Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
We mtusi rudi kwenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gaidi akiachiwa kwa NOLLE uje hapa tena kutetea hoja zako piaKiungwana kabisa nawashauri na kuwaombeni kuanzia sasa wana CHADEMA wote wekezeni mno katika Kuzisoma Nyendo za Viongozi wenu Waandamizi ili msije mkawa ama mnadanganywa au mnatumika kama Mitaji yao ya kuwa Maarufu Kitaifa na Kimataifa.
Yaani Mtu Mmoja kafanya Upuuzi wake tokea Mwezi Septemba na baada ya kujua ameyakoroga kama si kuyakanyaga akaanza kuhamisha Familia yake na alipokuwa anataka Kutorokea Kenya aende Dubai akajua Watu wa 'Nyakoro' wanamlia 'timing' wamkamate na Kuficha 'udhaifu' wake akaona aje na Ajenda ya Katiba, atengeneze 'Presha' kwa Wafuasi ili akikamatwa ionekane ni kutokana na Kudai Katiba.
Wana CHADEMA punguzeni na kataeni kuendelea kufanywa Mitaji ya kiumaarufu na kimkakati ya baadhi ya Viongozi wenu Waandamizi huku Chama chenu kikizidi kupoteza Dira yake na kuhamishia Siasa zenu barabarani, Gerezani Segerea na katika 'Corridors' za Mahakama ya Kisutu.
Najua kwa Ukweli wangu huu Mchungu kwenu mtakuja na kila dhihaka na Matusi Kwangu kwakuwa ni mwana CCM (niliyejiweka wazi JamiiForums) ila nina uhakika kuna Jambo jema sana hapa GENTAMYCINE nimewaambia na Kuwasaidieni hivyo mtayatafakari, mtajitathmini na kubadilika upesi.
Msipobadilika tutaipenda 'CCM' Milele.
Jumuiya zipi za kimataifa hizihizi zinazoleta kila siku misaada, hii kesi ya Mbowe ingekuwa kwelii kuna hila za kuonewa basi hata ubalozi wa marekani tungesikia wakitoa kauli, lakini ukiangalia hata wao wanajua kinachoendelea ndomana wamekaa kimya tuu.Ukweli mwingine mchungu ni huu ccm Ina miaka 60 hivyo huyu Kama ni binadamu jua lishazama. Ndio maana watanzania tunaikataa na kamwe nature haitaruhusu ccm iishi miaka Mia hata jumuia ya kimataifa itatusaidia kuiondoa madarakani japo njia hii itatuumiza sote nyie na sisi. Ccm na wasio ccm .
Mcheza ngoma mzuri ni yule anayeondoka stejini mapema angali akishangiliwa.
Rais amezungumza vizuri kweli tena kwa uwazi ulio uwazi kwamba shauri hili sio la leo lilikuwepo na bw yule yule alikuwa analifahamu fika na baadhi ya wahusika wa jambo hili walikuwepo rumamnde kwa muda mrefu tu kabla bwana yule hajakamatwa isipokuwa bw yule ni intelegent wa kutisha sana ana akili nyingi sana akaona atafanyaje suala hile alipe mlango au mwonekano mwingine wa ki umma zaidi akaingilia kwa kasi ya katiba mpya bahati mbaya kondoo wake hawajui haya au intelegency aliyonayo kiongozi wao katika kuwatumia vyema koondoo wake, ''Rais amesaema mahakama itatupa majawabu sahihi baada ya mahakimu na wanasheria wa pande zote mbili kukabiliana kwa kina na kuja na jawabu moja tuvute subraaaaaMkuu Bei ya mafuta ya kula dumu la lita 20 n tsh 90000/=
Hivi hii Bei ukiwa na kadi ya CCM ukaenda nayo dukan bei haishuki kweli?
"""""Mbowe siyo gaidi""""""
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mimi nadhani kiongozi endelea tu kusoma tu nyuzi zake hata kama unakwazika nazo kwa kuwa hiyo ndio demokrasia....na pia mawazo kinzani ndio yanaleta ukomavu kisiasa na kifikra......itafika muda utamzoea tu.......relax kiongozi penye wengi pana mengi....Kuanzia Leo sitasoma Uzi wako milele na nitakudharau Kama ninavyomdharau pasco
Ila mandamano ya kumpongeza raisi ni halali kwa ccm ila kwa vya upinzani ni vurugu.Brother naamini uko TZ,si ndio ?
Sasa usiku wote huu bado MOYO WAKO UNAKWENDA KASI na KUVUTA PUMZI ZA HARAKAHARAKA ,uko na andasi ya miraa,mirungi ,kangeta mpaka umejawa na hasira hivyo?!!!
Kunywa maji mkuu 🤣🤣
Polisi wako kulinda amani ya WANANCHI na MALI ZAO...huku kwetu Afrika maandamano ni lango la kuamsha vurugu ,wizi na machafuko.....mifano itele.....sasa Polisi wanuse hatari yenu CHADEMA waaache tu?!! khaaa 😲🤣🤣
Comment hii imeonyesha jinsi ulivyo mpumbavu, mpaka nimecheka aiseeDhana ya uongo hiyo!!
Mmejijenge dhana mfu ya uongo...
Imemea katika bongo zenu "kinyumbu".....huna ushahidi kuwa WAKURUGENZI huiba kura zenu....
Na huu uongo sijui lini UPINZANI utauacha kuwa kichaka cha visingizio ?[emoji1787]
Anyway watanzania wengi wala hawaihitaji hiyo katiba mpya.....tume ya Jaji Warioba ilizunguka na ushahidi watu waliona......
Japo mko wachache mnaotaka KATIBA MPYA ila haiwaondolei ukweli kuwa WATANZANIA HAWAKO TAYARI muwatumie kusukuma AJENDA ZENU kwa "njia zozote zile"......watanzania wengi si watu wa shari kama mlivyo baadhi yenu........
Tanzania ni ENEO LA KUPUMULIA shida za wenzetu....si eneo la kuwa kama MOCIMBOA DA PRAIA huko CABO DELGADO nchini Msumbiji......
#SerikaliMbiliMilele
#SiempreCCM
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Ninaendelea kufuatilia kesi ya Sabaya Kwa utulivu mkubwa. Kama huo ushahidi ni kweli Kwa huyu muwakilishi WA Rais basi Mimi mwisho kuwa mzalendo WA nchi hii na kuamini tuna serikali Chino ya CCM basi. Zote ni takataka toka Rais Hadi kitongoji. Haya ni majambazi tunahitaji kupambana na kuyachoma Moto.Kiungwana kabisa nawashauri na kuwaombeni kuanzia sasa wana CHADEMA wote wekezeni mno katika Kuzisoma Nyendo za Viongozi wenu Waandamizi ili msije mkawa ama mnadanganywa au mnatumika kama Mitaji yao ya kuwa Maarufu Kitaifa na Kimataifa.
Yaani Mtu Mmoja kafanya Upuuzi wake tokea Mwezi Septemba na baada ya kujua ameyakoroga kama si kuyakanyaga akaanza kuhamisha Familia yake na alipokuwa anataka Kutorokea Kenya aende Dubai akajua Watu wa 'Nyakoro' wanamlia 'timing' wamkamate na Kuficha 'udhaifu' wake akaona aje na Ajenda ya Katiba, atengeneze 'Presha' kwa Wafuasi ili akikamatwa ionekane ni kutokana na Kudai Katiba.
Wana CHADEMA punguzeni na kataeni kuendelea kufanywa Mitaji ya kiumaarufu na kimkakati ya baadhi ya Viongozi wenu Waandamizi huku Chama chenu kikizidi kupoteza Dira yake na kuhamishia Siasa zenu barabarani, Gerezani Segerea na katika 'Corridors' za Mahakama ya Kisutu.
Najua kwa Ukweli wangu huu Mchungu kwenu mtakuja na kila dhihaka na Matusi Kwangu kwakuwa ni mwana CCM (niliyejiweka wazi JamiiForums) ila nina uhakika kuna Jambo jema sana hapa GENTAMYCINE nimewaambia na Kuwasaidieni hivyo mtayatafakari, mtajitathmini na kubadilika upesi.
Msipobadilika tutaipenda 'CCM' Milele.
Wewe ni nani kwenye nchi hii ? kwanini hamjifunzi kwa yaliyotokea kwa jiwe ?Kiungwana kabisa nawashauri na kuwaombeni kuanzia sasa wana CHADEMA wote wekezeni mno katika Kuzisoma Nyendo za Viongozi wenu Waandamizi ili msije mkawa ama mnadanganywa au mnatumika kama Mitaji yao ya kuwa Maarufu Kitaifa na Kimataifa.
Yaani Mtu Mmoja kafanya Upuuzi wake tokea Mwezi Septemba na baada ya kujua ameyakoroga kama si kuyakanyaga akaanza kuhamisha Familia yake na alipokuwa anataka Kutorokea Kenya aende Dubai akajua Watu wa 'Nyakoro' wanamlia 'timing' wamkamate na Kuficha 'udhaifu' wake akaona aje na Ajenda ya Katiba, atengeneze 'Presha' kwa Wafuasi ili akikamatwa ionekane ni kutokana na Kudai Katiba.
Wana CHADEMA punguzeni na kataeni kuendelea kufanywa Mitaji ya kiumaarufu na kimkakati ya baadhi ya Viongozi wenu Waandamizi huku Chama chenu kikizidi kupoteza Dira yake na kuhamishia Siasa zenu barabarani, Gerezani Segerea na katika 'Corridors' za Mahakama ya Kisutu.
Najua kwa Ukweli wangu huu Mchungu kwenu mtakuja na kila dhihaka na Matusi Kwangu kwakuwa ni mwana CCM (niliyejiweka wazi JamiiForums) ila nina uhakika kuna Jambo jema sana hapa GENTAMYCINE nimewaambia na Kuwasaidieni hivyo mtayatafakari, mtajitathmini na kubadilika upesi.
Msipobadilika tutaipenda 'CCM' Milele.
Unajielewa kweli? Rudia kusoma ulichoandikaCHADEMA bwana!!! Mnataka nchi iongozwe kihisia,yaani mtu anamshauri Rais,eti shughulikia suala la mbowe Ili ukuze demokrasia
Hatari sana nchi kuwa na wananchi kama weweRais amezungumza vizuri kweli tena kwa uwazi ulio uwazi kwamba sauli hili sio la leo lilikuwepo na bw yule yule alikuwa analifahamu fika na baadhi ya wahusika wa jambo hili walikuwepo rumamnde kwa muda mrefu tu kabla bwana yule hajakamatwa isipokuwa bw yule ni intelegent wa kutisha sana ana akili nyingi sana akaona atafanyaje suala hile alipe mlangpo au mwonekano mwingine wa ki umma zaidi akaingilia kwa kasi ya katiba mpya bahati mbaya kondoo wake hawajui haya au intelegency aliyonayo kiongozi wao katika kuwatumia vyema koondoo wake, ''Rais amesaema mahakama itatupa majawabu sahihi baada ya mahakimu na wanasheria wa pande zote mbili kukabiliana kwa kina na kuja na jawabu moja tuvute subraaaaa'
Inasikitisha mno kuona Watanzania wenzangu wanavyokaririshwa versions hizi za script za POLICE,CCM&Serikali yake kuhalalisha tuhuma za ugaidi dhidi ya Mh.Mbowe.Kiungwana kabisa nawashauri na kuwaombeni kuanzia sasa wana CHADEMA wote wekezeni mno katika Kuzisoma Nyendo za Viongozi wenu Waandamizi ili msije mkawa ama mnadanganywa au mnatumika kama Mitaji yao ya kuwa Maarufu Kitaifa na Kimataifa.
Yaani Mtu Mmoja kafanya Upuuzi wake tokea Mwezi Septemba na baada ya kujua ameyakoroga kama si kuyakanyaga akaanza kuhamisha Familia yake na alipokuwa anataka Kutorokea Kenya aende Dubai akajua Watu wa 'Nyakoro' wanamlia 'timing' wamkamate na Kuficha 'udhaifu' wake akaona aje na Ajenda ya Katiba, atengeneze 'Presha' kwa Wafuasi ili akikamatwa ionekane ni kutokana na Kudai Katiba.
Wana CHADEMA punguzeni na kataeni kuendelea kufanywa Mitaji ya kiumaarufu na kimkakati ya baadhi ya Viongozi wenu Waandamizi huku Chama chenu kikizidi kupoteza Dira yake na kuhamishia Siasa zenu barabarani, Gerezani Segerea na katika 'Corridors' za Mahakama ya Kisutu.
Najua kwa Ukweli wangu huu Mchungu kwenu mtakuja na kila dhihaka na Matusi Kwangu kwakuwa ni mwana CCM (niliyejiweka wazi JamiiForums) ila nina uhakika kuna Jambo jema sana hapa GENTAMYCINE nimewaambia na Kuwasaidieni hivyo mtayatafakari, mtajitathmini na kubadilika upesi.
Msipobadilika tutaipenda 'CCM' Milele.
Yaani, mama ana jeshi lake la mtandaoni la kutetea matakataka ya sirikali..mnaharibu kutetea makosa ya wazi kabisa aliyofanya Maza.
..suala hili bora mngeacha lipoe lenyewe jinsi muda unavyokwenda.
Anakaa kwa shemeji yake hajui hata bei ya mafuta huyoMkuu Bei ya mafuta ya kula dumu la lita 20 n tsh 90000/=
Hivi hii Bei ukiwa na kadi ya CCM ukaenda nayo dukan bei haishuki kweli?
"""""Mbowe siyo gaidi""""""
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app