Ushauri wa bure tu na wenye 'Ukweli Mchungu' kwa Wanachadema wote Mitandaoni na Kwingineko duniani

Ushauri wa bure tu na wenye 'Ukweli Mchungu' kwa Wanachadema wote Mitandaoni na Kwingineko duniani

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kiungwana kabisa nawashauri na kuwaombeni kuanzia sasa wana CHADEMA wote wekezeni mno katika Kuzisoma Nyendo za Viongozi wenu Waandamizi ili msije mkawa ama mnadanganywa au mnatumika kama Mitaji yao ya kuwa Maarufu Kitaifa na Kimataifa.

Yaani Mtu Mmoja kafanya Upuuzi wake tokea Mwezi Septemba na baada ya kujua ameyakoroga kama si kuyakanyaga akaanza kuhamisha Familia yake na alipokuwa anataka Kutorokea Kenya aende Dubai akajua Watu wa 'Nyakoro' wanamlia 'timing' wamkamate na Kuficha 'udhaifu' wake akaona aje na Ajenda ya Katiba, atengeneze 'Presha' kwa Wafuasi ili akikamatwa ionekane ni kutokana na Kudai Katiba.

Wana CHADEMA punguzeni na kataeni kuendelea kufanywa Mitaji ya kiumaarufu na kimkakati ya baadhi ya Viongozi wenu Waandamizi huku Chama chenu kikizidi kupoteza Dira yake na kuhamishia Siasa zenu barabarani, Gerezani Segerea na katika 'Corridors' za Mahakama ya Kisutu.

Najua kwa Ukweli wangu huu Mchungu kwenu mtakuja na kila dhihaka na Matusi Kwangu kwakuwa ni mwana CCM (niliyejiweka wazi JamiiForums) ila nina uhakika kuna Jambo jema sana hapa GENTAMYCINE nimewaambia na Kuwasaidieni hivyo mtayatafakari, mtajitathmini na kubadilika upesi.

Msipobadilika tutaipenda 'CCM' Milele.
 
Kiungwana kabisa nawashauri na kuwaombeni kuanzia sasa wana CHADEMA wote wekezeni nno katika Kuzisoma Nyendo za Viongozi wenu Waandamizi ili msije mkawa ama mnadanganywa au mnatumika kama Mitaji yao ya kuwa Maarufu Kitaifa na Kimataifa.

Yaani Mtu Mmoja kafanya Upuuzi wake tokea Mwezi Septemba na baada ya kujua ameyakoroga kama si kuyakanyaga akaanza kuhamisha Familia yake na alipokuwa anataka Kutorokea Kenya aende Dubai akajua Watu wa 'Nyakoro' wanamlia 'timing' wamkamate na Kuficha 'udhaifu' wake akaona aje na Ajenda ya Katiba, atengeneze 'Presha' kwa Wafuasi ili akikamatwa ionekane ni kutokana na Kudai Katiba.

Wana CHADEMA punguzeni na kataeni kuendelea kufanywa Mitaji ya Kiumaarufu na Kimkakati ya baadhi ya Viongozi wenu Waandamizi huku Chama chenu kikizidi kupoteza Dira yake na kuhamishia Siasa zenu barabarani, Gerezani Segerea na katika 'Corridors' za Mahakama ya Kisutu.

Najua kwa Ukweli wangu huu Mchungu Kwenu mtakuja na kila Dhihaka na Matusi Kwangu kwakuwa ni mwana CCM ( niliyejiweka wazi JamiiForums ) ila nina uhakika kuna Jambo jema sana hapa GENTAMYCINE nimewaambia na Kuwasaidieni hivyo mtayatafakari, mtajitathmini na kubadilika upesi.

Msipobadilika tutaipenda 'CCM' Milele.
Kuanzia Leo sitasoma Uzi wako milele na nitakudharau Kama ninavyomdharau pasco
 
😲😲😲

Amewaambia "ukweli mchungu"....
Ukweli mwingine mchungu ni huu ccm Ina miaka 60 hivyo huyu Kama ni binadamu jua lishazama. Ndio maana watanzania tunaikataa na kamwe nature haitaruhusu ccm iishi miaka Mia hata jumuia ya kimataifa itatusaidia kuiondoa madarakani japo njia hii itatuumiza sote nyie na sisi. Ccm na wasio ccm .
Mcheza ngoma mzuri ni yule anayeondoka stejini mapema angali akishangiliwa.
 
Ukweli mwingine mchungu ni huu ccm Ina miaka 60 hivyo huyu Kama ni binadamu jua lishazama. Ndio maana watanzania tunaikataa na kamwe nature haitaruhusu ccm iishi miaka Mia hata jumuia ya kimataifa itatusaidia kuiondoa madarakani japo njia hii itatuumiza sote nyie na sisi. Ccm na wasio ccm .
Mcheza ngoma mzuri ni yule anayeondoka stejini mapema angali akishangiliwa.
Ficha usakala wako....🤣

CCM imezaliwa 1977....hiyo miaka 60 iko wapi hapo?!!

Hivi ninyi mbona mnapenda kufanya "takriri" ujinga?!!!
 
Jambo moja ni yakini ccm must go ndani ya muongo huu. This decade.
Unafanya maskhara ? Si ndio eee?!!!

Hivi unadhani CCM ni chama tu chepesiii kama CHADEMA ?!! So ndio eee?

Wewe umtoto wa miaka 17?!!
Unaongelea hisia zako tu na UHALISIA huutaki si ndio eee?!!!

ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO

#SiempreCCM
 
Ccm ilishakufa wamebaki polisi tu jwtz wanawasubiri siku mkijichanganya mkawavunja wananchi miguu wanawaswaga policcm yenu na siro wenu milele
Brother naamini uko TZ,si ndio ?

Sasa usiku wote huu bado MOYO WAKO UNAKWENDA KASI na KUVUTA PUMZI ZA HARAKAHARAKA ,uko na andasi ya miraa,mirungi ,kangeta mpaka umejawa na hasira hivyo?!!!


Kunywa maji mkuu 🤣🤣

Polisi wako kulinda amani ya WANANCHI na MALI ZAO...huku kwetu Afrika maandamano ni lango la kuamsha vurugu ,wizi na machafuko.....mifano itele.....sasa Polisi wanuse hatari yenu CHADEMA waaache tu?!! khaaa 😲🤣🤣
 
Brother naamini uko TZ,si ndio ?

Sasa usiku wote huu bado MOYO WAKO UNAKWENDA KASI na KUVUTA PUMZI ZA HARAKAHARAKA ,uko na andasi ya miraa,mirungi ,kangeta mpaka umejawa na hasira hivyo?!!!


Kunywa maji mkuu 🤣🤣

Polisi wako kulinda amani ya WANANCHI na MALI ZAO...huku kwetu Afrika maandamano ni lango la kuamsha vurugu ,wizi na machafuko.....mifano itele.....sasa Polisi wanuse hatari yenu CHADEMA waaache tu khaaa 😲🤣🤣
Kwataarifa yako na yenu hatutaacha kudai katiba Tena mkizidisha ukandamizaji hata tunaodai kupitia keyboard tutatoka wazi rasmi maana hoja mbona ni rahisi ? Iko hivi!

Tusipodai katiba mpya Sasa 2025 wakurugenzi ambao ni makada wa ccm watasimamia uchaguzi halafu mtaiba kura then mtatuambia Tena 2026 onwards tusidai katiba kwasababu mnajenga nchi utopolo huu utakuwa ni endelevu kwenye uchumi tunaita viscious circle Sasa Basi. Imetosha
 
Sijui kwanini sisi CCM tunakuwa wagumu hivi kuelewa..?

Hapa ishu siyo kumfunga Mwenyekiti wao au kukifutilia mbali CDM..

Ukweli ni kwamba tumeshachokwa kwa muda sasa na Wananchi ambao wengi siyo CDM wala chama kingine chochote ila ni WATANZANIA!!
 
Yani tumewaachia muibe toka 1995 magufuli ndio kaja kutushtua kwamba tukisubiri katiba mpya mezani that will never happen Bora tuanze kugombea fito maana nyie hamna aibu mpaka mwaka 2040 mtasema tusiandamane tufanye kazi mjenge nchi stupid
 
N
Sijui kwanini sisi CCM tunakuwa wagumu hivi kuelewa..?

Hapa ishu siyo kumfunga Mwenyekiti wao au kukifutilia mbali CDM..

Ukweli ni kwamba tumeshachokwa kwa muda sasa na Wananchi ambao wengi siyo CDM wala chama kingine chochote ila ni WATANZANIA!!
Sio maana namuambia huyo juha kwasasa wanadhani wanapambana na chadema wakirogwa wajaribu kuuwa watu kwa kisingizio Cha kuzuia maandamano hapo ndio jwtz itakapogawanyika vipande viwili maana vijana wengi majeshini hawafurahishwi na ujinga wa ccm.
 
Back
Top Bottom