USHAURI: Rais Samia suluhisho pekee kwa Bandari Tanzania ni hili

USHAURI: Rais Samia suluhisho pekee kwa Bandari Tanzania ni hili

Bandari imeshatushinda kuiendesha, bado tuna akili za kitoto kwenye uendeshaji wa biashara na usimamizi, we are not matured enough to run these show.

Watu wetu wengi kwenye management and control ni zero na sio wakutegemea kabisa.
Tuna jamii ya watu wavivu, wezi, walevi, wazinzi na wasiojali chochote.
Hayo yote yameletwa na malezi mabaya kuanzia ngazi za familia, mfumo mbaya na mbovu wa elimu, jamii kuishi kwa kudekezana, Serikali kudekeza watu wake nk.

NINI KIFANYIKE PALE BANDARINI? naelezea chini kwa kirefu.
Hata biashara nyingi za watanzania zinakufa kutokana na hizi tabia za uvivu na wizi za Watanzania!

Mtu unawekeza pesa nyingi kuanzisha biashara unaajiri watu na unawalipa ila wanaishia kukuibia na kukuulia biashara yako
 
Ni ujinga kushindwa kusimamia serikali na kudhani kukabidhi kila kitu kwa wawekezaji ndiyo suluhisho. Huu ni uvivu na uzembe uliovuka mpaka, Kuna nchi nyingi tu zainafanya mambo yao bila kutegemea wawekezaji
Serekali ndio kikwazo cha bandari zetu kufeli angalia bandari kama Durbun inavyofanya kazi vizuri nimefika pale mazingira yake ni kama hii ya Dar wametenga eneo kama kigamboni wafanya biashara wamejengewa yard za kuzia biashara zao wanakodishwa wakiagiza mizigo meli zinashusha kwenye eno walilotengewa kwajili bila kulipia ushuru,wakiuza bidhaa moja nfano godoro wanalipia bidhaa iliyonunuliwa watu wa custom wako kwenye mageti ya kutokea mixigo bila kukilipia ushuru mizigo upitishi pake sio kama hapa kwetu ujuaji mwingi tungefanya kama wenzetu bandari zetu zingetengeneza ajira nyingi sana nchi jirani wasinge agiza mizigo kutoka nje wangenunulia hapa kwetu ukiwa na mtaji kidigo wa kununua mzigo unafanya biashara bila tatizo lakini hapa kwetu kizungumkuti nfanya biashara anaumiza kichwa gharama za manunuzi kusafirisha mzigo kulipia gharama za bandari kulipia ushuru storege akichekewa kidogo mnada unamuhsu akifika mtaani parchising power zero shida tupu tunapelekana mperapera sana nakukomoana ndiomana umasikini ningumu kuisha mwisho utasikia CAG riport yake anakuambia pesa zilizokusanywa zimeibiwa
 
Bandarini kumeoza kweli kweli. Mwezi uliopita nilikuwa nimetokea zangu huku Dk Mwinyi na kuna machine flani flani used nilikuwa nimenunua. Hivo nikalazimika kusafiri na meli ya mizigo ili nikifika nitoea kabisa mzigo wangu. Baada ya meli kufunga gati nilikaa kwa muda wa masaa matatu nikisubiri mtu wa kuja kukadiria CBM ya mzigo wangu. Baada ya makadirio nilipewa control number ya kwenda kulipia, ili kuokoa muda nikamtafuta potter mmoja nikamkabidhi kazi ya kwenda kulipia na mimi nikatoka nje kutafuta gari. Baada ya kurudi na gari na tayari potter ameshalipia wafage na sms ninayo kwenye simu yangu, walinzi wakagoma kuruhusu gari kupita getini. Nikamwuliza dereva shida ni nini akasema wanataka tuwape elfu 20 ili waruhusu gari. Nikamwita yule mlinzi nikamwuliza tatizo ni nini akabaki anajiuma jiuma tu, nikamwambia nina haraka nimetoka kazini Zanzibar natakiwe nifikishe huu mzigo nyumbani na nirudi zanzibar, akaanza kuniuliza wewe unafanya kazi gani nikamwambia siyo juumu lako. Na kama unataka nikupe hiyo elfu 20 nipe control number na nikamwambia dereva usiondoe gari hapa acha tuweke foleni.

Kinyonge saana akaruhusu gari kwende mbele tena kuna geti lingine kwenye kona kushoto nako wanataka hela ili gari kupita nikawambia wasubiri nirudi, kifupi kila mahali na kila mtu anataka hela. Huo ni mzigo tu mdogo ambao umetokea ZNZ vipi mizigo mikubwa? Bandarini kuna laana hata huyu aliyechukuwa nafasi naye atafurushwa tu kwa sababu Tanzania tunaanza kufundisha rushwa vijana wetu wakiwa wadogo. Kwa nini utakuta kijana anafuatilia cheti cha kuzaliwa anakwenda ofisi ya serikali anaambiwa kama unataka cheti ndani ya wiki moja toa elfu 50, ila kama hauna haraka lipia hiyo serikali ambayo nadhani ni elfu 10, unajiuliza mtu huyu huyu anauwezo wa kufanya hiyo kazi kwa siku chache lakini anataka rushwa kwanza.

Niseme tu kuwa hakuwezi kuwa na efficiency bandarini kwa sababu kinachofanyika ni miradi ya watu kupiga hela
Just imagine wewe ni hicho kimzigo umeagiza kutoka hapo Zanzibar tu

Kuzuia ukiritimba huu ndo mana kuna nchi zingine watumishi wanavaa body camera na inatakiwa kuwa on muda wote ukiwa kazini

Hata akija muwekezaji inabidi ashauriwe kuweka body camera kwa watumishi wake wote wa Bandarini

Hizi body camera pia zivaliwe na watumishi wote wa TRA
 
Amani iwe nanyi
Leo Rais wa JMT amemtumbua Mkurugenzi wa Bandari Ndug Erick Hamis.

Pamoja na kumtumbua Rais Samia amelalamika juu ya efficiency ya Mamlaka yetu ya Bandari na kusema kuwa Mamlaka hii ingekuwa inafanya kazi vizuri ingeweza kuchangia hata nusu ya mapato ya Bajeti yetu. Ni kweli kabisa naungana na Rais Samia kwenye hili!

Mfupa wa Bandari ni mfupa uliowashinda Marais karibu wote waliowai kutawala Tanzania! Hii imekuwa kawaida kila Rais mpya akiingia au Waziri Mkuu mpya akiteuliwa sehemu ya kwanzq kwenda kulalamika na kutumbua imekuwa Mamlaka ya Bandari Tanzania.

Kwa kumbukumbu zangu kuanzia kwa Mkapa, Kikwete, Magufuli hadi sasa Samia, Bandari hapajawai kupoa.

Hoja yangu kuu kwenye hili ni kwamba inawezekana sana bado hatujajua shida ni nini hasa pale Bandarini na kwa uelewa wangu mdogo napenda leo nimshauri Mhe Rais mambo ya kufanya na naamini kama nilivyoshauri kuhusu Ngorongoro na ikafanyika na sasa imefanikiwa basi nashauri juu ya hili la Bandari na naamini ikifanyika itafanikiwa

1. Lazima tukubali kuwa Bandari ya DSM haiwezi kuwa efficient kwa sababu imekuwa finyu kuhimili idadi ya mizigo, Meli na Magari kiushindani

2. Lazima tukubali kuwa Serikali haiwezi kuendesha bandari kwa ufanisi tunaoutaka katika dunia hii ya ushindani. Bandari kubwa zote duniani na zinazofanya vizuri kwenye soko la ushindani kuanzia Dubai, Hong Kong, Singapore, New York na nyinginezo, zinaendeshwa either kwa sehemu kubwa na private sector au kwa ubia baina ya Serikali na Private Sector

Hivyo ili kufanikiwa kupata ufanisi hapa Tanzania kwenye sekta ya Bandari , Lazima tutake tusitake, tufanye yafuatayo

a. Kwa haraka sana, Ijengwe Bandari ya Bagamoyo ambayo iwe na Gati zisizopungua 40. Bandari hii iendeshwe na Private sector with exception kwenye masuala ya Ulinzi, Usalama na Kodi

b. Sekta binafsi wapewe pia fursa ya kujenga Miundombinu ya Reli na barabara kuunganisha Bandari ya Bagamoyo na Jiji la Dar es Salaam ikiwemo reli ya kati SGR na TAZARA

c. Bandari za DSM, Tanga, Mwanza na Kigoma na Mtwara ziendeshwe kwa ubia na Private sector. Serikali isimamie masuala ya kodi , ulinzi na usalama tu!

d. Barabara ya Mandela Road( dsm) itanuliwe kuwekwa njia 8 kutokea Bandarini hadi Ubungo na utanuzi wa njia 6 uendelee kutoka Kimara hadi Ubungo. Hii ni ili kuleta ufanisi wa usafirishaji mizigo katika Jiji la Dsm. Ikiwezekana Private sector washirikishwe kwenye hili.

e. Kulikuwa na Mpango wa Kujenga Barabara ya Malori kutokea Bandarini hadi Chalinze. Mpango huu ufufuliwe na barabara hii ijengwe hata kwa kutumia Private sector! Fedha zitarudi haraka sana hata kwa toll tax!

Nchi kubwa duniani ziliona hili na wakaamua kufanya! Hata kwa Tanzania Serikali iking'ang'ania kuendesha bandari kila siku mtaishia kushikana uchawi na kutumbuana!

Ni suala la kuamua tu na wakati ni sasa
Siamini katika kuwapa kampuni binafsi kuendesha bandari kwa nchi yetu. Kuna hila zinafanyika ili kufikia lengo kama hilo na wahuni aliyowaingiza samia serikalini.
Kinachotakiwa ni uongozi wa serikali makini na imara usiyoweka maslahi binafsi ya vigogo serikalini.
 
Amani iwe nanyi
Leo Rais wa JMT amemtumbua Mkurugenzi wa Bandari Ndug Erick Hamis.

Pamoja na kumtumbua Rais Samia amelalamika juu ya efficiency ya Mamlaka yetu ya Bandari na kusema kuwa Mamlaka hii ingekuwa inafanya kazi vizuri ingeweza kuchangia hata nusu ya mapato ya Bajeti yetu. Ni kweli kabisa naungana na Rais Samia kwenye hili!

Mfupa wa Bandari ni mfupa uliowashinda Marais karibu wote waliowai kutawala Tanzania! Hii imekuwa kawaida kila Rais mpya akiingia au Waziri Mkuu mpya akiteuliwa sehemu ya kwanzq kwenda kulalamika na kutumbua imekuwa Mamlaka ya Bandari Tanzania.

Kwa kumbukumbu zangu kuanzia kwa Mkapa, Kikwete, Magufuli hadi sasa Samia, Bandari hapajawai kupoa.

Hoja yangu kuu kwenye hili ni kwamba inawezekana sana bado hatujajua shida ni nini hasa pale Bandarini na kwa uelewa wangu mdogo napenda leo nimshauri Mhe Rais mambo ya kufanya na naamini kama nilivyoshauri kuhusu Ngorongoro na ikafanyika na sasa imefanikiwa basi nashauri juu ya hili la Bandari na naamini ikifanyika itafanikiwa

1. Lazima tukubali kuwa Bandari ya DSM haiwezi kuwa efficient kwa sababu imekuwa finyu kuhimili idadi ya mizigo, Meli na Magari kiushindani

2. Lazima tukubali kuwa Serikali haiwezi kuendesha bandari kwa ufanisi tunaoutaka katika dunia hii ya ushindani. Bandari kubwa zote duniani na zinazofanya vizuri kwenye soko la ushindani kuanzia Dubai, Hong Kong, Singapore, New York na nyinginezo, zinaendeshwa either kwa sehemu kubwa na private sector au kwa ubia baina ya Serikali na Private Sector

Hivyo ili kufanikiwa kupata ufanisi hapa Tanzania kwenye sekta ya Bandari , Lazima tutake tusitake, tufanye yafuatayo

a. Kwa haraka sana, Ijengwe Bandari ya Bagamoyo ambayo iwe na Gati zisizopungua 40. Bandari hii iendeshwe na Private sector with exception kwenye masuala ya Ulinzi, Usalama na Kodi

b. Sekta binafsi wapewe pia fursa ya kujenga Miundombinu ya Reli na barabara kuunganisha Bandari ya Bagamoyo na Jiji la Dar es Salaam ikiwemo reli ya kati SGR na TAZARA

c. Bandari za DSM, Tanga, Mwanza na Kigoma na Mtwara ziendeshwe kwa ubia na Private sector. Serikali isimamie masuala ya kodi , ulinzi na usalama tu!

d. Barabara ya Mandela Road( dsm) itanuliwe kuwekwa njia 8 kutokea Bandarini hadi Ubungo na utanuzi wa njia 6 uendelee kutoka Kimara hadi Ubungo. Hii ni ili kuleta ufanisi wa usafirishaji mizigo katika Jiji la Dsm. Ikiwezekana Private sector washirikishwe kwenye hili.

e. Kulikuwa na Mpango wa Kujenga Barabara ya Malori kutokea Bandarini hadi Chalinze. Mpango huu ufufuliwe na barabara hii ijengwe hata kwa kutumia Private sector! Fedha zitarudi haraka sana hata kwa toll tax!

Nchi kubwa duniani ziliona hili na wakaamua kufanya! Hata kwa Tanzania Serikali iking'ang'ania kuendesha bandari kila siku mtaishia kushikana uchawi na kutumbuana!

Ni suala la kuamua tu na wakati ni sasa
Mwl Nyerere alisema ili nchi iweze kuendelea, inahitaji ardhi, watu, siasa Safi na utawala bora, sasa katika hivi vitu vinne tz imekosa watu.
 
Amani iwe nanyi
Leo Rais wa JMT amemtumbua Mkurugenzi wa Bandari Ndug Erick Hamis.

Pamoja na kumtumbua Rais Samia amelalamika juu ya efficiency ya Mamlaka yetu ya Bandari na kusema kuwa Mamlaka hii ingekuwa inafanya kazi vizuri ingeweza kuchangia hata nusu ya mapato ya Bajeti yetu. Ni kweli kabisa naungana na Rais Samia kwenye hili!

Mfupa wa Bandari ni mfupa uliowashinda Marais karibu wote waliowai kutawala Tanzania! Hii imekuwa kawaida kila Rais mpya akiingia au Waziri Mkuu mpya akiteuliwa sehemu ya kwanzq kwenda kulalamika na kutumbua imekuwa Mamlaka ya Bandari Tanzania.

Kwa kumbukumbu zangu kuanzia kwa Mkapa, Kikwete, Magufuli hadi sasa Samia, Bandari hapajawai kupoa.

Hoja yangu kuu kwenye hili ni kwamba inawezekana sana bado hatujajua shida ni nini hasa pale Bandarini na kwa uelewa wangu mdogo napenda leo nimshauri Mhe Rais mambo ya kufanya na naamini kama nilivyoshauri kuhusu Ngorongoro na ikafanyika na sasa imefanikiwa basi nashauri juu ya hili la Bandari na naamini ikifanyika itafanikiwa

1. Lazima tukubali kuwa Bandari ya DSM haiwezi kuwa efficient kwa sababu imekuwa finyu kuhimili idadi ya mizigo, Meli na Magari kiushindani

2. Lazima tukubali kuwa Serikali haiwezi kuendesha bandari kwa ufanisi tunaoutaka katika dunia hii ya ushindani. Bandari kubwa zote duniani na zinazofanya vizuri kwenye soko la ushindani kuanzia Dubai, Hong Kong, Singapore, New York na nyinginezo, zinaendeshwa either kwa sehemu kubwa na private sector au kwa ubia baina ya Serikali na Private Sector

Hivyo ili kufanikiwa kupata ufanisi hapa Tanzania kwenye sekta ya Bandari , Lazima tutake tusitake, tufanye yafuatayo

a. Kwa haraka sana, Ijengwe Bandari ya Bagamoyo ambayo iwe na Gati zisizopungua 40. Bandari hii iendeshwe na Private sector with exception kwenye masuala ya Ulinzi, Usalama na Kodi

b. Sekta binafsi wapewe pia fursa ya kujenga Miundombinu ya Reli na barabara kuunganisha Bandari ya Bagamoyo na Jiji la Dar es Salaam ikiwemo reli ya kati SGR na TAZARA

c. Bandari za DSM, Tanga, Mwanza na Kigoma na Mtwara ziendeshwe kwa ubia na Private sector. Serikali isimamie masuala ya kodi , ulinzi na usalama tu!

d. Barabara ya Mandela Road( dsm) itanuliwe kuwekwa njia 8 kutokea Bandarini hadi Ubungo na utanuzi wa njia 6 uendelee kutoka Kimara hadi Ubungo. Hii ni ili kuleta ufanisi wa usafirishaji mizigo katika Jiji la Dsm. Ikiwezekana Private sector washirikishwe kwenye hili.

e. Kulikuwa na Mpango wa Kujenga Barabara ya Malori kutokea Bandarini hadi Chalinze. Mpango huu ufufuliwe na barabara hii ijengwe hata kwa kutumia Private sector! Fedha zitarudi haraka sana hata kwa toll tax!

Nchi kubwa duniani ziliona hili na wakaamua kufanya! Hata kwa Tanzania Serikali iking'ang'ania kuendesha bandari kila siku mtaishia kushikana uchawi na kutumbuana!

Ni suala la kuamua tu na wakati ni sasa
Vyote hivyo vitafeli sababu kuu tatu wizi, rushwa na siasa basi. Njoo na suluhisho ya hivyo vitatu na utapata Tanzania ya 1st world.
 
Tunazunguka mbuyu kwa hoja za kitechnical lakini ukweli ni kwa tatizo LA bandari linatokana na marais hao wenyewewe.
Rais Mwinyi na Mkapa wake zao walipitishia mizigo lukuki pasipo kodi,na kampuni zingine zilitumia mwanya huo kuagiza mizigo kupitia kampuni za familia za hao viongozi.Hivyo,hivyo alichokifanya Kikwete & Magufuli.kwa sasa SAMIA ana cover hizo dili za Kikwete.

Tunawaita Raia namba 1 ndio wanaotuangusha hii Nchi kiufupi hawana uchungu wowote.ndio maana Paul Kagame alituzodoa kwa kusema ukweli.
 
Naomba kuuliza, tulifanya PPP na TICS, tukabinafsisha baadhi ya Mageti, Je ufaninisi uliongezeka?je mapato yaliongezeka? Je tumejifunza nn kutokana na mkataba huo?
Solution niionayo mimi.

1. Tukamilishe upanuzi wa bandari ya Tanga - Uganda, Rwanda na Burudi ile ndo iwe destionation port yao.- hii sio tu itapunguza msongamao Dar bali pia itafufua uchumi wa Tanga.

2. Tukamilishe upanuzi wa Bandari ya Mtwara - Mizigo ya Zambia na Malawi ipitie huko. Hii nayo itapunguza msogamano Dar na kukuza mji wa Mtwara.

3. Dar ibaki na mizigo ya Congo na Mizigo ya Ndani tu.

4. Tujenge highway kwenda mikoa yote inayopakana na inchi jirani.

5. Tuwajengee uwezo watanzania waweze kuziendesha bandari zao..kuwalaumu na kuwatumbua kwakua tu hawaperfom km bandari za nje ni km kuwatumbua viongozi Simba na Yanga kwakua tu hawaendeshi vilabu vyao km na team za ulaya, uarabuni or asia...by theway kwann serikali haijalaumu kwa kutojiendesha km serikali za ng'ambo?
These people need exposure, resouces, support and political will.

6. Mimi sio muumini wa Bagamoyo. Sababu kuu ni kua tukiijenga hii bandari za Tanga na Mtwara ndo bai bai..no one will want to go there, 2nd ipo karibu sana na Dar which doesnt make sense...
Nimependa mapendekezo yako 1,2&3 yatasaidia kui-decongest Dar port na Dar jiji generally! Privatisation Pia ni mbinu mbadala wasiwasi wangu ni jinsi ya kusimamia mapato ya nchi na maswala ya usalama wa nchi going forward! Big up mkuu[emoji2]
 
Ndugu zanguni, kwanza kabisa tuelewe inaposemwa bandari hafanyi kazi kwa kasi inayotakiwa maana yake ni nini.
Kuna vigezo kadhaa vya kimataifa vinavyopima jambo hili lakini kikubwa kabisa ni kasi ya uingiaji wa meli nchini na kupata gati, kupakua kupakia na kuondoka. Ndio maana kitendo cha meli kukaa nje baharini kusubiria gati linapaka sana matope bandari yetu kimataifa.
Vigezo vingine lakini vyote ni vya kussuport hili la meli.
Sasa jambo la kujiuliza kabla kufikiria Bagamoyo je. Bandari yetu imetekeleza yote yenye kuongeza kasi ya meli kuingia na kutoka??
1. Je shughuli zote za bandari au zihusuzo mizigo zinafanyika masaa 24?? Watanzania bado tunapenda sana kupumzika. Hebu jiulizeni kama huduma za vitengo vyote vihusuzo mizigo kama kweli zipo masaa 24 kama hutakuta ni kule kwenye maji tuu
2. Je, urasimu wa vibali tokea custom, bandarini, TBS... Nk. Imekwisha??
3. Tecnohama inatumika ipasavyo kila kitengo?
4. Kwa nini hadi leo mizigo hazitoki bandarini kutoka kwenye meli moja kwa moja kwenye lorry la mwenye mzigo.. Under hook direct delivery
5. Kwa nini full swing use of Icds haufanyiki. Bandari sio mahali Pa kulundika mizigo
6. Je vifaa bandarini ni vya kisasa na vinatumika effectively

Nadiriki kusema PPP ni mhimu baada ya mageuzi makubwa kuonyeshwa na TICTS jambo ambalo halipashwi kusubiri kwenda gati zingine hata kwa mwekwzaji mwingine ikibidi ili ashindane na Ticts. Pia hadi General cargo vessels hadi kwenye magari

Tunaweza kufungua gati nyingine nyingi lakini mind set zetu zokabaki kufanya kazi kwa mazoea. Bandari na associated partners lazima ziwe kazini masaa 24.
Hakuna haja kufoleni maofisini kutafuta vibali vya kutoa au kuingiza mizigo kupakia.. Let computer do the work
Mizigo inayoweza kubaki bandarini ni Ile maalum au yenye matatizo tuu. Mingine itoke siku inapakuliwa. Malipo yote kabla meli haijafika
 
Hivi bandari ya dar es salaam
Kwa mwaka zinakuja jumla ya vessels
Ngapi?

Ova
 
Amani iwe nanyi
Leo Rais wa JMT amemtumbua Mkurugenzi wa Bandari Ndug Erick Hamis.

Pamoja na kumtumbua Rais Samia amelalamika juu ya efficiency ya Mamlaka yetu ya Bandari na kusema kuwa Mamlaka hii ingekuwa inafanya kazi vizuri ingeweza kuchangia hata nusu ya mapato ya Bajeti yetu. Ni kweli kabisa naungana na Rais Samia kwenye hili!

Mfupa wa Bandari ni mfupa uliowashinda Marais karibu wote waliowai kutawala Tanzania! Hii imekuwa kawaida kila Rais mpya akiingia au Waziri Mkuu mpya akiteuliwa sehemu ya kwanzq kwenda kulalamika na kutumbua imekuwa Mamlaka ya Bandari Tanzania.

Kwa kumbukumbu zangu kuanzia kwa Mkapa, Kikwete, Magufuli hadi sasa Samia, Bandari hapajawai kupoa.

Hoja yangu kuu kwenye hili ni kwamba inawezekana sana bado hatujajua shida ni nini hasa pale Bandarini na kwa uelewa wangu mdogo napenda leo nimshauri Mhe Rais mambo ya kufanya na naamini kama nilivyoshauri kuhusu Ngorongoro na ikafanyika na sasa imefanikiwa basi nashauri juu ya hili la Bandari na naamini ikifanyika itafanikiwa

1. Lazima tukubali kuwa Bandari ya DSM haiwezi kuwa efficient kwa sababu imekuwa finyu kuhimili idadi ya mizigo, Meli na Magari kiushindani

2. Lazima tukubali kuwa Serikali haiwezi kuendesha bandari kwa ufanisi tunaoutaka katika dunia hii ya ushindani. Bandari kubwa zote duniani na zinazofanya vizuri kwenye soko la ushindani kuanzia Dubai, Hong Kong, Singapore, New York na nyinginezo, zinaendeshwa either kwa sehemu kubwa na private sector au kwa ubia baina ya Serikali na Private Sector

Hivyo ili kufanikiwa kupata ufanisi hapa Tanzania kwenye sekta ya Bandari , Lazima tutake tusitake, tufanye yafuatayo

a. Kwa haraka sana, Ijengwe Bandari ya Bagamoyo ambayo iwe na Gati zisizopungua 40. Bandari hii iendeshwe na Private sector with exception kwenye masuala ya Ulinzi, Usalama na Kodi

b. Sekta binafsi wapewe pia fursa ya kujenga Miundombinu ya Reli na barabara kuunganisha Bandari ya Bagamoyo na Jiji la Dar es Salaam ikiwemo reli ya kati SGR na TAZARA

c. Bandari za DSM, Tanga, Mwanza na Kigoma na Mtwara ziendeshwe kwa ubia na Private sector. Serikali isimamie masuala ya kodi , ulinzi na usalama tu!

d. Barabara ya Mandela Road( dsm) itanuliwe kuwekwa njia 8 kutokea Bandarini hadi Ubungo na utanuzi wa njia 6 uendelee kutoka Kimara hadi Ubungo. Hii ni ili kuleta ufanisi wa usafirishaji mizigo katika Jiji la Dsm. Ikiwezekana Private sector washirikishwe kwenye hili.

e. Kulikuwa na Mpango wa Kujenga Barabara ya Malori kutokea Bandarini hadi Chalinze. Mpango huu ufufuliwe na barabara hii ijengwe hata kwa kutumia Private sector! Fedha zitarudi haraka sana hata kwa toll tax!

Nchi kubwa duniani ziliona hili na wakaamua kufanya! Hata kwa Tanzania Serikali iking'ang'ania kuendesha bandari kila siku mtaishia kushikana uchawi na kutumbuana!

Ni suala la kuamua tu na wakati ni sasa
Tatizo kubwa si watu kutojua kuongoza, la hasha, tatizo ni magodi faza ambao akikuweka na usipotimiza matakwa yake ya kupiga, unatafutiwa visa unaondoka. Unapotimiza matakwa yao na kwa bahati mbaya ukawashika mikono waliokuteua, unaondokea Kisutu.

Yangu macho na masikio.
 
Ishu ni mipango ya wapigaji waliozoea kupiga huwezi wambiaa kitu kinachobana masilahi yao wakakubari never...
 
Naomba kuuliza, tulifanya PPP na TICS, tukabinafsisha baadhi ya Mageti, Je ufaninisi uliongezeka?je mapato yaliongezeka? Je tumejifunza nn kutokana na mkataba huo?
Solution niionayo mimi.

1. Tukamilishe upanuzi wa bandari ya Tanga - Uganda, Rwanda na Burudi ile ndo iwe destionation port yao.- hii sio tu itapunguza msongamao Dar bali pia itafufua uchumi wa Tanga.

2. Tukamilishe upanuzi wa Bandari ya Mtwara - Mizigo ya Zambia na Malawi ipitie huko. Hii nayo itapunguza msogamano Dar na kukuza mji wa Mtwara.

3. Dar ibaki na mizigo ya Congo na Mizigo ya Ndani tu.

4. Tujenge highway kwenda mikoa yote inayopakana na inchi jirani.

5. Tuwajengee uwezo watanzania waweze kuziendesha bandari zao..kuwalaumu na kuwatumbua kwakua tu hawaperfom km bandari za nje ni km kuwatumbua viongozi Simba na Yanga kwakua tu hawaendeshi vilabu vyao km na team za ulaya, uarabuni or asia...by theway kwann serikali haijalaumu kwa kutojiendesha km serikali za ng'ambo?
These people need exposure, resouces, support and political will.

6. Mimi sio muumini wa Bagamoyo. Sababu kuu ni kua tukiijenga hii bandari za Tanga na Mtwara ndo bai bai..no one will want to go there, 2nd ipo karibu sana na Dar which doesnt make sense...
Weye ndio mwenye mawazo sahihii
 
Amani iwe nanyi
Leo Rais wa JMT amemtumbua Mkurugenzi wa Bandari Ndug Erick Hamis.

Pamoja na kumtumbua Rais Samia amelalamika juu ya efficiency ya Mamlaka yetu ya Bandari na kusema kuwa Mamlaka hii ingekuwa inafanya kazi vizuri ingeweza kuchangia hata nusu ya mapato ya Bajeti yetu. Ni kweli kabisa naungana na Rais Samia kwenye hili!

Mfupa wa Bandari ni mfupa uliowashinda Marais karibu wote waliowai kutawala Tanzania! Hii imekuwa kawaida kila Rais mpya akiingia au Waziri Mkuu mpya akiteuliwa sehemu ya kwanzq kwenda kulalamika na kutumbua imekuwa Mamlaka ya Bandari Tanzania.

Kwa kumbukumbu zangu kuanzia kwa Mkapa, Kikwete, Magufuli hadi sasa Samia, Bandari hapajawai kupoa.

Hoja yangu kuu kwenye hili ni kwamba inawezekana sana bado hatujajua shida ni nini hasa pale Bandarini na kwa uelewa wangu mdogo napenda leo nimshauri Mhe Rais mambo ya kufanya na naamini kama nilivyoshauri kuhusu Ngorongoro na ikafanyika na sasa imefanikiwa basi nashauri juu ya hili la Bandari na naamini ikifanyika itafanikiwa

1. Lazima tukubali kuwa Bandari ya DSM haiwezi kuwa efficient kwa sababu imekuwa finyu kuhimili idadi ya mizigo, Meli na Magari kiushindani

2. Lazima tukubali kuwa Serikali haiwezi kuendesha bandari kwa ufanisi tunaoutaka katika dunia hii ya ushindani. Bandari kubwa zote duniani na zinazofanya vizuri kwenye soko la ushindani kuanzia Dubai, Hong Kong, Singapore, New York na nyinginezo, zinaendeshwa either kwa sehemu kubwa na private sector au kwa ubia baina ya Serikali na Private Sector

Hivyo ili kufanikiwa kupata ufanisi hapa Tanzania kwenye sekta ya Bandari , Lazima tutake tusitake, tufanye yafuatayo

a. Kwa haraka sana, Ijengwe Bandari ya Bagamoyo ambayo iwe na Gati zisizopungua 40. Bandari hii iendeshwe na Private sector with exception kwenye masuala ya Ulinzi, Usalama na Kodi

b. Sekta binafsi wapewe pia fursa ya kujenga Miundombinu ya Reli na barabara kuunganisha Bandari ya Bagamoyo na Jiji la Dar es Salaam ikiwemo reli ya kati SGR na TAZARA

c. Bandari za DSM, Tanga, Mwanza na Kigoma na Mtwara ziendeshwe kwa ubia na Private sector. Serikali isimamie masuala ya kodi , ulinzi na usalama tu!

d. Barabara ya Mandela Road( dsm) itanuliwe kuwekwa njia 8 kutokea Bandarini hadi Ubungo na utanuzi wa njia 6 uendelee kutoka Kimara hadi Ubungo. Hii ni ili kuleta ufanisi wa usafirishaji mizigo katika Jiji la Dsm. Ikiwezekana Private sector washirikishwe kwenye hili.

e. Kulikuwa na Mpango wa Kujenga Barabara ya Malori kutokea Bandarini hadi Chalinze. Mpango huu ufufuliwe na barabara hii ijengwe hata kwa kutumia Private sector! Fedha zitarudi haraka sana hata kwa toll tax!

Nchi kubwa duniani ziliona hili na wakaamua kufanya! Hata kwa Tanzania Serikali iking'ang'ania kuendesha bandari kila siku mtaishia kushikana uchawi na kutumbuana!

Ni suala la kuamua tu na wakati ni sasa
It is a good idea. Lakini kwasababu ya ufisadi, tunachaguwa wawekezaji wasiokuwa na sifa. Hakuna muwekezaji wa maana atakuja kuwekeza kwenye nchi inayonuka rushwa. Hakuna muwekezaji atakuja kuwekeza kwenye nchi isiyokuwa na (manpower). Hakuna muwekezaji mpenda haki atakuja kuwekeza kwenye nchi yenye sheria mbili, moja ya masikini, na moja ya watu wenye fedha. Muwekezaji mpenda haki kwa wote anakuwa fair kwenye uwekezaji wake, ikiwa pamoja na haki za Watanzania . Nchi inayoongizwa na viongozi mafisadi, Wasio jail sauti za wananchi wawo, na wawekezaji wataingia na dhalau hiyo hiyo, wenye kufanana na viongozi wetu, mwishowe itafeli tu. Ndiyo maana wawekezaji wetu ni watu wenye asili ya kihindi, waarabu na wachina ndiyo wako interested. Tuseme bila kuficha wengi ni wahuni wenye nia ya kuvuna na kuondoka. Wengi ni watu wasiojail maendeleo ya wengine ila wenyewe tu. Na hii sio racism, but it is facts. Kwanza tujenge nidhamu. Tupigane na ufisadi. Sheria moja kwa wot. Siku polisi hataogopa kumukamata mtoto wa Kikwete ama waziri ama mtoto wa Samia basi ujuwe Tanzania itasonga mbele. Kwasababu kila mtu ataheshimu sheria. Kwa sasa tuko mbali sana. Wawejezaji tutakao wapate ni wale wenye nia ya kuchukuwa chawo na kuondoka. Tumedanganywa sana. Tumeibiwa sana. Na watu wanaoitwa WAWEKEZAJI.
 
It is a good idea. Lakini kwasababu ya ufisadi, tunachaguwa wawekezaji wasiokuwa na sifa. Hakuna muwekezaji wa maana atakuja kuwekeza kwenye nchi inayonuka rushwa. Hakuna muwekezaji atakuja kuwekeza kwenye nchi isiyokuwa na (manpower). Hakuna muwekezaji mpenda haki atakuja kuwekeza kwenye nchi yenye sheria mbili, moja ya masikini, na moja ya watu wenye fedha. Muwekezaji mpenda haki kwa wote anakuwa fair kwenye uwekezaji wake, ikiwa pamoja na haki za Watanzania . Nchi inayoongizwa na viongozi mafisadi, Wasio jail sauti za wananchi wawo, na wawekezaji wataingia na dhalau hiyo hiyo, wenye kufanana na viongozi wetu, mwishowe itafeli tu. Ndiyo maana wawekezaji wetu ni watu wenye asili ya kihindi, waarabu na wachina ndiyo wako interested. Tuseme bila kuficha wengi ni wahuni wenye nia ya kuvuna na kuondoka. Wengi ni watu wasiojail maendeleo ya wengine ila wenyewe tu. Na hii sio racism, but it is facts. Kwanza tujenge nidhamu. Tupigane na ufisadi. Sheria moja kwa wot. Siku polisi hataogopa kumukamata mtoto wa Kikwete ama waziri ama mtoto wa Samia basi ujuwe Tanzania itasonga mbele. Kwasababu kila mtu ataheshimu sheria. Kwa sasa tuko mbali sana. Wawejezaji tutakao wapate ni wale wenye nia ya kuchukuwa chawo na kuondoka. Tumedanganywa sana. Tumeibiwa sana. Na watu wanaoitwa WAWEKEZAJI.
Hata mwekezaji ambaye tutampa lazima afanyiwe vetting kisawasawa kujua uwezo wake kabla ya kupewa Bandari
 
I can agree with you
Naomba kuuliza, tulifanya PPP na TICS, tukabinafsisha baadhi ya Mageti, Je ufaninisi uliongezeka?je mapato yaliongezeka? Je tumejifunza nn kutokana na mkataba huo?
Solution niionayo mimi.

1. Tukamilishe upanuzi wa bandari ya Tanga - Uganda, Rwanda na Burudi ile ndo iwe destionation port yao.- hii sio tu itapunguza msongamao Dar bali pia itafufua uchumi wa Tanga.

2. Tukamilishe upanuzi wa Bandari ya Mtwara - Mizigo ya Zambia na Malawi ipitie huko. Hii nayo itapunguza msogamano Dar na kukuza mji wa Mtwara.

3. Dar ibaki na mizigo ya Congo na Mizigo ya Ndani tu.

4. Tujenge highway kwenda mikoa yote inayopakana na inchi jirani.

5. Tuwajengee uwezo watanzania waweze kuziendesha bandari zao..kuwalaumu na kuwatumbua kwakua tu hawaperfom km bandari za nje ni km kuwatumbua viongozi Simba na Yanga kwakua tu hawaendeshi vilabu vyao km na team za ulaya, uarabuni or asia...by theway kwann serikali haijalaumu kwa kutojiendesha km serikali za ng'ambo?
These people need exposure, resouces, support and political will.

6. Mimi sio muumini wa Bagamoyo. Sababu kuu ni kua tukiijenga hii bandari za Tanga na Mtwara ndo bai bai..no one will want to go there, 2nd ipo karibu sana na Dar which doesnt make sense...
 
Back
Top Bottom