Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
US hapana. Ila SA palivyo pa kihuni hata wazembe wetu hapa TISS wanaweza fanya mission na usitoboeUnamjua PK ? alimkill target ndani ya U.S na mwengine S.A
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
US hapana. Ila SA palivyo pa kihuni hata wazembe wetu hapa TISS wanaweza fanya mission na usitoboeUnamjua PK ? alimkill target ndani ya U.S na mwengine S.A
Hana ubavu wa kugusa watu wa Marekani yule.Nafikiri humfahamu PK wewe uliza wapinzani wake wapi aliwaua huko U.S
ili wakapate nafasi nzuri na uhuru zaidi ya kutukana na kuiporomoshea matusi mazito ardhi na nchi ya uzao wao, ili laana ya usaliti iwazeeshe na kuwahangaisha kama mzee wilbroad peter slaaNawaonea huruma sana wanaopingana na madhalimu CCM alafu wanakimbilia nchi za Afrika Mashariki au China au Urusi.
Kwa kifupi hutakuwa salama nchi yeyote ya Afrika au kwenye hizo nchi marafiki wa CCM. Nchi za Kiarabu ndo kabisa maana majasusi wa nchi mbalimbali ndo wanafanya field zao hata Kagame tu anazitoaga jasho sana.
Ukitaka kuwa salama nenda Marekani au nchi yeyote ya Umoja wa Ulaya ila sio Uturuki.
Nimemaliza

Mange mwenyewe alilizwa na familia ya Diamond kwa kutaka kumfungulia mashtaka. Yeye mwenyewe alikiri kutotii wito wa FBI kwa mahojiano... na baada ya hapo akaacha upuuzi wa kutukana hovyo. Hadi leo kimya kwa sababu alishaona mambo sio mambo.Kwani Mange wamempata?
Nenda kajaribu kumfanyia ujinga mange ndo utajua kama Dunia inazunguka au imesimama?
Kagame na ujanja wake wote hagusi ulaya na marekani. Anaishia UAE tu hapo
Tatizo mbowe ametafuna mapesa ya Abdul sisi kanyalemumo ndio.chambo😀😀😀JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
PK kaua mtu mpaka U.S watu wakiamua kukusaka wanakusaka haijalishi nini labda uwe wa muhimu sana kwenye hiyo nchi unayo kimbilia.US hapana. Ila SA palivyo pa kihuni hata wazembe wetu hapa TISS wanaweza fanya mission na usitoboe
Mtu aliye marekani unaweza kumtuliza kwa kumuhonga tu!Mange mwenyewe alilizwa na familia ya Diamond kwa kutaka kumfungulia mashtaka. Yeye mwenyewe alikiri kutotii wito wa FBI kwa mahojiano... na baada ya hapo akaacha upuuzi wa kutukana hovyo. Hadi leo kimya kwa sababu alishaona mambo sio mambo.
Vijana waelewe kuwa hakuna nchi duniani inayokubali ujinga wa kuchafuliwa hovyo. Marekani wenyewe wakimkamata Snowden atakiona cha moto. Maria anawaponza vijana kama kina Sativa kwa kuwaingiza kwenye ushenzi.ili wakapate nafasi nzuri na uhuru zaidi ya kutukana na kuiporomoshea matusi mazito ardhi na nchi ya uzao wao, ili laana ya usaliti iwazeeshe na kuwahangaisha kama mzee wilbroad peter slaa![]()
HaaahKwani Mange wamempata?
Nenda kajaribu kumfanyia ujinga mange ndo utajua kama Dunia inazunguka au imesimama?
Nyie wapuuzi wa CCM mnachafuliwa wapi ?Vijana waelewe kuwa hakuna nchi duniani inayokubali ujinga wa kuchafuliwa hovyo. Marekani wenyewe wakimkamata Snowden atakiona cha moto. Maria anawaponza vijana kama kina Sativa kwa kuwaingiza kwenye ushenzi.
Uko nyuma ya wakati. Mange mwenyewe alishawahi kulia hadharani kwa kujambishwa na kina Diamond. Na kwa mujibu wa yeye mwenyewe ilikuwa FBI wamkamate akashauriwa na wakilina wake asiende kwenye mahojiano. Ukiwa mhalifu hakuna sehemu salama kwako. Marekani sio mbinguni.Mtu aliye marekani unaweza kumtuliza kwa kumuhonga tu!
Unaweza kuta dogo Abdul keshafanya yake Bi dada kaingiziwa mpunga wa uhakika. Marekani ukiwa mpinzani wa Serikali yako tu wanakuwekea surveillance sasa ajaribu mtu kukugusa atakiona cha mtema kuni.
Ndo mana hata Mange kawahi kusema kuwa walishawai kumuonya
Endelea kujidanganyaHana ubavu wa kugusa watu wa Marekani yule.
Inaelekea huijui USA wewe, simu zote za mama yako zinazoingia na kutoka, whatsapp na sms CIA wanazisoma zote...Kama wewe ni mhalifu hakuna sehemu utakimbilia usipatikane. Mange mwenyewe kazima fegi kwa utawala huu wa Mama Samia. Hata kama huna kazi jiepushe na kazi ya kuishambulia serikali iliyopo madarakani kwa harakati uchwara. Watu wachache hamuwezi vumiliwa mvuruge amani ya watu zaidi ya milioni 60 huku nyie mkila kuku ughaibuni.
WajaribuHaaah
Hakuna kinacho shindikana japo sifagilii kabisa haya mambo ila wakiamua kuruka nae amalizi round.
Jidanganye.Inaelekea huijui USA wewe, simu zote za mama yako zinazoingia na kutoka, whatsapp na sms CIA wanazisoma zote...
Taifa masikini kama Tz na usalama vichwa panzi hawana uwezo kumfanya chochote raia wa USA, endeleeni na siasa za maji safi na vyoo...
Inaelekea huijui USA wewe, simu zote za mama yako zinazoingia na kutoka, whatsapp na sms CIA wanazisoma zote...
Taifa masikini kama Tz na usalama vichwa panzi hawana uwezo kumfanya chochote raia wa USA, endeleeni na siasa za maji safi na vyoo...
Unamjua Anne Rwigara ?Wajaribu
Mnadanganywa sana na huyo dikteta uchwara wa Rwanda, hana lolote lile zaidi ya propaganda za kitoto.Nafikiri humfahamu PK wewe uliza wapinzani wake wapi aliwaua huko U.S
Taarifa zinasema alikufa wa matatizo ya tumbo.Unamjua Anne Rwigara ?