Ushauri wa bure tu na wenye 'Ukweli Mchungu' kwa Wanachadema wote Mitandaoni na Kwingineko duniani

Ushauri wa bure tu na wenye 'Ukweli Mchungu' kwa Wanachadema wote Mitandaoni na Kwingineko duniani

Kwataarifa yako na yenu hatutaacha kudai katiba Tena mkizidisha ukandamizaji hata tunaodai kupitia keyboard tutatoka wazi rasmi maana hoja mbona ni rahisi ? Iko hivi!

Tusipodai katiba mpya Sasa 2025 wakurugenzi ambao ni makada wa ccm watasimamia uchaguzi halafu mtaiba kura then mtatuambia Tena 2026 onwards tusidai katiba kwasababu mnajenga nchi utopolo huu utakuwa ni endelevu kwenye uchumi tunaita viscious circle Sasa Basi. Imetosha
Dhana ya uongo hiyo!!

Mmejijenge dhana mfu ya uongo...

Imemea katika bongo zenu "kinyumbu".....huna ushahidi kuwa WAKURUGENZI huiba kura zenu....


Na huu uongo sijui lini UPINZANI utauacha kuwa kichaka cha visingizio ?🤣

Anyway watanzania wengi wala hawaihitaji hiyo katiba mpya.....tume ya Jaji Warioba ilizunguka na ushahidi watu waliona......


Japo mko wachache mnaotaka KATIBA MPYA ila haiwaondolei ukweli kuwa WATANZANIA HAWAKO TAYARI muwatumie kusukuma AJENDA ZENU kwa "njia zozote zile"......watanzania wengi si watu wa shari kama mlivyo baadhi yenu........

Tanzania ni ENEO LA KUPUMULIA shida za wenzetu....si eneo la kuwa kama MOCIMBOA DA PRAIA huko CABO DELGADO nchini Msumbiji......

#SerikaliMbiliMilele
#SiempreCCM
#NchiKwanza
#KaziIendelee
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kuna watu akili zimegota kabisa, hata ufanye nini ni kazi bure.

Kama huyu hapa, hujianzishia mada za kipuuzi puuzi sijui huwa zinamsaidia jambo gani.

Hopeless kabisa!

Imenibidi nichangie tu kwa hasira za kupoteza muda wangu kusoma takataka.
 
N

Sio maana namuambia huyo juha kwasasa wanadhani wanapambana na chadema wakirogwa wajaribu kuuwa watu kwa kisingizio Cha kuzuia maandamano hapo ndio jwtz itakapogawanyika vipande viwili maana vijana wengi majeshini hawafurahishwi na ujinga wa ccm.
Unapenda kujumuisha ya "moyo wako" kuyafanya ya wengine....

Hao vijana usemao huko MAJESHINI umewahesabu?!!

Umefanya tafiti ya kisayansi huko majeshini?

Walikuruhusu kuzungukia Majeshi yote na kuchukua takwimu yao ?!!!


Unapogoma kipoyoyo tu na "pang'ang'a" za kitoto 🤣🤣

Anyway mkuu ulikosa zile nafasi za TAMISEMI ?!! Usikonde mwakani Serikali sikivu chini ya mh.Rais SSH itatoa nafasi nyingine.....

Ama ulikuwa miongoni mwa wale wachache waliojenga ule "ukuta" sasa umeamua kutapika nyongo kwa kujifanya eti vijana majeshini.....?!!!

#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#UtulivuKwanza
#KaziIendelee
#SiempreCCM
 
Sijui kwanini sisi CCM tunakuwa wagumu hivi kuelewa..?

Hapa ishu siyo kumfunga Mwenyekiti wao au kukifutilia mbali CDM..

Ukweli ni kwamba tumeshachokwa kwa muda sasa na Wananchi ambao wengi siyo CDM wala chama kingine chochote ila ni WATANZANIA!!
UNAFIKI....

Hao WANANCHI WOTE walioichoka CCM ni wa wapi ?!!!!

Kijiweni kwako?
Tawini kwenu?

Hiyo tafiti ya kisayansi kuwa CCM imechokwa na WANANCHI nchi nzima umeifanyia wapi?!!!

Jisemee nafsi yako si WANANCHI walio wengi...wote.....

#SiempreCCM
 
Jichanganyeni
Unapenda kujumuisha ya "moyo wako" kuyafanya ya wengine....

Hao vijana usemao huko MAJESHINI umewahesabu?!!

Umefanya tafiti ya kisayansi huko majeshini?

Walikuruhusu kuzungukia Majeshi yote na kuchukua takwimu yao ?!!!


Unapogoma kipoyoyo tu na "pang'ang'a" za kitoto 🤣🤣

Anyway mkuu ulikosa zile nafasi za TAMISEMI ?!! Usikonde mwakani Serikali sikivu chini ya mh.Rais SSH itatoa nafasi nyingine.....

Ama ulikuwa miongoni mwa wale wachache waliojenga ule "ukuta" sasa umeamua kutapika nyongo kwa kujifanya eti vijana majeshini.....?!!!

#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#UtulivuKwanza
#KaziIendelee
#SiempreCCM
Kwasasa ni ngumu kuelewa Ila waambie makada wenzio wajichanganye kwa vijana wa mabeyo nyie wachezeeni hao hao wakina simoninziro
 
Unapenda kujumuisha ya "moyo wako" kuyafanya ya wengine....

Hao vijana usemao huko MAJESHINI umewahesabu?!!

Umefanya tafiti ya kisayansi huko majeshini?

Walikuruhusu kuzungukia Majeshi yote na kuchukua takwimu yao ?!!!


Unapogoma kipoyoyo tu na "pang'ang'a" za kitoto [emoji1787][emoji1787]

Anyway mkuu ulikosa zile nafasi za TAMISEMI ?!! Usikonde mwakani Serikali sikivu chini ya mh.Rais SSH itatoa nafasi nyingine.....

Ama ulikuwa miongoni mwa wale wachache waliojenga ule "ukuta" sasa umeamua kutapika nyongo kwa kujifanya eti vijana majeshini.....?!!!

#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#UtulivuKwanza
#KaziIendelee
#SiempreCCM
MATAGA mwenzangu tuwajibu kwa hoja na siyo kwa kudemka..

"Nitasema ukweli daima..Uongo kwangu mwiko.."
 
Jichanganyeni

Kwasasa ni ngumu kuelewa Ila waambie makada wenzio wajichanganye kwa vijana wa mabeyo nyie wachezeeni hao hao wakina simoninziro
Mkuu wewe ni under 18?!!

Kama sivyo...unanishangaza sana....

Mbona unaongea yasiyopo?!!

JWTZ lini likadeal na masuala ya raia na mali zao?!!

Acha utoto banaa 🤣🤣
 
UNAFIKI....

Hao WANANCHI WOTE walioichoka CCM ni wa wapi ?!!!!

Kijiweni kwako?
Tawini kwenu?

Hiyo tafiti ya kisayansi kuwa CCM imechokwa na WANANCHI nchi nzima umeifanyia wapi?!!!

Jisemee nafsi yako si WANANCHI walio wengi...wote.....

#SiempreCCM
Tuseme ukweli daima..Uongo kwetu iwe mwiko..
 
Tuseme ukweli daima..Uongo kwetu iwe mwiko..
Sawa......

Kwa hiyo akina Lissu na Chadema ndio kipimo/mizani ya UKWELI?!!🤣

Mh.Lissu aliwahi kuuaminisha UMMA kuwa "bwana mmoja msaidizi wa karibu na kiongozi mkuu amefariki".....kumbe UONGO CLASSIC 🤣

Sasa ndio niingie barabarani kuandamana kutokana na MANENO YAKE/YAO na ya akina Lema ?!!!🤣
 
Na wewe ungeanza kuzisoma nyendo za wenyeviti wako hiyo itakusaidia kuwa Binadamu na si vinginevyo.
 
Sijui kwanini sisi CCM tunakuwa wagumu hivi kuelewa..?

Hapa ishu siyo kumfunga Mwenyekiti wao au kukifutilia mbali CDM..

Ukweli ni kwamba tumeshachokwa kwa muda sasa na Wananchi ambao wengi siyo CDM wala chama kingine chochote ila ni WATANZANIA!!
Sijui kwann wagumu kuelewa
 
Mtanzania yeyote anayelipenda Taifa lake kwa dhati hawezi kuongea maneno kama ya mleta mada.

Ni nchi gani umeona vyombo vya dola vikifanya kazi ya kulinda Chama Tawala, badala ya kulinda wananchi na bado kukawa na maendeleo?
 
Unafikiri Mwendazake Kama alijua hayo Mbowe Angekuwepo uraiani hadi leo???!!Mi ninaamini kuwa NDANI YA KITENGO KUNA WATEULE WA JPM WANATAKA KULIPA KISASI CHA KUONDOKEWA NA JPM ILI KUPOZA MAUMIVU YAO!!!NI HIVYO TU HAKUNA JIPYA!!!!LEMA ALIOTA NDOTO TU AKALA MIEZI MINNE SEMBUSE MBOWE NA UGAIDI!!ANGESHA KUFA HATA MWAKA ASINGEUONA!!!
 
Kuanzia Leo sitasoma Uzi wako milele na nitakudharau Kama ninavyomdharau pasco
[emoji23][emoji23][emoji23],pole mkuu ndo hivyotena kamanda wenu kawaingiza chocho,chadema wamewahi kuwa na kiongozi mzuri na mwenye hofu ya Mungu ,alifanya siasa za utu na uungwana ,hakuwa na roho ya kigaidi Wala ubazazi au ukauzu ni Dr.slaa pekee.
 
Kiungwana kabisa nawashauri na kuwaombeni kuanzia sasa wana CHADEMA wote wekezeni nno katika Kuzisoma Nyendo za Viongozi wenu Waandamizi ili msije mkawa ama mnadanganywa au mnatumika kama Mitaji yao ya kuwa Maarufu Kitaifa na Kimataifa.

Yaani Mtu Mmoja kafanya Upuuzi wake tokea Mwezi Septemba na baada ya kujua ameyakoroga kama si kuyakanyaga akaanza kuhamisha Familia yake na alipokuwa anataka Kutorokea Kenya aende Dubai akajua Watu wa 'Nyakoro' wanamlia 'timing' wamkamate na Kuficha 'udhaifu' wake akaona aje na Ajenda ya Katiba, atengeneze 'Presha' kwa Wafuasi ili akikamatwa ionekane ni kutokana na Kudai Katiba.

Wana CHADEMA punguzeni na kataeni kuendelea kufanywa Mitaji ya Kiumaarufu na Kimkakati ya baadhi ya Viongozi wenu Waandamizi huku Chama chenu kikizidi kupoteza Dira yake na kuhamishia Siasa zenu barabarani, Gerezani Segerea na katika 'Corridors' za Mahakama ya Kisutu.

Najua kwa Ukweli wangu huu Mchungu Kwenu mtakuja na kila Dhihaka na Matusi Kwangu kwakuwa ni mwana CCM ( niliyejiweka wazi JamiiForums ) ila nina uhakika kuna Jambo jema sana hapa GENTAMYCINE nimewaambia na Kuwasaidieni hivyo mtayatafakari, mtajitathmini na kubadilika upesi.

Msipobadilika tutaipenda 'CCM' Milele.
Bahati mbaya huyu mtuhumiwa wa ugaidi akitoka Sura zetu tutaweka wapi?!!... Nadhani Mama amekosea kutoa hukumu kwenye vyombo vya habari Yani mkuu wa nchi na Mwenyekiti WA wangu wa chama pia amiri jeshi mkuu hana tofauti na mkuu wa police ajabu sana!!.. umesikiliza mahojiano vizuri au ulisikia hukumu ya Mbowe tu
 
Ficha usakala wako....🤣

CCM imezaliwa 1977....hiyo miaka 60 iko wapi hapo?!!

Hivi ninyi mbona mnapenda kufanya "takriri" ujinga?!!!
kumbe ukibadili jina ukubwani na miaka yako inapungua ama kweli akili ni nywele na wewe una zako bac sawa MCC mna maika 6
 
Kiungwana kabisa nawashauri na kuwaombeni kuanzia sasa wana CHADEMA wote wekezeni mno katika Kuzisoma Nyendo za Viongozi wenu Waandamizi ili msije mkawa ama mnadanganywa au mnatumika kama Mitaji yao ya kuwa Maarufu Kitaifa na Kimataifa.

Yaani Mtu Mmoja kafanya Upuuzi wake tokea Mwezi Septemba na baada ya kujua ameyakoroga kama si kuyakanyaga akaanza kuhamisha Familia yake na alipokuwa anataka Kutorokea Kenya aende Dubai akajua Watu wa 'Nyakoro' wanamlia 'timing' wamkamate na Kuficha 'udhaifu' wake akaona aje na Ajenda ya Katiba, atengeneze 'Presha' kwa Wafuasi ili akikamatwa ionekane ni kutokana na Kudai Katiba.

Wana CHADEMA punguzeni na kataeni kuendelea kufanywa Mitaji ya kiumaarufu na kimkakati ya baadhi ya Viongozi wenu Waandamizi huku Chama chenu kikizidi kupoteza Dira yake na kuhamishia Siasa zenu barabarani, Gerezani Segerea na katika 'Corridors' za Mahakama ya Kisutu.

Najua kwa Ukweli wangu huu Mchungu kwenu mtakuja na kila dhihaka na Matusi Kwangu kwakuwa ni mwana CCM (niliyejiweka wazi JamiiForums) ila nina uhakika kuna Jambo jema sana hapa GENTAMYCINE nimewaambia na Kuwasaidieni hivyo mtayatafakari, mtajitathmini na kubadilika upesi.

Msipobadilika tutaipenda 'CCM' Milele.
Kwa hiyo unaamini charges za ugaidi ambazo kimsingi zilitayarishwa enzi za Mwendazake?
Hot air!
 
Kiungwana kabisa nawashauri na kuwaombeni kuanzia sasa wana CHADEMA wote wekezeni mno katika Kuzisoma Nyendo za Viongozi wenu Waandamizi ili msije mkawa ama mnadanganywa au mnatumika kama Mitaji yao ya kuwa Maarufu Kitaifa na Kimataifa.

Yaani Mtu Mmoja kafanya Upuuzi wake tokea Mwezi Septemba na baada ya kujua ameyakoroga kama si kuyakanyaga akaanza kuhamisha Familia yake na alipokuwa anataka Kutorokea Kenya aende Dubai akajua Watu wa 'Nyakoro' wanamlia 'timing' wamkamate na Kuficha 'udhaifu' wake akaona aje na Ajenda ya Katiba, atengeneze 'Presha' kwa Wafuasi ili akikamatwa ionekane ni kutokana na Kudai Katiba.

Wana CHADEMA punguzeni na kataeni kuendelea kufanywa Mitaji ya kiumaarufu na kimkakati ya baadhi ya Viongozi wenu Waandamizi huku Chama chenu kikizidi kupoteza Dira yake na kuhamishia Siasa zenu barabarani, Gerezani Segerea na katika 'Corridors' za Mahakama ya Kisutu.

Najua kwa Ukweli wangu huu Mchungu kwenu mtakuja na kila dhihaka na Matusi Kwangu kwakuwa ni mwana CCM (niliyejiweka wazi JamiiForums) ila nina uhakika kuna Jambo jema sana hapa GENTAMYCINE nimewaambia na Kuwasaidieni hivyo mtayatafakari, mtajitathmini na kubadilika upesi.

Msipobadilika tutaipenda 'CCM' Milele.

Tatizo ni moja tu, ccm sio chama cha kizazi hiki, ndio maana inatumia mbinu za karne iliyopita kuendelea kukaa madarakani. Mtakapokubali kuwa wakati ni ukuta, hizi mbinu za kizee mtaacha kuzitumia.
 
Back
Top Bottom