Una umri gani? Halafu nitaendeleaWakuu salaam....
Mara kadhaa mama amekuwa akimtuhumu mzee kujihusisha kimahusiano na mama flani ambae ni shemeji yake. Mama amejaribu kufanya jitihada zakuwaachanisha kwa njia ya mazungumzo lakini wamegoma kuachana kabisa.
[emoji23]nimecheka utadhan mazuri.Asante mkuuMtoa mada chukua huu ushauri[emoji115]. Nina experience na jambo kama hilo. Usisahau kuvaa kimaafia kama siku unamtimbia huyo mamdogo. Mzura, jacket kubwa, buti, gloves za mikononi zile za sweater halafu sauti kama umekula ndumu na ulikuwa umepania kungawanya vipande ila umensamehe na kumpa chance ajirekebishe mwenyewe. Muwe watu wawili au watatu. Akitoka hapo amejikojolea na mnaweza kumvuta masikio kidogo. Au unaweza kunipa hiyo kazi, tunamweka mtu kati , sie machalii wa chuga huwa haturembeshi. Au ukitaka huyo mshua wako tunamweka kitako na bapa za sime kuwa sisi ni vijana(ndugu) wa huyo mamdogo au mimi nae ni mchepuo wangu na ukituruhusu tunampiga bapa moja tuu kisha tunampa chance atimue mbio
Ndo maana me bi mkubwa akisema niongee na mzee inabdi ntulize akili kwanzaa lasivyo mzee lazima mkosaneHaya mambo yanahitaji akili na utulivu; ukileta hisia za kumpigania bi.mkubwa unaharibu sana
NimepokeaNdugu,
Licha ya upendo mkubwa uliyonao kwa mama yako, nikushauri tu hili jambo ni la kuliendea kwa akili na sio mhemko.
Moja; huna mamlaka juu ya mahusiano ya baba yako na huyo mwanamke mwingine, kama ameshindwa kuwasikia na kusitisha mahusiano baada ya kusemwa na mkewe pamoja na ndugu zake, unadhani una nafasi kubwa sana ya kumshawishi huyo mzee?
Mbili; usianzishe chuki na baba yako kwa kuwa tu ana mahusiano nje ya ndoa na kwa namna moja yanamuumiza mama yako. Wewe ni mtoto wa kiume; endelea kutafuta suluhu bila kuharibu mahusiano yao.
Tatu; kamwe usithubutu kumuuliza mzee wako juu ya hayo mahusiano; endelea kutafuta suluhu bila kumuuliza huyo mzee. Hapa ni vyema ukatumia wazee wenzake na sio wewe mtoto aliyekuzaa mwenyewe.
Nne; fanya uchunguzi binafsi juu ya hilo jambo na sio kuamini moja kwa moja maneno ya mama yako; alisema mzee Kikwete ''za kuambiwa changanya na za kwako''
Mwisho ; japo si kwa umuhimu; yaone mahusiano ya baba na mama yako kama mahusiano ya watu binafsi; mapenzi yana mengi; kuna siku watakuja kupatana huku wakipeana huba zito na wewe utabaki unashangaa usijue namna ya kuwatazama.
Nimekueleza haya kutokana na uzoefu mbalimbali.
Uwe na siku njema.
Mkuu mda mwingine huwa nakuelewa sana nataman hii mindset wangekuwa nayo wanawake wote..kikubwa ni kujilinda na maradhi tuSijui ni Mimi tu yaan mi mtu kuwa na mchepuko naona is not big deal ilmradi anatunza familia tu...Cha kumkumbusha hapo ni kondomu au kupima mara Kwa mara.Maana maradhi nayo ni changamoto yakiingia ndani coz hapo tayari ni rectangle relationship
Ujue hata mimi hayo mahusiano yamzee na mchepuko wake sikuona Yana shida San cz majority ya wanaume tupo hivyo.Hata hapa kinachonichanganya sio mzee kuchepuka,noo...kinachonisumbua ni jinsi bimkubwa alivyoamua kunishirikisha.Sijui ni Mimi tu yaan mi mtu kuwa na mchepuko naona is not big deal ilmradi anatunza familia tu...Cha kumkumbusha hapo ni kondomu au kupima mara Kwa mara.Maana maradhi nayo ni changamoto yakiingia ndani coz hapo tayari ni rectangle relationship
Nakushauri, acha na masuala ya baba na mama yako.Pambana na maisha yako hao ni watu wazima kwani mambo ya ndani ya shuka za wapenzi usijaribu kuingilia.Vinginevyo unatafuta laana ya asubuhi na mapema30-39
Alibadilisha mbinu na jiulize wewe hauna mchepuko pamoja na kuwa katika ndoa?talking about my experience mzee wangu aliwahi kuwa na mchepuko na sisi kama watoto(mimi na kaka yangu) tuliamua kukaa chini na kumuandikia barua mzee kumchimba mkwara kwamba tumeshajua mambo yote na tunamuomba aachane na huyo mchepuko mara moja kabla hatujaamua kufanya maamuzi magumu
mbinu hii ilisaidia sana kwan tangu kipindi tumeandika hiyo barua hatukuwahi kumuona akipokea tena simu zake wala yeye akimpigia
Bas anakwepa dharau,msaidie Kwa kumwonya mwanamke huyo wa njeUjue hata mimi hayo mahusiano yamzee na mchepuko wake sikuona Yana shida San cz majority ya wanaume tupo hivyo.Hata hapa kinachonichanganya sio mzee kuchepuka,noo...kinachonisumbua ni jinsi bimkubwa alivyoamua kunishirikisha.
Yeah suremkuu mda mwingine huwa nakuelewa sana nataman hii mindset wangekuwa nayo wanawake wote..kikubwa ni kujilinda na maradhi tu
NB:mke/mume asiekua na hofu ya Mungu ni lazima ipo cku atachepuka tu
Jibu sahihi ni hili. Ila huwa natamani nikuine we mwanamke, UNAFAA SANAOngea na mzee mwambie aache nyege za kitineja acheat kwa akili, afiche michepuko yake....
Nb: usimshauri aache make michepuko inaimarisha ndoa, mwambie tu afanye kwa siri.