Ushauri: Tundu Lissu usihudhurie Interview nyingine itakayopangwa na WASAFI FM

Wakulaumiswa nihao walioisitisha shughuli ya kumhoji Lissu. Aibu sana kutumia nguvu ya Dola kuzuia jambo halali nahisi inadhihirisha jinsi wanavyoogopa kwakuwa wanajua hawatoweza kuzijibu hoja zake!!!
 
sio lazima na wala sio muhimu...
 
Aende Star tv, Diallo anajitambua!
 
wazee wa kususa

mambo hayaendi namna hiyo rafiki zangu wa chadema
 
Dawa ni kutoisikiliza na kuotazama tena WCB.

Bias kwenye eneo ambalo hupaswi kuweka upendeleo ni eviction ticket.

Wanaenda kuporomoka
Kwamba Wasafi waporomoke kisa kutomuhoji Lissu?
 
Lisu naye ataendaje wasafi fm wakati anajuwa fika hao ni ccm machawa.

Kwanza wasafi wanamuandishi gani wa kumhoji lissu/kufanya naye mahojiano

Wale wasafi habari zao zinajulikana ni umbea udaku tu

Ova
 
Kama tungekuwa na akili kisoda kama unavyodhani unadhani tungeleta uzi huu hapa ? , hatuandiki kibwege
hamna cha kufanya sasa ni lazima mgeleta uzi coz you have limited altenatives....

kokote pale muendako mnabuma na 2025 hiyo apo kwa kona ya moise katumbi yanawafuata kwa karibu sana 😀
 
Tahadhari ya nini?Mnapenda yellow journalism na uzushi wa kijinga.Kuhusu Lisu yeye ndiye ana hiari ya kuhojiwa au kutohojiwa kwa kuangalia faida na hasara. Na hayo madai yako mengine ni ukichaa ambao sistahili kukujibu.Unataka ujibiwe paranoia?
Wewe ndio upunguze kiherehere.unaangaika nini na maisha ya mtu anapopewa tahadhari juu ya maisha yake.jinga kabisa wewe.
 
Dawa ni kutoisikiliza na kuotazama tena WCB.

Bias kwenye eneo ambalo hupaswi kuweka upendeleo ni eviction ticket.

Wanaenda kuporomoka
Nimekuuliza wasafi wataanguka sababu ya kutomuhoji Lissu si kituko hicho? Jibu hoja acha kuruka ruka kisanii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…