Mleta mada hiki kisa ni pasua kichwa sana, kuachana ni process, kuachana kuna dalili, kuishi ndoa kuna makwazo na makosa mbalimbali, kuishi ndoa kuna viashiria vya uaminifu na kukosa uaminifu, wapo baadhi ya wanandoa huambiwa umbea na kuupuza, wapo wanandoa hupeana limbwata, wapo baadhi waume hauno dalili mbaya za kubambikiwa watoto, Mahakama zina Baraza la ushauri kabla ya hukumu, kuna pia Baraza la kata, ustawi wa jamii, nafikiri na nawaza hakuna ndoa isiyo na mapito ya makwazo, yumkini hii ndoa imehitishwa kwa kuna dots nyingi sana zimeshabihiana.
Baada ya kupata maarifa kidogo kwenye maisha nimeamini binadamu hutengenezwa na elimu na maarifa mbalimbali ikiwemo waalimu mbalimbali mfano katika Mila, dini, wazazi, Babu, bibi, elimu Dunia. Maturity, wisdom, ability to contain and absorb and dilute life shocks.
Naelewa mtazamo tofauti na akili tofauti na pia ni haki kukubali kutokukubaliana, na kulinda haki na fikra za mwingine mwenye tofauti na mimi, pia ipo haja ya kujenga hoja ya kimantikk kwa tusiokubaliana.
Asante sana nimepitia kila comment nimejifunza mengi sana. 🙏🙏🙏
Ndugu mleta mada kati ya mke na .mme yupi ni mhasibu ambae na office mate wako?
Kwenye maisha referee habebi dhamana ya wachezaji hivyo si kila jambo linahitani deep thinking, peripheral issues zisikukoseshe afya ya akili.
Madam Dream Queen, Maranatha, Macho_ na wengine wote, kama Mungu alituumba tofauti japo kwa mfano wake, na yeye ni God of variety si ni nani tusiwe na fursa ya kuwa na mtazamo tofauti na afya ya mahusiano bado ikawa njema?
"Emotional intelligence draws the line of separation"
🙏🙏🙏
Wadiz