Ushauri wa bure! Ukiwa mwanaharakati dhidi ya CCM usikimbilie nchi za Afrika Mashariki au Urusi au China. Nenda Marekani, UK au Nchi ya Umoja wa Ulaya

Ushauri wa bure! Ukiwa mwanaharakati dhidi ya CCM usikimbilie nchi za Afrika Mashariki au Urusi au China. Nenda Marekani, UK au Nchi ya Umoja wa Ulaya

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Nawaonea huruma sana wanaopingana na madhalimu CCM alafu wanakimbilia nchi za Afrika Mashariki au China au Urusi.

Kwa kifupi hutakuwa salama nchi yeyote ya Afrika au kwenye hizo nchi marafiki wa CCM. Nchi za Kiarabu ndo kabisa maana majasusi wa nchi mbalimbali ndo wanafanya field zao hata Kagame tu anazitoaga jasho sana.

Ukitaka kuwa salama nenda Marekani au nchi yeyote ya Umoja wa Ulaya ila sio Uturuki.

Nimemaliza
 
downloadfile.png
 
Mwanaharakati anayekemea watu kutekwa na kuuwawa nje bila ya kufikishwa mahakamani na yeye anatekwa?!🤔
Madhalimu yakikuamulia hutoboi. Kuwaweza we kimbilia kwa wapenda demokrasia tu!

Huo ni ujumbe wamemtumia huyo Bi dada kuwa tunaweza kukupata na kukuchukua muda wowote tukitaka. Akitaka kufanikiwa akimbilie US au UK au nchi yeyote ya EU (Sio Uturuki)
 
Kama wewe ni mhalifu hakuna sehemu utakimbilia usipatikane. Mange mwenyewe kazima fegi kwa utawala huu wa Mama Samia. Hata kama huna kazi jiepushe na kazi ya kuishambulia serikali iliyopo madarakani kwa harakati uchwara. Watu wachache hamuwezi vumiliwa mvuruge amani ya watu zaidi ya milioni 60 huku nyie mkila kuku ughaibuni.
 
Madhalimu yakikuamulia hutoboi. Kuwaweza we kimbilia kwa wapenda demokrasia tu!

Huo ni ujumbe wamemtumia huyo Bi dada kuwa tunaweza kukupata na kukuchukua muda wowote tukitaka. Akitaka kufanikiwa akimbilie US au UK au nchi yeyote ya EU (Sio Uturuki)
Ni jana tu tulikuwa tunamshauri Dr.Slaa akimbilie Kenya baada ya kesi, kumbe huko nako mapolisi yanafika?!
 
Kama wewe ni mhalifu hakuna sehemu utakimbilia usipatikane. Mange mwenyewe kazima fegi kwa utawala huu wa Mama Samia. Hata kama huna kazi jiepushe na kazi ya kuishambulia serikali iliyopo madarakani kwa harakati uchwara. Watu wachache hamuwezi vumiliwa mvuruge amani ya watu zaidi ya milioni 60 huku nyie mkila kuku ughaibuni.
Kwani Mange wamempata?

Nenda kajaribu kumfanyia ujinga mange ndo utajua kama Dunia inazunguka au imesimama?
 
Hakuna muhuni yeyote wa Tanzania anayewaza fanya mission kwenye hizo nchi hapo.

Wale ndo wenye dunia. Gusa unase

ndio maana nimeandika inategemea adui yako ni nani, kama ukimess with the wrong people watakufanyizia huko huko ulaya au marekani, maadui au wapinzani wa serikali ya rwanda wapo wengi tu waliokimbilia huko ulaya na kufanyiziwa huko huko aidha walikamatwa na hao hao wazungu na kurudishwa rwanda au worse …
 
ndio maana nimeandika inategemea adui yako ni nani, kama ukimess with the wrong people watakufanyizia huko, maadui wa serikali ya rwanda wapo wengi tu wakiokimbilia huko ulaya na kufanyiziwa huko huko aidha walikamatwa na hao hao wazungu na kurudishwa rwanda au worse …
Kagame na ujanja wake wote hagusi ulaya na marekani. Anaishia UAE tu hapo
 
Nawaonea huruma sana wanaopingana na madhalimu CCM alafu wanakimbilia nchi za Afrika Mashariki au China au Urusi.

Kwa kifupi hutakuwa salama nchi yeyote ya Afrika au kwenye hizo nchi marafiki wa CCM. Nchi za Kiarabu ndo kabisa maana majasusi wa nchi mbalimbali ndo wanafanya field zao hata Kagame tu anazitoaga jasho sana.

Ukitaka kuwa salama nenda Marekani au nchi yeyote ya Umoja wa Ulaya ila sio Uturuki.

Nimemaliza
Unamjua PK ? alimkill target ndani ya U.S na mwengine S.A
 
Back
Top Bottom