USHAURI: Nini cha kufanya kama mwenza wako alikuficha kuwa ana mtoto, Ukaja kujua baada ya miaka zaidi ya 10 baadaye?

Umeishi na mtu kwa miaka 15, mmezaa watoto 4, unakuja kumuacha kisa hakukwambia kua aliwahi kuzaa kabla!!?

Ukisikia kutafutiana sababu ndio huko sasa.
Alikuwa anapasha kiporo huyooo...

Hata mie ningemuacha.
Ongea ukweli wakati wa Uchumba.
 
Aliambiwa na nani!? Alijuaje!??
 
Basi nilidhani una akili kumbe wale wale, unasemaje watoto waliolala tumbo moja na kunyonya ziwa moja sio ndugu kisa baba zao tofauti?

Hebu usinichoshe mie kama unatafuta comments nyingi ushazipata
Wewe dada nimefuatilia posts zako una vitu hivi;

1. Una tabia ya faizafoxy
2. Una kisani sana utakuwa singo maza wewe.
3. Utakuwa akina mwajuma ndala ndefu wacheza vigodoro
 
Sababu ya talaka ni mwanamke kuficha jambo kubwa kiasi hiki.

Mwanamke au mwanaume kuficha jambo la mtoto hiyo ndoa ni batili.

Sio tu mwanamke kuficha hata mwanaume akificha anastahili hiyo adhabu ya kuachwa.

Mapenzi yamejengwa juu ya msingi UAMINIFU TU.

Uaminifu ukikosekana hakuna mapenzi tena..mapenzi yakikosekana ndoa inakufa.

Inaonyesha wewe ni kipanga, sio muaminifu ndio maana umekomaa kuandika mataputapu hapa we mkwere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…