Ushauri wa bure! Ukiwa mwanaharakati dhidi ya CCM usikimbilie nchi za Afrika Mashariki au Urusi au China. Nenda Marekani, UK au Nchi ya Umoja wa Ulaya

Mange mwenyewe alilizwa na familia ya Diamond kwa kutaka kumfungulia mashtaka. Yeye mwenyewe alikiri kutotii wito wa FBI kwa mahojiano... na baada ya hapo akaacha upuuzi wa kutukana hovyo. Hadi leo kimya kwa sababu alishaona mambo sio mambo.
Mange hajaacha kuivaa serikali yako. Bali nchi yako wamewahonga meta account za mange zooote zikazimwa so unaongea upuuzi gani mkuu
 
Hao hawajui kitu na akili hawana, hatuna uwezo wowote wa kucheza na idara za usalama na nchi za Ulaya au Amerika.
Wengine humu ni migambo na suma jkt walio na kadi za uanachama ccm, baada ya kupiga kwata asubuhi wanajiona makomando.
😂😂😂😂
 
Mange hajaacha kuivaa serikali yako. Bali nchi yako wamewahonga meta account za mange zooote zikazimwa so unaongea upuuzi gani mkuu
Bora useme ww anatudanganya
Maana mange hajaacha kuwanyoosha

Na kipindi Cha magu walishindwa eti Leo ndo wamuweze anatudanganya
 
Mange hajaacha kuivaa serikali yako. Bali nchi yako wamewahonga meta account za mange zooote zikazimwa so unaongea upuuzi gani mkuu
Ndugu sikutegemea kama wewe ni mjinga kiasi hiki. Meta wanahongwa? Kama Meta ni wamarekani na wanahongwa inashindikanaje kwa wamarekani wengine? Kabla ya kupost comment isome vizuri ili kuepusha aibu ndogondogo.
 
Je, unakumbuka Kagame alivyo waua wale wapinzani wake walioenda South Africa, Uingereza na juzi yule mdada kule USA? Infact wasiojulikana wakikuamulia usalama wako unakuwa hatarini popote pale Duniani.
 
Kwa kifupi wamuige Lissu aliyekimbilia yeye na familia yake Ubeleji. Na sasa kaicha familia yake huko ili akinikishe huku pakichafuka anarudi Ubeleji kwenye familia yake raha mustarehe! Fuateni ushauri wa Lord denning bandugu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…