Ushauri: Wanaume tuache kutongoza, tuanze kununua wadada wanaojiuza barabarani

Ushauri: Wanaume tuache kutongoza, tuanze kununua wadada wanaojiuza barabarani

Yaan jf imekuwa sijui mahakama?

Mambo yanafanyika mtaani jitu linafungua uzi humu mbio, as if likitangaza humu tutakufa[emoji57][emoji57]

Mwanaume anayejifungilisha mauzi humu namuona kama Ke tu
Dea mie sitaki jaman [emoji23][emoji23][emoji23]
Afu ukute huyo anayemzungumzia hata JF haijui khaaah.
 
Ni fedheha kubwa mwanaume kamili unalialia hapa kwa sababu ya wanawake wanaoomba pesa

Tafuta wa saizi yako mkuu, ukiona vyaelea vimeundwa

Pia wewe huwezi gharamia demu anajiuza kwa viwango, utaishia hao wa 2000-5000
[emoji122][emoji122][emoji122]

Analilia mahakama ya jf[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
 
Ni fedheha kubwa mwanaume kamili unalialia hapa kwa sababu ya wanawake wanaoomba pesa

Tafuta wa saizi yako mkuu, ukiona vyaelea vimeundwa

Pia wewe huwezi gharamia demu anajiuza kwa viwango, utaishia hao wa 2000-5000

Hongera yako wewe unaeweza gharamia wadada wa tshs million 5, hawa wadada wa tsh elfu 2, niachie mm Kifurukutu
 
Rafiki, hujalazimishwa kusoma huu uzi, kama umekukera uwekee dislike, uendelee na mambo yako, unachosha joints za vidole vyako bure kunitukana. witnessj
Katafute pesa wewe...we si umeleta lijiuzi lako public, so usinipangie[emoji19][emoji57][emoji57]

Lazima upokee vipande
 
ukiwa kwenye mahusiano , tayari uko na 'muuzaji' , ni vile tu utoaji wa pesa uko tofauti

kwenye mahusiano: leo utatoa 30k, kesho 15k, kesho 40k, akifikisha 100-150k sasa ndiyo anakupa 'uchi'

nini kifanyike: njoo chaputa
Haaahaaahaa wewe ndo umeua khaa[emoji16][emoji16]
 
Dea mie sitaki jaman [emoji23][emoji23][emoji23]
Afu ukute huyo anayemzungumzia hata JF haijui khaaah.
Laiti ungejuwa mara ya mwisho mm kumtongoza au kumshobokea mdada kimapenzi, ilikuwa mwaka jana mwezi wa pili, since then nanunuaga makahaba tu, sitongozi, sinaga time wala Shobo na wadada wa mtaani.

Usifikiri nimeanzisha huu uzi coz kuna mdada kaniomba hela masaa matatu yaliyopita nope,
cocastic
 
Laiti ungejuwa mara ya mwisho mm kumtongoza au kumshobokea mdada kimapenzi, ilikuwa mwaka jana mwezi wa pili, since then nanunuaga makahaba tu, sitongozi, sinaga time wala Shobo na wadada wa mtaani.


Usifikiri nimeanzisha huu uzi coz kuna mdada kaniomba hela masaa matatu yaliyopita nope,
cocastic
Basi sawa.
 
Laiti ungejuwa mara ya mwisho mm kumtongoza au kumshobokea mdada kimapenzi, ilikuwa mwaka jana mwezi wa pili, since then nanunuaga makahaba tu, sitongozi, sinaga time wala Shobo na wadada wa mtaani.


Usifikiri nimeanzisha huu uzi coz kuna mdada kaniomba hela masaa matatu yaliyopita nope,
cocastic
Kwahiyo wewe kutongoza ni mzito sana?
 
kwa utafiti usio rasmi ukihonga unabarikiwa sana coz unaowahonga wengine wanahudumia familia, wengine wanasomesha watoto/ndugu zao, wengine wanahudumia wagonjwa na nk... kama unabisha angalia wanaosifika kuhonga sana ka washapungukiwa pesa.
 
Kwa hali ilivyo sasa kwenye ulimwengu wa mapenzi na mahusiano, wanaume wote tunajua ukweli ni kuwa sahivi mahusiano yamekuwa biashara, unamtongoza mdada leo, kesho anakuomba hela, usipompa mahusiano yanakufa, ukimpa hela mahusiano yanakua kama ofisi ya mikopo kila Wiki shida za hela haziishii, sasa na wanaume tulivo ukiwa na Wadada 3 wa hivyo muda si mrefu, utafilisika hadi utaishia kuomba kipande cha mkate...
Emwaaaaaaa wanawake wengi wanajiuza sema style na eneo la soko ndo tofauti...Tena wanatongoza kabisa.... Wale wa VICOBA
 
Hizo akili walikuwa nazo wanawake wa miaka ya 2000 siku hizi ukimpa mwanamke pesa anaenda kubadili toleo la simu au anaenda kufanyia birthday.

Mahusiano ya sasa yanarudisha nyuma uchumi wa mtu kwa tamaa za wanawake kupenda vitu visivyo na tija
kwa utafiti usio rasmi ukihonga unabarikiwa sana coz unaowahonga wengine wanahudumia familia, wengine wanasomesha watoto/ndugu zao, wengine wanahudumia wagonjwa na nk... kama unabisha angalia wanaosifika kuhonga sana ka washapungukiwa pesa.
 
Mimi sijaona shida ya huu uzi. Wadada naona wanamrarua mleta uzi bila makosa yoyote.

Sio kashauri tuwe na dada poa tu, hapana kasema kama una uwezo miliki totoz za mtaani kama kipato kinashuka na genye zako hazishuki basi kuepuka kubaka nenda maeneo upate utelezi kwa bei chee kulingana na kipato chako.

Ukiona uchumi umekua tulia na manzi yako ivo yanii . Mbna mnamuandama namna hii ilhali ndio lifestyle ya wanaume wengi sana.
 
Back
Top Bottom