Ushauri wa bure tu na wenye 'Ukweli Mchungu' kwa Wanachadema wote Mitandaoni na Kwingineko duniani

Kwahiyo GENTAMYCINE nikiisema CCM Watu wa CHADEMA mnanikubali na kuniona nina Akili ila Siku nikigeuka na kuwasema CHADEMA na Kuwatetea CCM na Rais Samia naonekana sina Akili si ndiyo?

Pumbavu zenu kabisa na sasa natamani huyu Mbowe wenu akutwe na Hatia huko aliko ikiwezekana afungwe Maisha au hata Adhabu ya Kifo iwe juu yake ili mkome na mshike Adabu Wanafiki wakubwa nyie.

Leo nataka CHADEMA mnichukie rasmi.
 
Comment hii imeonyesha jinsi ulivyo mpumbavu, mpaka nimecheka aisee
Kucheka ucheke wewe....

Kusema useme wewe.....

Mimi naingiaje sasa?🤣

Tulia sindano ziwaingie.....

ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO
 
😞
 
Chadema walimuita Kikwete dikteta....baadaye wakamuita DHAIFU.....

Chadema walimuita JPM dikteta.....

Chadema mnamuita SSH dikteta.....

Nikijumlisha ni kuwa mnataka NCHI IENDE MTAKAVYO NINYI....KULINGANA na AJENDA ZENU NINYI .....Who are you by the way ?!!!!!

Kila Rais atokanaye na CCM hamtoacha kumuita DIKTETA.....

ENDELEENI KUUFUKUZA UPEPO
 
Hakuwa na hana mpango wa kuwa rais mbona mnakusha maneno wapi amesema anataka kuendelea na urais hatua aliifikia ni kubwa na ya kihistoria yake na vizazi vyake. Umeelewa wewe janja weed
 
Hakuwa na hana mpango wa kuwa rais mbona mnakusha maneno wapi amesema anataka kuendelea na urais hatua aliifikia ni kubwa na ya kihistoria yake na vizazi vyake. Umeelewa wewe janja weed
Subiri sasa uone kama ataacha kugombea , maana hata mwendazake alijitia hatakaa hata dakika moja muda wake ukifika , lakini akawa anawatuma kina Kessi na Ndugai pamoja na lile zee Jah people kushinikiza hoja ya kuongezewa muda, Urais hasa wa nchi zetu maskini maskini hizi hata siku moja hawatakagi kutoka believe in it
 
Kucheka ucheke wewe....

Kusema useme wewe.....

Mimi naingiaje sasa?[emoji1787]

Tulia sindano ziwaingie.....

ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO
Wew siyo kweli kuwa ni mjinga, sema unajitia ujinga mwenyewe lakini uko timamu kabisa.
 
Kucheka ucheke wewe....

Kusema useme wewe.....

Mimi naingiaje sasa?[emoji1787]

Tulia sindano ziwaingie.....

ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO
Wew siyo kweli kuwa ni mjinga, sema unajitia ujinga mwenyewe lakini uko timamu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…