Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Wewe unadhani hii App ya JF unayoingia na Ku comment imetengenezwa na form 4 au form 6 au sio??Degree inategemea ni ya fani gani!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unadhani hii App ya JF unayoingia na Ku comment imetengenezwa na form 4 au form 6 au sio??Degree inategemea ni ya fani gani!!
Swali zuri kimkakatiWewe unadhani hii App ya JF unayoingia na Ku comment imetengenezwa na form 4 au form 6 au sio??
Muheshimiane mkuu itapendezaNdio Mimi mwenye degree mtu wa VETA aniheshimu na mtu wa VETA abaki na heshima yako
✍️
Inategemea umesoma degree ya nini aliesoma engineering hasomi theory tupu lazima atachezea mitamboHivi hawawezi ku incorporate hio elimu ya degree iwe na ujuzi ndani yake, mtu wa degree akimaliza aweze kujiajiri?
Tunaheshimiana of course mkuu,Muheshimiane mkuu itapendeza
Ulianza vibaya ila umemaliza vizuri Big up Madogo wajue ADVANCE NI KUPOTEZA MUDA TUU😅😅Ushauri wangu kwa vijana wa form 6 na wengine wote ambao bado hawajafikia elimu ya chuo kikuu.
Tanzania ya sasa haihitaji Degree, zimeshakuwa nyingi sana mtaani mpaka copy za vyeti zinafungiwa vitumbua. Yaani degree ni luxury sio hitaji muhimu.
Wanakariri Sana hawaYaan Mzee hadi umeenda kudesa ndio umekuja na swali ? Wewe kwa kukadiria hapo unaona distance ipoje ? Maana ili nipime hapo inabidi niwe hapo napima vipi kwa picha ya simu ? Ndio maana nimekwambia uliza swali la kiutendaji sio theory uliza practical questions mfano nikifunga bomba nafunga likiwa kavu au natumia tape je rubber iliyopo kwenye connector naiondoa au naifanyia nini naiweka au naiondoa ? Naunganisha vipi bomba lililopasuka n so forth, uliza maswali km hayo ya kiutendaji sasa unaniambia hapo nipime kwa makadirio si ntaonekana fundi kilaza
[emoji3578]
Kwa mfano aliyesomea civil engineering ukimwambia ashike mwiko na konobao au achanganye udongo wa kujengea hawezi ila ukimpa kazi ya kusimamia na kutoa maelekezo yuko vizuri, hapo sasa ndipo wanahitajika mafundi ujenzi wa VETAInategemea umesoma degree ya nini aliesoma engineering hasomi theory tupu lazima atachezea mitambo
Itoshe kusema kwa baadhi ya courses kwenda university ni muhimu….Inategemea umesoma degree ya nini aliesoma engineering hasomi theory tupu lazima atachezea mitambo
Yes wale jamaa naona wanafundishwa mamichoro tu mara nyingi wanacheza na program za computer kuchora ramani za nyumba huo mda wa kushika konobao sijui koleo mwiko atautoa wapi?Kwa mfano aliyesomea civil engineering ukimwambia ashike mwiko na konobao au achanganye udongo wa kujengea hawezi ila ukimpa kazi ya kusimamia na kutoa maelekezo yuko vizuri, hapo sasa ndipo anahitajika fundi ujenzi wa VETA
Sasa umkute mtaalam wa civil engineering kutoka nje atashika mwiko,ata operate machine yoyoteKwa mfano aliyesomea civil engineering ukimwambia ashike mwiko na konobao au achanganye udongo wa kujengea hawezi ila ukimpa kazi ya kusimamia na kutoa maelekezo yuko vizuri, hapo sasa ndipo anahitajika fundi ujenzi wa VETA
Vijana wanataka kusimamia tu na kukagua hata kuchafuka hawatakiSasa umkute mtaalam wa civil engineering kutoka nje atashika mwiko,ata operate machine yoyote
Ila waandisi wa zamani tz walikuwa vuzuri kote kote sema kizaz kile kama kimepotea
Ova
Ndio maana nikakwambia inategemea na course nimekwambia hakuna mtu anaesomea degree mfano aliehitimu pale DIT amesomea masuala ya engineering asiejua kutumia mitambo practically kwa hio mafunzo kwa vitendo yako sasa sijajua unataka yawejeItoshe kusema kwa baadhi ya courses kwenda university ni muhimu….
Ila nilichokua namaanisha kungekuwa na muda mchache unatengwa kwa ajili ya courses za ufundi, similar courses zinazotolewa VETA, wanafunzi wanaopenda wasome bila kuathiri degree wanazozisomea...wakimaliza degree zao at the same time wana ufundi fulani, sio kumwambia mtu asome degree then aende VETA wastage of time, wakati vinaweza kujumlishwa vyote kwenye muda wa kusomea degree au ni mambo mengi kwa mwanafunzi???????????????
Nimekuelewa mkuu,ila mimi nilikua nasemea sio hizo courses zenye practical ndani yake ambapo ukimaliza unaweza ukafanya chochote,mimi nilikua nasemea courses kama sociology,huwezi kujiajiri, kwa watu kama hawa kungekuwa na kama supplementary classes kwa wanaopenda wasome ufundi wakati wanasoma degree zao, ufundi ni hizo courses zinazotolewa na VETA ndizo zijumuishwe UNIVERSITY, i believe ukitengwa muda mchache wa masomo ya ufundi kwa muda wa miaka mitatu au minne ya degree zao hawatatoka watupu. Sio sawa kama umalize degree ndio uende VETA wakati unaweza kusomea hio VETA wakati unasomea degree yako. Sio muandishi mzuri sijui umenielewa....Ndio maana nikakwambia inategemea na course nimekwambia hakuna mtu anaesomea degree mfano aliehitimu pale DIT amesomea masuala ya engineering asiejua kutumia mitambo practically kwa hio mafunzo kwa vitendo yako sasa sijajua unataka yaweje
Nimekuelewa hicho kitu nahisi kinaitwa selective subjects yaan ni masomo ya practical ambayo unachagua moja unajifunza ili likusaidie huko mbele hicho ndicho unachokisema?Nimekuelewa mkuu,ila mimi nilikua nasemea sio hizo courses zenye practical ndani yake ambapo ukimaliza unaweza ukafanya chochote,mimi nilikua nasemea courses kama sociology,huwezi kujiajiri, kwa watu kama hawa kungekuwa na kama supplementary classes kwa wanaopenda wasome ufundi wakati wanasoma degree zao, ufundi ni hizo courses zinazotolewa na VETA ndizo zijumuishwe UNIVERSITY, i believe ukitengwa muda mchache wa masomo ya ufundi kwa muda wa miaka mitatu au minne ya degree zao hawatatoka watupu. Sio sawa kama umalize degree ndio uende VETA wakati unaweza kusomea hio VETA wakati unasomea degree yako. Sio muandishi mzuri sijui umenielewa....
Yes ndicho ninachokisema, lakini hayo masomo ya kukusaidia mbeleni ndio hayo yawe ya ufundi wa VETA iwe option lakini kwa wanafunzi wanaopenda.Nimekuelewa hicho kitu nahisi kinaitwa selective subjects yaan ni masomo ya practical ambayo unachagua moja unajifunza ili likusaidie huko mbele hicho ndicho unachokisema?
✍️
Sasa hapo itategemea na maamuzi ya wizara husika ingawa sio suala baya ingawa linahitaji mchakato wa mda,Yes ndicho ninachokisema, lakini hayo masomo ya kukusaidia mbeleni ndio hayo yawe ya ufundi wa VETA iwe option lakini kwa wanafunzi wanaopenda.