Ushauri: Wanaume tuache kutongoza, tuanze kununua wadada wanaojiuza barabarani

Ushauri: Wanaume tuache kutongoza, tuanze kununua wadada wanaojiuza barabarani

1asa sa umwambie straight huyo aliyekuomba hela sasa sisi tukusaidie nini
emoji57.png
emoji57.png
Kazi kujaza server tu mfyu
$jui kwanini Mada kama hizi wanawake waga hamzipendi...anawafukuzia wateja Nini?
 
Kwa hali ilivyo sasa kwenye ulimwengu wa mapenzi na mahusiano, wanaume wote tunajua ukweli ni kuwa sahivi mahusiano yamekuwa biashara, unamtongoza mdada leo, kesho anakuomba hela, usipompa mahusiano yanakufa, ukimpa hela mahusiano yanakua kama ofisi ya mikopo kila Wiki shida za hela haziishii, sasa na wanaume tulivo ukiwa na Wadada 3 wa hivyo muda si mrefu, utafilisika hadi utaishia kuomba kipande cha mkate....
Mkuu umenena kwanz unjiepusha na magonjwa kuwa na mademu

Unamuamini kumbe anapigw a a na wanakibao cha ajabu hutumii mpira ila malaya unatumi mpira makahaba walikuepo toka enzi za yesu.
 
Kwa hali ilivyo sasa kwenye ulimwengu wa mapenzi na mahusiano, wanaume wote tunajua ukweli ni kuwa sahivi mahusiano yamekuwa biashara, unamtongoza mdada leo, kesho anakuomba hela, usipompa mahusiano yanakufa...
kila mtu na type zake kila mtu akila hao wa marketi wengine wataliwa na nani?
 
Kwa hali ilivyo sasa kwenye ulimwengu wa mapenzi na mahusiano, wanaume wote tunajua ukweli ni kuwa sahivi mahusiano yamekuwa biashara, unamtongoza mdada leo, kesho anakuomba hela, usipompa mahusiano yanakufa, ukimpa hela mahusiano yanakua kama ofisi ya mikopo kila Wiki shida za hela haziishii, sasa na wanaume tulivo ukiwa na Wadada 3 wa hivyo muda si mrefu, utafilisika hadi utaishia kuomba kipande cha mkate.

Huu ushauri sio kwa Kila mtu, ila Mwanaume ukiona vipi, Mtu ukibanwa sana na hitaji la ngono, Unaenda kona baa u pay, and leave, Maana hakuna tofauti kati ya wadada wanaojiuza barabarani na hawa Wadada wa mtaani, Maana karibia wote wanajiuza Na karibia wote wanakupendea hela, wanaojiuza barabarani wako cheaper.

Mtaani unaacha kabisa kushobokea wadada, na kuwatongoza, the only time mwanaume unatakiwa utongoze ni pale unapojiridhisha kua huyu mdada anahitaji nimridhishe kingono. Coz amekutega.

Angalizo: UKIMWI upo tumia condom, kwa wale wafia dini wanaosema ukilala na makahaba unajiletea mikosi, hata hawa mademu wa mtaa Tunaosex nao, pia wana mikosi, ikishindikana vyote kaa kwa password.
Kuhusu Mikosi, hata wanawake tunaooa wanamikosi pia.
Lakini mimi pia naunga mkono hoja! Thamani ya mahusiano imeshuka sana baada ya pesa kuingilia kati. Iwe kumiliki mke, kumiliki dem au kununua mtaani, kote lazma uwe na pesa. Hata ukiwa na mke, ukiwa na unampatia pesa sana ndivyo atakupenda zaidi na atakupa uhuru mwingi kuliko vile kama ungekua huna hela.
Tukiachana na ndoa, ili thamani ya penzi kati ya mwanaume na mwanamke iwe juu, ni bora kununua mtaani tu na kuachana kabisa na kumiliki dem, baada ya muda kuombaomba hela kutapungua sana na wanawake wataheshimu mahusiano, mwishoe penzi litakua salama.
Lakini kwa sasa Daa
 
Mimi sijaona shida ya huu uzi. Wadada naona wanamrarua mleta uzi bila makosa yoyote.

Sio kashauri tuwe na dada poa tu, hapana kasema kama una uwezo miliki totoz za mtaani kama kipato kinashuka na genye zako hazishuki basi kuepuka kubaka nenda maeneo upate utelezi kwa bei chee kulingana na kipato chako.

Ukiona uchumi umekua tulia na manzi yako ivo yanii . Mbna mnamuandama namna hii ilhali ndio lifestyle ya wanaume wengi sana.
Wa Dada wa mtaani ndiyo wanamwandama maana anatuamsha tulio lala, Sasa wote tukisha nogewa kule kwa ma Dada poa nani atakubali kupigwa pesa!? Mambo yanakua tit for tat! Nipe nikupe hiyo inaitwa! Huduma faster kwa uwezo wako,maana ma Dada poa wananzia buku hadi wa Milion wapo,ni wwe tu kuaangalia mfuko wako! Alafu ma Dada poa hata akikuta na mkeo hana noma anakua Kama hakujui vile! Sasa hawa ma Dada wa mtaani lazima wampige vijembe mkeo hadi asanuke!!
 
Hakuna na wanadanga kwa njia za kifala hata hao watumishi ,binafsi nimeoa ila mara moja moja wife anapotoka ,hua natamani kusafisha gango la moshi na ka mdeki kangu,
Kila dem unayemuandaa kwa mazingira ya kupiga shoo unakuta ni kituko kabisa hata kama ni mtumishi!
Niliandaa mazingira ya kumtaka dem flani ambaye ofisi zetu ni jirani kabisa ,siku mbili tu baada ya kupata namba zake mzinga wa kwanza nilipigwa kua nimuazime 20 ya kikoba eti atarudisha,nikapita kushoto
Nikamtega kua naomba leo nile kwako dinner ,jibu likawa napendelea kula msosi gani ,nikasema wowote ule,basi nikamwambia na niko tayari kuchangia huo msosi ili kama kuna mahitaji yanapungua basi ajazie,mzee niliambiwa nitoe 20k eti na imewekewa na maelekezo kabisa kuanzia nauli ya yeye kutoka job,kwenda sokoni na pia kurudi home na vitu kibao kabisa .
Kufupisha story nilichomoa nikaenda kula mdudu nusu kilo huku ni buku3,ndizi za buku na bia nne na chenji ikabaki.
Asubuh iliofuata naambiwa plz naomba unisaidie vocha ya buku kuna kazi naifanya ila bando ya ofisi imekata nikapita kushoto pia ,jana ndio kafunguka eti hua nakuomba hizo pesa za vocha nikaangalie kulfi youtube kwani sina king'amuzi kwangu.
Kiufupi huyu ni mchunaj kwa njia zilizo unofficial ila analindwa na kivuli cha kazi ,heri ninunue malaya anayejiuza najilia vyangu najua kabisa kua huduma ni ya masaa, siku au laah .
Hawa madem nitakua nawatizama tu chenga san
 
Laiti ungejuwa mara ya mwisho mm kumtongoza au kumshobokea mdada kimapenzi, ilikuwa mwaka jana mwezi wa pili, since then nanunuaga makahaba tu, sitongozi, sinaga time wala Shobo na wadada wa mtaani.

Usifikiri nimeanzisha huu uzi coz kuna mdada kaniomba hela masaa matatu yaliyopita nope,
cocastic
Kaka , chimbo lako ni lipi LA Malaya? Mm nipo dsm
 
Mwanamke wa kununua binafsi nakosa kabisa hisia kwasababu najua kabisa alichofuata kwangu ni pesa tu ila hajanipenda.
 
Back
Top Bottom