kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
sio lazima na wala sio muhimu...View attachment 2896938
Baada ya leo kushindikana kwa Mahojiano yaliyopangwa kufanyika kwenye Studio za Wasafi FM , Baina ya Watangazaji wa kituo hicho na Tundu Lissu , imekubaliwa kwamba itapangwa siku nyingine kwa ajili ya jambo hilo
Ukweli ni kwamba Sababu zilizotolewa na Wasafi media kama utetezi wa mkanganyiko huo hazitoshi hata Chembe , na baada ya uchunguzi wetu tumeanza mara moja kutilia mashaka jambo hili iwapo litafanyika wakati mwingine .
Sababu kuu iliyotolewa na Wasafi Media ni kwamba HAWAKUJIPANGA , mahojiano muitishe nyie halafu mnasema hamkujipanga ! mwataka kujipangaje , ili iweje ?
Ushauri wetu kwa Tundu Lissu asithubutu kuhudhuria mahojiano mengine kwenye studio hiyo , au kama ni lazima ahudhurie basi ni muhimu na ni lazima aende na mic yake pamoja na kiti chake , hii ni kwa sababu za kiusalama .
Naomba kuwasilisha .
tatizo la kua na ratiba moja siku mzimaTumeshauri plan B
Aende Star tv, Diallo anajitambua!Sasa kama hizi media za ndani zinaogopa wafanyeje? au ndio wawalazimishe kama Lissu alivyogoma kuondoka hapo ofisini kwa WASAFI mpaka wamwambie nani kawatuma kuzuia interview yake?
Siku zote ukweli hujitenga na propaganda bwashee, ukiusema hata kama ni kwa media yako wanaojielewa watauelewa na kuuamini, wasiokubali watakuwa ni wale wafia vyama wasiotaka kusikia jema lolote toka kwa upande wa pili.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hujui kitu wewe Kapuku , Hebu angalia Nape anavyojitetea , unadhani mjinga yule ?sio lazima na wala sio muhimu...
Makonda kakimbia jukwaa SongweTrue! Wasile wakamkolimba. Ccm ni zaidi ya wanyama
Kuna tatizo gani mtoa mada kutoa angalizo? Kama muhalifu mwenyewe anasema mna michezo ya sumu, Lisu ni nani asipewe tahadhari? Au ww ndio uko kitengo Cha kupakaa sumu Nini?
Makonda kakimbia jukwaa Songwe
anakufariji we unaona anajitetea 😀Hujui kitu wewe Kapuku , Hebu angalia Nape anavyojitetea , unadhani mjinga yule ?
Sababu zipi??Mawazo mgando.
Kunasababu zimeshatolewa maelezo wewe unakuja na ngojera zako
Hakika !Kumbuka Jk aliwahi kusema ccm hawaachiani maji ya kunywa mezani[emoji3][emoji3]
Kwamba Wasafi waporomoke kisa kutomuhoji Lissu?Dawa ni kutoisikiliza na kuotazama tena WCB.
Bias kwenye eneo ambalo hupaswi kuweka upendeleo ni eviction ticket.
Wanaenda kuporomoka
Kama tungekuwa na akili kisoda kama unavyodhani unadhani tungeleta uzi huu hapa ? , hatuandiki kibwegeanakufariji we unaona anajitetea 😀
imeisha iyo.....
hamna cha kufanya sasa ni lazima mgeleta uzi coz you have limited altenatives....Kama tungekuwa na akili kisoda kama unavyodhani unadhani tungeleta uzi huu hapa ? , hatuandiki kibwege
Tusi gani hapo umeonaNdio akili zako zilipoishia kutukana
Wewe ndio upunguze kiherehere.unaangaika nini na maisha ya mtu anapopewa tahadhari juu ya maisha yake.jinga kabisa wewe.Tahadhari ya nini?Mnapenda yellow journalism na uzushi wa kijinga.Kuhusu Lisu yeye ndiye ana hiari ya kuhojiwa au kutohojiwa kwa kuangalia faida na hasara. Na hayo madai yako mengine ni ukichaa ambao sistahili kukujibu.Unataka ujibiwe paranoia?
Nimekuuliza wasafi wataanguka sababu ya kutomuhoji Lissu si kituko hicho? Jibu hoja acha kuruka ruka kisaniiDawa ni kutoisikiliza na kuotazama tena WCB.
Bias kwenye eneo ambalo hupaswi kuweka upendeleo ni eviction ticket.
Wanaenda kuporomoka