USHAURI: Nini cha kufanya kama mwenza wako alikuficha kuwa ana mtoto, Ukaja kujua baada ya miaka zaidi ya 10 baadaye?

USHAURI: Nini cha kufanya kama mwenza wako alikuficha kuwa ana mtoto, Ukaja kujua baada ya miaka zaidi ya 10 baadaye?

Kwanini alificha. Jibu naweza kubuni japo sisemi kuwa niko correct. Alificha kwa sababu wanaume wengi hughairi kuoa wanawake wenye mtoto/watoto. Hili ni kosa ambalo wanawake wengi hulifanya. Ni bora useme ukweli kuliko kuficha. Ukificha hawa kama bwana hata-mind sana lakini maisha hayatakuwa kama yalivyokuwa asilan. Utajengeka ukuta mkubwa sana wa kukosa uaminifu kati yenu. Hata kwenye issue yangu alijitetea kuwa alificha kwa sababu aliona akisema ukweli kuwa ana watoto wawili ningeachana naye.
Upo sahihi kabisa, kosa hilo Wanawake wengi hulifanyaa kwa hofu ya kuachwa au kughairishwa kwa ndoa japo kwa upande mwingine wengine wanakua na sababu tofauti kabisa, kuna story niliiweka mwanzoni mwanzoni kabisa ya mama aliyenyang'anywa mtoto wa miezi 11, akaamua kufuta hiyo memory mbaya kwake na kuanza family upya hadi mtoto alipokuja kumtafuta mama ake akiwa na yeye ana watoto tayari, mumewe alielezwa sababu na akaelewa maisha yakaendelea,

Hoja yangu ni haya mambo yaangaliwe pande zote ili suluhisho lipatikane na sio kuangalia upande mmoja na lawama kama zote.
 
Koma kuhusisha ukoo wetu na ujinga ujinga, pia koma kunichulia eti nimeficha mtoto,
Kama una hasira sana kaolewe wewe jimbo la huyo mjinga mwenzio lipo wazi ni wewe tu na uaminifu wako.
Daah kumbe inakuwaga mweupe na hasira za hovyo hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
P

Tatizo hatujui majibu ya mwanamke baada ya mwanaume kujua.
Na ndio hasa nilichomuuliza mleta uzi, huyo Mwanamke kama alipewa nafasi alijibu nini? Mimi naamini lazima awe ana sababu ambayo kwake ilikua ina uzito kabla ya kumshushia matusi na kashfa au kuachana
 
Nyooooooo, una hela wewe chokoraa ya kulisha ukoo wangu, akili zenyewe huna sasa huyo Faiza Foxy ulomkazania yupo wapi hapa,

Acha kutafuta kiki kwenye nyuzi za watu, wahi kwa Mama ntilie huko Ukoko usije ukaisha ukalala njaa.
Acha usaliti wewe kikongwe[emoji2][emoji2]
 
Kwanini alificha. Jibu naweza kubuni japo sisemi kuwa niko correct. Alificha kwa sababu wanaume wengi hughairi kuoa wanawake wenye mtoto/watoto. Hili ni kosa ambalo wanawake wengi hulifanya. Ni bora useme ukweli kuliko kuficha. Ukificha hawa kama bwana hata-mind sana lakini maisha hayatakuwa kama yalivyokuwa asilan. Utajengeka ukuta mkubwa sana wa kukosa uaminifu kati yenu. Hata kwenye issue yangu alijitetea kuwa alificha kwa sababu aliona akisema ukweli kuwa ana watoto wawili ningeachana naye.
Hivi wanawake kwanini wengi wao wanakosa akili kiasi hiki?
Umezaa kabla badi ukaolewa bado unashindwa kutulia aaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli wewe ni mwehu naona kuna jambo zito ulifanywa na Faiza sio kwa kuweweseka huku,

Hebu usiniambukize njaa zako mie, sina muda wa kujibizana na machokoraa.
Mimi aina njaa hata kidogo kipenzi changu, wewe niambie ukweli awali kama unao hata watatu niambie ukweli nitakupenda vivyo hivyo...kwani ulipo sio bikra[emoji23][emoji23][emoji23]

Mwisho wa siku wewe utakuwa mshikaji wangu tu faiza[emoji23][emoji23]
 
Wewe dada nimefuatilia posts zako una vitu hivi;

1. Una tabia ya faizafoxy
2. Una kisani sana utakuwa singo maza wewe.
3. Utakuwa akina mwajuma ndala ndefu wacheza vigodoro
Hehehehe uko sahihi kbsa aisee kuhusu huyu mdada ,Yani anatetea upuuzi kbsa ,mtu uishi naye miaka 15 akufiche kuhusu mtoto wake aliyezaa Sasa mtu kama huyo si hata sumu anaweza akakuwekea na kukuua.....ukikosa uaminifu kama huo unastahili kuachika Tena ilibidi apakwe na pili pili matakoni
 
Huyo mwamba alifanya uamuzi mzuri Sana, kama mtu na familia yake wanakuficha jambo kubwa kama hilo kwa muda wote huo, ni mangapi atakua amekuficha kwa miaka yote hiyo🤔🤔 huyo anaweza kukua bila kujua kabisa, tena ilibidi amanase na makofi kabisa pumbavu shenzi Sana huyo 😡😡
 
Huyu inaonyesha alizaa kabla ya ndoa, anatetea upupu sana
Ni kitu cha ajabu na cha kikatili sana kuficha mtoto kisa ndoa au mapenzi...maana unakuwa tayari umeua nafsi ya kiumbe ulichokileta duniani....

Kwenye mapenzi kuna nini kipya mpaka ufiche mtoto? Eti ndoa....!!!

Shetani tu ndio anaweza ficha mtoto wake ila kwa binadamu kamili atatetea mtoto kwa hali zote hata akitengwa na dunia...

Hata malaya waliokubuhu hawawezi ficha watoto wao...ila shetani aliyevaa mwili wa binadamu ndio hufanya hivyo...Huyu dream queen na wanao tetea huu upumbavu sio binadam wenzetu...Yaani Ndoa ndio ifanye ufanye ufilauni huu daah..unakikana kiumbe ulichokizaa mbele za watu???
 
Hehehehe uko sahihi kbsa aisee kuhusu huyu mdada ,Yani anatetea upuuzi kbsa ,mtu uishi naye miaka 15 akufiche kuhusu mtoto wake aliyezaa Sasa mtu kama huyo si hata sumu anaweza akakuwekea na kukuua.....ukikosa uaminifu kama huo unastahili kuachika Tena ilibidi apakwe na pili pili matakoni
Walewale ujue
 
Upo sahihi kabisa, kosa hilo Wanawake wengi hulifanyaa kwa hofu ya kuachwa au kughairishwa kwa ndoa japo kwa upande mwingine wengine wanakua na sababu tofauti kabisa, kuna story niliiweka mwanzoni mwanzoni kabisa ya mama aliyenyang'anywa mtoto wa miezi 11, akaamua kufuta hiyo memory mbaya kwake na kuanza family upya hadi mtoto alipokuja kumtafuta mama ake akiwa na yeye ana watoto tayari, mumewe alielezwa sababu na akaelewa maisha yakaendelea,

Hoja yangu ni haya mambo yaangaliwe pande zote ili suluhisho lipatikane na sio kuangalia upande mmoja na lawama kama zote.
Wanawake wengine hovyo kabisa, unathamini mapenzi au ndoa kuliko mtoto uliemleta duniani. Ukipata mtu muambie ukweli kabla hata hamjaanza mapenzi ili awe na maamuzi mapema
 
Habari wana JF.

Kuna Ndoa imevunjika hapa ndoa ya miaka 15.

Mke alizaa kabla ya ndoa, sasa mama huyu alimficha mtoto,

Huyu mtoto alikuwa anaishi na Baba yake.

Mume alijua kwa mawasiliano ya simu.

Mama alipokuwa anaongea na mwanae.

Na mtoto anaumri wa miaka 20.

Mume wa ndoa kazaa nae watoto 4.

Dawati la suruhisho walijaribu kuweka sawa ili wasiachana ila ilishindika. Hata wachungaji walishauri kuwa asamee tuu kwani hata mtoto kashakuwa mkubwa hakuna shida yoyote lkn ndo hivyo ndoa imevunjwa jana na mahakama.

Huyu mama alizaa kipindi anaumri wa miaka 21.

Sasa wanajamii hivi vitu vinatokana na nini mpk mmoja anaamua kuficha mtoto?

NI NINI CHA KUFANYA BAADA YA KUJUA HATA KWA MUME KAMA ALIFICHA KUWA ALIKUWA ANAMTOTO.
Inasikitisha sana

Cc Darlin
 
Huu uzi kuna baadhi ya comments nimesoma nikahisi kutukana.
 
Tumemshauri kitu cha kumfanya asiwe na hasira. Tumemwambia amsikilize huyo mmewe kama kasema kaacha basi kaaacha. Ila kiukweli hata sijui kama ni sawa au si sawa
Mkuu hivi vitu huwa mtu namwambia fuata moyo wako unavyopenda ukiona kaleta mpk hapo officini ujue imemuumiza sana.

Watu wengi wanachukuria kirahisi sana kwa sababu ijatokea kwao.
 
Back
Top Bottom