USHAURI: Nini cha kufanya kama mwenza wako alikuficha kuwa ana mtoto, Ukaja kujua baada ya miaka zaidi ya 10 baadaye?

Lakini sio kosa la kumuacha Mke, kama mmeishi miaka zaidi ya 18 pamoja ndiyo mje kuachana Uzeeni?

Tumeambiwa tusamehe 7x70

Huyo jamaa walikua wameshachokana, amepata sababu tu ya kumwachia mkewe.

Kingine, angejipa muda wa kutulia na kutafakari, kama amefanya haya maamuzi haraka akiwa na hasira inaweza kuja kimgharimu mbele ya safari na kubadili mambo itakua mchakato mrefu.

Kingine unawezakuta huyo Mama alificha haya mambo akijua analinda ndoa yake matokeo yake mambo yameenda kinyume, inatokea kwenye maisha unawezafanya jambo Kwa Nia nzuri likapokelewa tofauti au matokeo yakawa sio yaliyotarajiwa.

Mwisho, hapa tumepata habari Kwa juu juu tu, Kuna mengi hayajasemwa, inakua ngumu kutoa maamuzi au ushauri Kwa hizi taarifa zilizoletwa. Mfano, huyu Mama alikua anahusikaje na matunzo ya huyo mtoto? Kulikua na mahusiano au mawasiliano ya aina Gani kati ya hao wazazi?

Ukute jamaa aliwahi kuulizia akaambiwa hakuna kitu kama hicho, Sasa akija kubaini lazima awe kifaru.
 
@trudie mama kipenzi.
Bila shaka nawe ni muhanga wa hii situation, kuzaa na mtu na akasepa;

Nisikilize kwa makini.
1. Kukimbiana hutokana na kuzaa na mtu ambaye hamkuwa na malengo, mara nyingi ni ushikaji hatimaye mtoto....kosa ni lenu, unapaswa ubane mapaja hadi uchumbiwe na uolewe ksma hutaki hii kadhia

2. Kudate na wavulana au waume za watu, mnaingia kichwa kichwa nyie tena wengi kwa tamaa za kijinga tu.

3. Ni ukorofi wenu, mkishapewa mimba huanzi vitimwi kwanini msiachwe, mwanaume hapendi mwanamke korofi kama Dream Queen au faizafoxy

4. Kudate na wanaume wahuni, unategemea nini?

Narudia, kama hutaki aibu, bana mapaja hadi uolewe.

Wanaume tunapenda sana kuoa wanawake wagumu kutoa UCHI, hii ni siri.

Kama utanipa mzigo kirahisi, napata hisia kuwa wewe malaya, napiga nasonga mbele kama injili....tulizeni vidude vyenu.

LAKINI IKITOKEA UMEZAA...JIKUBALI...UKIPATA MUOAJI MWAMBIE UKWELI, USIOGOPE KUACHWA, KUNA MTU ATAKUPENDA NA MWANAO.

Pili utaepuka kuachika baadae mmeo skiujua ukweli.
 
Kuna watu hawawezi kuupokea uongo, yupo tyr apewe ukweli wa namna yoyote ile.....ww unahakika kama hawakuulizana hayo mambo, na vp kama alisema hajawahi kuzaa? Hii nakumaind ww na ukoo wako af mazoea yanakufa
Kua kwanza, ujue umuhimu wa familia na uchungu wa watoto ndio uje ucomment kwenye hii mada.
 
Hapo ngumu kumeza, kwamba huyo baba ataenda kuoa mwanamke mwingine na yeye amdanganye kwamba sijawahi kuzaa kumbe Ana watoto wanne
Anaweza kuoa hata hapo mtaani tu.
Unajua ukimwacha mke au mume kuna mtu hapo nje anamsubiri amdake.

Kila mtu huwa anatamani asicho nacho.
Huyo anaoa tena kwa harusi na wanwe wa 4
 
Umeishi na mtu kwa miaka 15, mmezaa watoto 4, unakuja kumuacha kisa hakukwambia kua aliwahi kuzaa kabla!!?

Ukisikia kutafutiana sababu ndio huko sasa.
Sio kutafutiana sababu kusema ukweli ni jambo la msingi kwenye relationship, kwanini alimficha hizo siku zote ? Huon kama kuna kitu hapo ?
 
unajionesha katika nyuzi hizi mb
Mwanamke kuwa na mtoto ni baraka ila kuficha siri kuwa umeshawahi kuzalishwa na mwanaume mwingine si busara na adhabu yake ni moja tu KUACHWA..
 
Kama ni over 50, kutelekeza watoto na kuanza upya pagumu sana , pressure sukari itakuwa nyumbani kwake!! Kuendesha Gari jipya ataweza!?
Labda kama Hana kipato Wala uwekezaji na sio lazima aoe
 
Umeishi na mtu kwa miaka 15, mmezaa watoto 4, unakuja kumuacha kisa hakukwambia kua aliwahi kuzaa kabla!!?

Ukisikia kutafutiana sababu ndio huko sasa.
Kwanini amfiche mtoto? Hicho ni kiashiria kuwa alikuwa bado anaendelea na mzazi mwenza wa awali. Hata mimi ningevunja ndoa au shingo la mtu.
 
NAKAZIA
 
Aiseh huyo mama ni mpuuzi sana
 
yaani lazima lazima alikuwa akikutana na Baba mtoto! haiwezekani mama amsahau mtoto wake daima aliyemweka kwenye tumbo lake miezi tisa.

naamini mpaka ndoa jamaaa ameamua kuivunja kuna vitu vingi sana vimepelekea ndoa hiyo kuvunjika.

uongo haudumu.

unaweza kudanganya lakini huwezi kudanganya wakati wote.
 
uwezekano huu ni mkubwa! watu wasiangalie tu alimficha mtoto! kuna mengine makubwa!!! huenda hata huyo jamaa alishakuja mpaka nybani kwake!
 
na kama je baba mtoto aliwahi kumtambulisha kwa mume wa ndoa ni kaka yake?
 
Umeishi na mtu kwa miaka 15, mmezaa watoto 4, unakuja kumuacha kisa hakukwambia kua aliwahi kuzaa kabla!!?

Ukisikia kutafutiana sababu ndio huko sasa.
Huna akili wewe, hiyo ni cheating ya hali ya juu, uongo wa namna hiyo hauvumiliki na hiyo ndoa ni batili kama ni ya kikristo. Yani aondoke zake. Wanawake mnapenda kurahisisha mabaya yenu sana. Sababu ni hiyo hapo ,kwanini amfiche? Ni kumfanya mjinga. Hakuna mwanaume mjinga. Safi kabisa aachane na kahaba hilo litamtia stress tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…