Ushauri wa bure tu na wenye 'Ukweli Mchungu' kwa Wanachadema wote Mitandaoni na Kwingineko duniani

Ushauri wa bure tu na wenye 'Ukweli Mchungu' kwa Wanachadema wote Mitandaoni na Kwingineko duniani

CHADEMA bwana!!! Mnataka nchi iongozwe kihisia,yaani mtu anamshauri Rais,eti shughulikia suala la mbowe Ili ukuze demokrasia
 
Rais amezungumza vizuri kweli tena kwa uwazi ulio uwazi kwamba sauli hili sio la leo lilikuwepo na bw yule yule alikuwa analifahamu fika na baadhi ya wahusika wa jambo hili walikuwepo rumamnde kwa muda mrefu tu kabla bwana yule hajakamatwa isipokuwa bw yule ni intelegent wa kutisha sana ana akili nyingi sana akaona atafanyaje suala hile alipe mlangpo au mwonekano mwingine wa ki umma zaidi akaingilia kwa kasi ya katiba mpya bahati mbaya kondoo wake hawajui haya au intelegency aliyonayo kiongozi wao katika kuwatumia vyema koondoo wake, ''Rais amesaema mahakama itatupa majawabu sahihi baada ya mahakimu na wanasheria wa pande zote mbili kukabiliana kwa kina na kuja na jawabu moja tuvute subraaaaa'
 
Kiungwana kabisa nawashauri na kuwaombeni kuanzia sasa wana CHADEMA wote wekezeni mno katika Kuzisoma Nyendo za Viongozi wenu Waandamizi ili msije mkawa ama mnadanganywa au mnatumika kama Mitaji yao ya kuwa Maarufu Kitaifa na Kimataifa.

Yaani Mtu Mmoja kafanya Upuuzi wake tokea Mwezi Septemba na baada ya kujua ameyakoroga kama si kuyakanyaga akaanza kuhamisha Familia yake na alipokuwa anataka Kutorokea Kenya aende Dubai akajua Watu wa 'Nyakoro' wanamlia 'timing' wamkamate na Kuficha 'udhaifu' wake akaona aje na Ajenda ya Katiba, atengeneze 'Presha' kwa Wafuasi ili akikamatwa ionekane ni kutokana na Kudai Katiba.

Wana CHADEMA punguzeni na kataeni kuendelea kufanywa Mitaji ya kiumaarufu na kimkakati ya baadhi ya Viongozi wenu Waandamizi huku Chama chenu kikizidi kupoteza Dira yake na kuhamishia Siasa zenu barabarani, Gerezani Segerea na katika 'Corridors' za Mahakama ya Kisutu.

Najua kwa Ukweli wangu huu Mchungu kwenu mtakuja na kila dhihaka na Matusi Kwangu kwakuwa ni mwana CCM (niliyejiweka wazi JamiiForums) ila nina uhakika kuna Jambo jema sana hapa GENTAMYCINE nimewaambia na Kuwasaidieni hivyo mtayatafakari, mtajitathmini na kubadilika upesi.

Msipobadilika tutaipenda 'CCM' Milele.
gaidi akiachiwa kwa NOLLE uje hapa tena kutetea hoja zako pia
 
Ukweli mwingine mchungu ni huu ccm Ina miaka 60 hivyo huyu Kama ni binadamu jua lishazama. Ndio maana watanzania tunaikataa na kamwe nature haitaruhusu ccm iishi miaka Mia hata jumuia ya kimataifa itatusaidia kuiondoa madarakani japo njia hii itatuumiza sote nyie na sisi. Ccm na wasio ccm .
Mcheza ngoma mzuri ni yule anayeondoka stejini mapema angali akishangiliwa.
Jumuiya zipi za kimataifa hizihizi zinazoleta kila siku misaada, hii kesi ya Mbowe ingekuwa kwelii kuna hila za kuonewa basi hata ubalozi wa marekani tungesikia wakitoa kauli, lakini ukiangalia hata wao wanajua kinachoendelea ndomana wamekaa kimya tuu.
 
Mkuu Bei ya mafuta ya kula dumu la lita 20 n tsh 90000/=

Hivi hii Bei ukiwa na kadi ya CCM ukaenda nayo dukan bei haishuki kweli?

"""""Mbowe siyo gaidi""""""

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Rais amezungumza vizuri kweli tena kwa uwazi ulio uwazi kwamba shauri hili sio la leo lilikuwepo na bw yule yule alikuwa analifahamu fika na baadhi ya wahusika wa jambo hili walikuwepo rumamnde kwa muda mrefu tu kabla bwana yule hajakamatwa isipokuwa bw yule ni intelegent wa kutisha sana ana akili nyingi sana akaona atafanyaje suala hile alipe mlango au mwonekano mwingine wa ki umma zaidi akaingilia kwa kasi ya katiba mpya bahati mbaya kondoo wake hawajui haya au intelegency aliyonayo kiongozi wao katika kuwatumia vyema koondoo wake, ''Rais amesaema mahakama itatupa majawabu sahihi baada ya mahakimu na wanasheria wa pande zote mbili kukabiliana kwa kina na kuja na jawabu moja tuvute subraaaaa
 
Kuanzia Leo sitasoma Uzi wako milele na nitakudharau Kama ninavyomdharau pasco
Mimi nadhani kiongozi endelea tu kusoma tu nyuzi zake hata kama unakwazika nazo kwa kuwa hiyo ndio demokrasia....na pia mawazo kinzani ndio yanaleta ukomavu kisiasa na kifikra......itafika muda utamzoea tu.......relax kiongozi penye wengi pana mengi....
 
Wanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.
 
Brother naamini uko TZ,si ndio ?

Sasa usiku wote huu bado MOYO WAKO UNAKWENDA KASI na KUVUTA PUMZI ZA HARAKAHARAKA ,uko na andasi ya miraa,mirungi ,kangeta mpaka umejawa na hasira hivyo?!!!


Kunywa maji mkuu 🤣🤣

Polisi wako kulinda amani ya WANANCHI na MALI ZAO...huku kwetu Afrika maandamano ni lango la kuamsha vurugu ,wizi na machafuko.....mifano itele.....sasa Polisi wanuse hatari yenu CHADEMA waaache tu?!! khaaa 😲🤣🤣
Ila mandamano ya kumpongeza raisi ni halali kwa ccm ila kwa vya upinzani ni vurugu.
na wizi.
ukweli serikali ndio inaipa nguvu chadema na umarufu kwa mbowe.
jiulize swali kesi ya mashehe ili ishia wapi! Je walikuwa magaidi kweli ndivyo kesi ya mbowe itakavyo kuwa.
hamna jipya ccm ndio unatengenezea chadema umarufu badala ya kuishusha.
 
Dhana ya uongo hiyo!!

Mmejijenge dhana mfu ya uongo...

Imemea katika bongo zenu "kinyumbu".....huna ushahidi kuwa WAKURUGENZI huiba kura zenu....


Na huu uongo sijui lini UPINZANI utauacha kuwa kichaka cha visingizio ?[emoji1787]

Anyway watanzania wengi wala hawaihitaji hiyo katiba mpya.....tume ya Jaji Warioba ilizunguka na ushahidi watu waliona......


Japo mko wachache mnaotaka KATIBA MPYA ila haiwaondolei ukweli kuwa WATANZANIA HAWAKO TAYARI muwatumie kusukuma AJENDA ZENU kwa "njia zozote zile"......watanzania wengi si watu wa shari kama mlivyo baadhi yenu........

Tanzania ni ENEO LA KUPUMULIA shida za wenzetu....si eneo la kuwa kama MOCIMBOA DA PRAIA huko CABO DELGADO nchini Msumbiji......

#SerikaliMbiliMilele
#SiempreCCM
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Comment hii imeonyesha jinsi ulivyo mpumbavu, mpaka nimecheka aisee
 
Kiungwana kabisa nawashauri na kuwaombeni kuanzia sasa wana CHADEMA wote wekezeni mno katika Kuzisoma Nyendo za Viongozi wenu Waandamizi ili msije mkawa ama mnadanganywa au mnatumika kama Mitaji yao ya kuwa Maarufu Kitaifa na Kimataifa.

Yaani Mtu Mmoja kafanya Upuuzi wake tokea Mwezi Septemba na baada ya kujua ameyakoroga kama si kuyakanyaga akaanza kuhamisha Familia yake na alipokuwa anataka Kutorokea Kenya aende Dubai akajua Watu wa 'Nyakoro' wanamlia 'timing' wamkamate na Kuficha 'udhaifu' wake akaona aje na Ajenda ya Katiba, atengeneze 'Presha' kwa Wafuasi ili akikamatwa ionekane ni kutokana na Kudai Katiba.

Wana CHADEMA punguzeni na kataeni kuendelea kufanywa Mitaji ya kiumaarufu na kimkakati ya baadhi ya Viongozi wenu Waandamizi huku Chama chenu kikizidi kupoteza Dira yake na kuhamishia Siasa zenu barabarani, Gerezani Segerea na katika 'Corridors' za Mahakama ya Kisutu.

Najua kwa Ukweli wangu huu Mchungu kwenu mtakuja na kila dhihaka na Matusi Kwangu kwakuwa ni mwana CCM (niliyejiweka wazi JamiiForums) ila nina uhakika kuna Jambo jema sana hapa GENTAMYCINE nimewaambia na Kuwasaidieni hivyo mtayatafakari, mtajitathmini na kubadilika upesi.

Msipobadilika tutaipenda 'CCM' Milele.
Ninaendelea kufuatilia kesi ya Sabaya Kwa utulivu mkubwa. Kama huo ushahidi ni kweli Kwa huyu muwakilishi WA Rais basi Mimi mwisho kuwa mzalendo WA nchi hii na kuamini tuna serikali Chino ya CCM basi. Zote ni takataka toka Rais Hadi kitongoji. Haya ni majambazi tunahitaji kupambana na kuyachoma Moto.
 
Kiungwana kabisa nawashauri na kuwaombeni kuanzia sasa wana CHADEMA wote wekezeni mno katika Kuzisoma Nyendo za Viongozi wenu Waandamizi ili msije mkawa ama mnadanganywa au mnatumika kama Mitaji yao ya kuwa Maarufu Kitaifa na Kimataifa.

Yaani Mtu Mmoja kafanya Upuuzi wake tokea Mwezi Septemba na baada ya kujua ameyakoroga kama si kuyakanyaga akaanza kuhamisha Familia yake na alipokuwa anataka Kutorokea Kenya aende Dubai akajua Watu wa 'Nyakoro' wanamlia 'timing' wamkamate na Kuficha 'udhaifu' wake akaona aje na Ajenda ya Katiba, atengeneze 'Presha' kwa Wafuasi ili akikamatwa ionekane ni kutokana na Kudai Katiba.

Wana CHADEMA punguzeni na kataeni kuendelea kufanywa Mitaji ya kiumaarufu na kimkakati ya baadhi ya Viongozi wenu Waandamizi huku Chama chenu kikizidi kupoteza Dira yake na kuhamishia Siasa zenu barabarani, Gerezani Segerea na katika 'Corridors' za Mahakama ya Kisutu.

Najua kwa Ukweli wangu huu Mchungu kwenu mtakuja na kila dhihaka na Matusi Kwangu kwakuwa ni mwana CCM (niliyejiweka wazi JamiiForums) ila nina uhakika kuna Jambo jema sana hapa GENTAMYCINE nimewaambia na Kuwasaidieni hivyo mtayatafakari, mtajitathmini na kubadilika upesi.

Msipobadilika tutaipenda 'CCM' Milele.
Wewe ni nani kwenye nchi hii ? kwanini hamjifunzi kwa yaliyotokea kwa jiwe ?
 
Rais amezungumza vizuri kweli tena kwa uwazi ulio uwazi kwamba sauli hili sio la leo lilikuwepo na bw yule yule alikuwa analifahamu fika na baadhi ya wahusika wa jambo hili walikuwepo rumamnde kwa muda mrefu tu kabla bwana yule hajakamatwa isipokuwa bw yule ni intelegent wa kutisha sana ana akili nyingi sana akaona atafanyaje suala hile alipe mlangpo au mwonekano mwingine wa ki umma zaidi akaingilia kwa kasi ya katiba mpya bahati mbaya kondoo wake hawajui haya au intelegency aliyonayo kiongozi wao katika kuwatumia vyema koondoo wake, ''Rais amesaema mahakama itatupa majawabu sahihi baada ya mahakimu na wanasheria wa pande zote mbili kukabiliana kwa kina na kuja na jawabu moja tuvute subraaaaa'
Hatari sana nchi kuwa na wananchi kama wewe
 
Kiungwana kabisa nawashauri na kuwaombeni kuanzia sasa wana CHADEMA wote wekezeni mno katika Kuzisoma Nyendo za Viongozi wenu Waandamizi ili msije mkawa ama mnadanganywa au mnatumika kama Mitaji yao ya kuwa Maarufu Kitaifa na Kimataifa.

Yaani Mtu Mmoja kafanya Upuuzi wake tokea Mwezi Septemba na baada ya kujua ameyakoroga kama si kuyakanyaga akaanza kuhamisha Familia yake na alipokuwa anataka Kutorokea Kenya aende Dubai akajua Watu wa 'Nyakoro' wanamlia 'timing' wamkamate na Kuficha 'udhaifu' wake akaona aje na Ajenda ya Katiba, atengeneze 'Presha' kwa Wafuasi ili akikamatwa ionekane ni kutokana na Kudai Katiba.

Wana CHADEMA punguzeni na kataeni kuendelea kufanywa Mitaji ya kiumaarufu na kimkakati ya baadhi ya Viongozi wenu Waandamizi huku Chama chenu kikizidi kupoteza Dira yake na kuhamishia Siasa zenu barabarani, Gerezani Segerea na katika 'Corridors' za Mahakama ya Kisutu.

Najua kwa Ukweli wangu huu Mchungu kwenu mtakuja na kila dhihaka na Matusi Kwangu kwakuwa ni mwana CCM (niliyejiweka wazi JamiiForums) ila nina uhakika kuna Jambo jema sana hapa GENTAMYCINE nimewaambia na Kuwasaidieni hivyo mtayatafakari, mtajitathmini na kubadilika upesi.

Msipobadilika tutaipenda 'CCM' Milele.
Inasikitisha mno kuona Watanzania wenzangu wanavyokaririshwa versions hizi za script za POLICE,CCM&Serikali yake kuhalalisha tuhuma za ugaidi dhidi ya Mh.Mbowe.
Najiuliza itakuwaje akishinda kesi hii?Viongozi hawa wa CCM na serikali watakuwa tayari kujiuzulu.Hizi ni tuhuma sawa na kuua.CHADEMA na wapinzani wa kweli nchi hii wanavumilia mengi na kunyanyaswa kama wageni(Hata Wakimbizi) wanatakiwa kulindwa na kusikilizwa.
Haya yote yanatukumbusha umuhimu wa Katiba Mpya itakayolinda Haki,Umoja na Utu wetu sisi Wananchi.
 
..mnaharibu kutetea makosa ya wazi kabisa aliyofanya Maza.

..suala hili bora mngeacha lipoe lenyewe jinsi muda unavyokwenda.
Yaani, mama ana jeshi lake la mtandaoni la kutetea matakataka ya sirikali
 
Tunachojua Kiongozi Mbowe, siyo gaidi hadi pale Mahakama itatakavyotafsiri hivyo vinginevyo tuendelee kubaki humo.
 
Mkuu nilikua nakuheshimu sana kwenye mabandiko yako ya awali wakati una akili kidogo hata za kuvukia barabara, kokote Duniani kwa watu walio smart hawapambani na upinzani wala hawawaoni kama ni kikwazo, maana kama unafanya mambo yako na wananchi wanakukubali kwanini utumie nguvu kukubalika? na pili hairuhusiwi kuzungumzia chochote kilichoko mahakamani hata kama wewe ni Rais maana lolote likitokea kule utaonekana dhahiri kuwa ulishinikiza hiyo hukumu, kwa maneno ya mama yenu sasa naamini kwamba hata yeye anapiga simu kwa majaji kuwaelekeza cha kufanya , Hatakuwa Rais kwa kipindi kingine Take it from me, maana kwakua yuko weak wanamwendesha wanavyotaka na yeye anajaa tu kichwa kichwa. She cant even reason.
 
Back
Top Bottom