Mkuu nilikua nakuheshimu sana kwenye mabandiko yako ya awali wakati una akili kidogo hata za kuvukia barabara, kokote Duniani kwa watu walio smart hawapambani na upinzani wala hawawaoni kama ni kikwazo, maana kama unafanya mambo yako na wananchi wanakukubali kwanini utumie nguvu kukubalika? na pili hairuhusiwi kuzungumzia chochote kilichoko mahakamani hata kama wewe ni Rais maana lolote likitokea kule utaonekana dhahiri kuwa ulishinikiza hiyo hukumu, kwa maneno ya mama yenu sasa naamini kwamba hata yeye anapiga simu kwa majaji kuwaelekeza cha kufanya , Hatakuwa Rais kwa kipindi kingine Take it from me, maana kwakua yuko weak wanamwendesha wanavyotaka na yeye anajaa tu kichwa kichwa. She cant even reason.