfaithful wife for 15yrs. Hata hao wanne wakapimwe, huenda sio watoto wake.


Nimeshangaa kuna watu amekaza shingo kwa kitu obvious kabisa.
 

Attachments

  • Screenshot_20231006_001713_Google.jpg
    Screenshot_20231006_001713_Google.jpg
    38.5 KB · Views: 1
The husband has lived in the midst of lies to unfaithful wife for 15yrs. Hata hao wanne wakapimwe, huenda sio watoto wake.


Nimeshangaa kuna watu amekaza shingo kwa kitu obvious kabisa.
Wakaza shingo haswa wanawake ndio mindset zao hizo, they are bunch of liars and cheaters
 
Mkuu kuna mwana..mke na mwenye..uke
Naona imekuuma sana kukupa makavu yako, si unaona ulivyokula ukashiba ukatuliza kihedemswede chako,

Oeni kwanza ndio mje mlete michogo yenu kwenye mada za ndoa, sio mnasifia nyeto tu, ndoa ni Taasisi kubwa na haipo kwa kila mtu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] muwe mnazaa kwa uchungu basi ili
Tuone nguvu zenu zinakoishia.
Hawatakuelewa hao mijusi, angalia kwenye huu uzi wanaume walio kwenye ndoa walivyo comment halafu angalia hao wamwaga mbegu chooni huku wakijisifu KATAA NDOA walivyo comment,

Wanadhani Ndoa ni kama hizo betting zao,
Mijinga ya mwisho.
 
Naona imekuuma sana kukupa makavu yako, si unaona ulivyokula ukashiba ukatuliza kihedemswede chako,

Oeni kwanza ndio mje mlete michogo yenu kwenye mada za ndoa, sio mnasifia nyeto tu, ndoa ni Taasisi kubwa na haipo kwa kila mtu.
Huyu ndio Queen mwenyewe a.k.a jeshi la mtu mmoja,
Umenikumbusha enzi zileeeeeee ngoja ninyamaze 😹😹
Lol
 
Hawatakuelewa hao mijusi, angalia kwenye huu uzi wanaume walio kwenye ndoa walivyo comment halafu angalia hao wamwaga mbegu chooni huku wakijisifu KATAA NDOA walivyo comment,

Wanadhani Ndoa ni kama hizo betting zao,
Mijinga ya mwisho.
Hadi mijusi ipo humu humu 😹😹😹 ila Queen umenishinda tabia, nacheka tu
 
Back
Top Bottom