mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
[emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Mmmmmh bebe umejua je haya??Ukinunua wewe inatosha, wengine hawataki "fangasi"
Atakipata tu hata amini katika maisha yake [emoji3][emoji3]Nina rafiki yangu kaanza kununua tokea form 2,kaoa na ana watoto still bado ananunua yy mwenyewe anakwambia mambo ya nyumba ndogo hayawezi.
Eeee we nanii kua na heshima bana Jiheshimu Narudia tena jiheshimu ALISIKIKA HAJI MANARA AKISEMA HIVI [emoji1787][emoji1787]Sasa huu muda wa kufungua nyuzi tafuta hela...humu husaidiwi kitu zaidi ya blah blah
Kwa ufupi ni kwamba hili unalopendekeza lina ufanisi zaidi kuliko kutongoza. Nakubaliana nawe. Unapiga kazi weekdays wikend wee ni mwendo wa warembo wa chuo unawapa an offer they cant refuse unagonga threesome maisha yanaendeleaKwa hali ilivyo sasa kwenye ulimwengu wa mapenzi na mahusiano, wanaume wote tunajua ukweli ni kuwa sahivi mahusiano yamekuwa biashara, unamtongoza mdada leo, kesho anakuomba hela, usipompa mahusiano yanakufa, ukimpa hela mahusiano yanakua kama ofisi ya mikopo kila Wiki shida za hela haziishii, sasa na wanaume tulivo ukiwa na Wadada 3 wa hivyo muda si mrefu, utafilisika hadi utaishia kuomba kipande cha mkate.
Huu ushauri sio kwa Kila mtu, ila Mwanaume ukiona vipi, Mtu ukibanwa sana na hitaji la ngono, Unaenda kona baa u pay, and leave, Maana hakuna tofauti kati ya wadada wanaojiuza barabarani na hawa Wadada wa mtaani, Maana karibia wote wanajiuza Na karibia wote wanakupendea hela, wanaojiuza barabarani wako cheaper.
Mtaani unaacha kabisa kushobokea wadada, na kuwatongoza, the only time mwanaume unatakiwa utongoze ni pale unapojiridhisha kua huyu mdada anahitaji nimridhishe kingono. Coz amekutega.
Angalizo: UKIMWI upo tumia condom, kwa wale wafia dini wanaosema ukilala na makahaba unajiletea mikosi, hata hawa mademu wa mtaa Tunaosex nao, pia wana mikosi, ikishindikana vyote kaa kwa password.
Ila nyumba ndogo zisikie, kuna mzee mmoja jirani yangu hela yote kustaff kamwachia nyumba ndogo.Atakipata tu hata amini katika maisha yake [emoji3][emoji3]
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Mwanaume anayejifungulisha mauzi humu namuona kama Ke tu
Permanent girl is the most expensive girl .. cuz atakuchuna Kila atakapo jisikia kukuchuna in the name of love na auna chakumfanya ...Kwa hali ilivyo sasa kwenye ulimwengu wa mapenzi na mahusiano, wanaume wote tunajua ukweli ni kuwa sahivi mahusiano yamekuwa biashara, unamtongoza mdada leo, kesho anakuomba hela, usipompa mahusiano yanakufa, ukimpa hela mahusiano yanakua kama ofisi ya mikopo kila Wiki shida za hela haziishii, sasa na wanaume tulivo ukiwa na Wadada 3 wa hivyo muda si mrefu, utafilisika hadi utaishia kuomba kipande cha mkate.
Huu ushauri sio kwa Kila mtu, ila Mwanaume ukiona vipi, Mtu ukibanwa sana na hitaji la ngono, Unaenda kona baa u pay, and leave, Maana hakuna tofauti kati ya wadada wanaojiuza barabarani na hawa Wadada wa mtaani, Maana karibia wote wanajiuza Na karibia wote wanakupendea hela, wanaojiuza barabarani wako cheaper.
Mtaani unaacha kabisa kushobokea wadada, na kuwatongoza, the only time mwanaume unatakiwa utongoze ni pale unapojiridhisha kua huyu mdada anahitaji nimridhishe kingono. Coz amekutega.
Angalizo: UKIMWI upo tumia condom, kwa wale wafia dini wanaosema ukilala na makahaba unajiletea mikosi, hata hawa mademu wa mtaa Tunaosex nao, pia wana mikosi, ikishindikana vyote kaa kwa password.
Kula mzigo Broh. Mambo ya hisia weka pembeni.Mwanamke wa kununua binafsi nakosa kabisa hisia kwasababu najua kabisa alichofuata kwangu ni pesa tu ila hajanipenda.
Shida wengine hawatoi ushilikiano yani yeye anasubili tu umalize haja zako asepe zake.Kula mzigo Broh. Mambo ya hisia weka pembeni.
Wa kunua hata mate kumchapa ni kipengeleUkinunua wewe inatosha, wengine hawataki "fangasi"
Kama anayo yesTukiongozwa na mama'ko mkubwa
AiseeKwa hali ilivyo sasa kwenye ulimwengu wa mapenzi na mahusiano, wanaume wote tunajua ukweli ni kuwa sahivi mahusiano yamekuwa biashara, unamtongoza mdada leo, kesho anakuomba hela, usipompa mahusiano yanakufa, ukimpa hela mahusiano yanakua kama ofisi ya mikopo kila Wiki shida za hela haziishii, sasa na wanaume tulivo ukiwa na Wadada 3 wa hivyo muda si mrefu, utafilisika hadi utaishia kuomba kipande cha mkate.
Huu ushauri sio kwa Kila mtu, ila Mwanaume ukiona vipi, Mtu ukibanwa sana na hitaji la ngono, Unaenda kona baa u pay, and leave, Maana hakuna tofauti kati ya wadada wanaojiuza barabarani na hawa Wadada wa mtaani, Maana karibia wote wanajiuza Na karibia wote wanakupendea hela, wanaojiuza barabarani wako cheaper.
Mtaani unaacha kabisa kushobokea wadada, na kuwatongoza, the only time mwanaume unatakiwa utongoze ni pale unapojiridhisha kua huyu mdada anahitaji nimridhishe kingono. Coz amekutega.
Angalizo: UKIMWI upo tumia condom, kwa wale wafia dini wanaosema ukilala na makahaba unajiletea mikosi, hata hawa mademu wa mtaa Tunaosex nao, pia wana mikosi, ikishindikana vyote kaa kwa password.
Kweli kabsa hata wenye viofisi mshenzi hasa wa mpesa/tigopesa nk, mdada ana mpesa ya laki 5 eti ndio inamfanya aishi mjini.Emwaaaaaaa wanawake wengi wanajiuza sema style na eneo la soko ndo tofauti...Tena wanatongoza kabisa.... Wale wa VICOBA
Hao ni wengi balaahHakuna na wanadanga kwa njia za kifala hata hao watumishi ,binafsi nimeoa ila mara moja moja wife anapotoka ,hua natamani kusafisha gango la moshi na ka mdeki kangu,
Kila dem unayemuandaa kwa mazingira ya kupiga shoo unakuta ni kituko kabisa hata kama ni mtumishi!
Niliandaa mazingira ya kumtaka dem flani ambaye ofisi zetu ni jirani kabisa ,siku mbili tu baada ya kupata namba zake mzinga wa kwanza nilipigwa kua nimuazime 20 ya kikoba eti atarudisha,nikapita kushoto
Nikamtega kua naomba leo nile kwako dinner ,jibu likawa napendelea kula msosi gani ,nikasema wowote ule,basi nikamwambia na niko tayari kuchangia huo msosi ili kama kuna mahitaji yanapungua basi ajazie,mzee niliambiwa nitoe 20k eti na imewekewa na maelekezo kabisa kuanzia nauli ya yeye kutoka job,kwenda sokoni na pia kurudi home na vitu kibao kabisa .
Kufupisha story nilichomoa nikaenda kula mdudu nusu kilo huku ni buku3,ndizi za buku na bia nne na chenji ikabaki.
Asubuh iliofuata naambiwa plz naomba unisaidie vocha ya buku kuna kazi naifanya ila bando ya ofisi imekata nikapita kushoto pia ,jana ndio kafunguka eti hua nakuomba hizo pesa za vocha nikaangalie kulfi youtube kwani sina king'amuzi kwangu.
Kiufupi huyu ni mchunaj kwa njia zilizo unofficial ila analindwa na kivuli cha kazi ,heri ninunue malaya anayejiuza najilia vyangu najua kabisa kua huduma ni ya masaa, siku au laah .
Hawa madem nitakua nawatizama tu chenga san