Ushauri wangu kwa vijana wa kidato cha 6 na wengine wote ambao bado hawajafikia elimu ya Chuo Kikuu

Naomba niruhusu nikuulize kitu kuhusu plumbing nione kama kweli unaijua
 
Distance kati ya hizo elbow 2 hapo inatakiwa iwe ngapi? Kwenye hizo bomba za ppr

Na distance kutoka chini hadi kwenye hizo elbow inatakiwa kuwa ngapi?
View attachment 2686943
Yaan Mzee hadi umeenda kudesa ndio umekuja na swali ? Wewe kwa kukadiria hapo unaona distance ipoje ? Maana ili nipime hapo inabidi niwe hapo napima vipi kwa picha ya simu ? Ndio maana nimekwambia uliza swali la kiutendaji sio theory uliza practical questions mfano nikifunga bomba nafunga likiwa kavu au natumia tape je rubber iliyopo kwenye connector naiondoa au naifanyia nini naiweka au naiondoa ? Naunganisha vipi bomba lililopasuka n so forth, uliza maswali km hayo ya kiutendaji sasa unaniambia hapo nipime kwa makadirio si ntaonekana fundi kilaza
✍️
 
Hakuna ambacho hakina umuhimu Mimi nawachora tu hapa usiseme eti degree haina umuhimu inategemea umesoma degree ya nini, kasomee degree ya uMC upige Pesa km Gara B finish
✍️

GARAB mwenyewe hana degree yeyote.

Kasoma zake kigurunyembe teachers college diploma ya education.

U Mc ni mdomo wako tu. DR CHENI nae MC mkubwa na hana degree yoyote
 
Vipimo kati ya elbow moja na nyingine hapo ni universal havibadiliki.

Hiyo ni shower hapo kuna elbow ya maji moto naya maji baridi. Kikawaida kutoka centre ya elbow moja hadi nyingine ni 15 cm kokote uendapo duniani haibadiliki
 
Kiongozi umenena ILA bado Elimu ya CHUO KIKUU ina UMUHIMU tena mkubwa kwa kuwa itampa maarifa na upeo mkubwa zaidi,hivyo acha vijana waende vyuo vikuu ILA wakimaliza waende vyuo mbali mbali kuongeza uzito zaidi..wale watakao weza kwenda VETA sawa,wale wa Law school sawa,wale wa NBAA/ACCA sawa wale wa CISCO sawa..ili mradi waongeze ujuzi zaidi..
 
Watu kukosa ajira sio kigezo cha elimu kutokuwa na manufaa.Elimu ya Tanzania kutokuwa na manufaa kwa kutoa ajira kunatokana na Sera mbovu za Serikali na CCM yake.

Everything start with theories,intuitions bila hizo hata hiyo elimu ya VETA haina maana,kwa kuwa VETA ni application ya hizo theories na mawazo.
 
Walimu was diploma wapewe maua yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…