BIG DOGG
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 1,869
- 2,707
Mange hajaacha kuivaa serikali yako. Bali nchi yako wamewahonga meta account za mange zooote zikazimwa so unaongea upuuzi gani mkuuMange mwenyewe alilizwa na familia ya Diamond kwa kutaka kumfungulia mashtaka. Yeye mwenyewe alikiri kutotii wito wa FBI kwa mahojiano... na baada ya hapo akaacha upuuzi wa kutukana hovyo. Hadi leo kimya kwa sababu alishaona mambo sio mambo.