Ushauri wangu kwa vijana wa kidato cha 6 na wengine wote ambao bado hawajafikia elimu ya Chuo Kikuu


Stadi za maisha na kubobea kwenye kile mtu anachoamua kuchukua. Kama kuna global certification courses go for them. The certificate will isolate you in the crowd, as an expert in the subject matter.
Mitandao, imefanya mambo mengi kuwa rahisi. Sio lazima uwe professor kuwa mbobezi wa aina fulani ya utaalamu
 
Hivi hawawezi ku incorporate hio elimu ya degree iwe na ujuzi ndani yake, mtu wa degree akimaliza aweze kujiajiri?
Hichi ndio kinachofanyika kwa wenzetu... US, UK and the like. Elimu yetu inaonekana haina maana kwasababu mitaala yetu imefeli kwenye hicho ulicho kisema.

Ilitakiwa kinachofanyika veta kifanyike na kwenye elimu ya juu pia kwa ku_incorporate mitaala ya veta kwenye elimu ya juu.
 
Kama issues ni ajira tu na kupata hela ya kula wambie waingie kwenye bodaboda maana unajifunza siku mbili ya tatu unakula vichwa road ila kama ni elimu waende chuo kikuu wakapate maarifa na wafikilie mafanikio makubwa zaidi sio kuwa fundi michudu
 
Tatizo fikra Zako zinawaza kuajiriwa tu.. focus ya elimu ya chuo ni kukujenga kifikra. Ndo maana utakuta wahindi au waarabu wanasomesha watoto wao hadi university Kwa lengo la kurudi kusimamia biashar Zao..
Tatizo Hawa wanawaza kupata hela ya kula na sio maarifa hata vijana wa kinigeria wangekuwa wanafikiri kama Hawa jamaa wasingeingia kwenye nchi za watu Sasa sijui Kila mtu akiwa fundi mchundo itakuaje
 
GARAB mwenyewe hana degree yeyote.

Kasoma zake kigurunyembe teachers college diploma ya education.

U Mc ni mdomo wako tu. DR CHENI nae MC mkubwa na hana degree yoyote
Nasikia kuna Chuo cha uMC kimefunguliwa Mwanza wanafunzi wa awamu ya kwanza yaani first intake watasoma bure na wanagharamiwa kila kitu bure, fursa kwa vijana
✍️
 
Asante sana boss kwa kutufumbua macho
 
PMC
 
Ndo imetoa 4m 6 ya kwanzaa mwaka huu
Ndio.
Nasikia wanajifunza vitu konki, as if wako chuo sema tatizo tu muda mchache 2 years kuvi-catch vyote inahitaji mtu eidha awe na IQ kubwa au asiwe na mambo mengi.

Ile naiona kama PGM iliochangamka. Ila ni combi nzuri sana hasahasa mtu akimaliza form 6 akiwa konki.
 
Pongezi kwao, wa kwenda IT watakua wana slides na madesa tyuuh
 
Hii thread ni relevant sana Kwa Mazingira tunayopita nchini. White color job kupungua na umasikini wa kipato kuongezeka.

Hivyo lazima kuwa adaptive and strategic. Hii habari ya kusoma bila muongozo maalumu unataka nini maishani umepitwa na wakati.

Mazingira yanataka creative, multitask and skillful minds. Kupata sifa hizo lazima utumie pesa Kwa umakini, hasa vijana wanaotoka familia masikini.

Mfumo wa elimu tulioruthi Kwa mkoloni Kwa Mazingira ya kitanzania haiaksi uliasia wa maisha ya mtaani. Unawaweka vijana busy kusikiliza wakufunzi na kufanya mitihani ila unakosa muda wa kujenga ujuzi tangible. Silly syllabus. Hivyo Kuna ulazima wa kubadirika.

Serikali inajivuta sana kwenye kushughulika na sera ya elimu na namna ya kuboresha ubora . Hivyo wadau na mtu mmoja mmoja lazima kuanza kuchukua hatua.

Mleta mada katuo generic blue print inayotokana na practical life . Na ushauri unaaksi Mazingira tuliyonayo nchini. Inahuzunisha wazazi na walezi masikini kutumia pesa nyingi kuandaa watoto ambao end of the day are useless.

Mbaya zaidi elimu ya chuo inawafanya vijana kupoteza maadili, na hivyo kuchochea upungufu wa thamani ya elimu ya chuo. Ni laana kubwa kuwa na vijana wanaojiita wasomi, ila hawana ujuzi na maadili. vijana wa hivyo hawafai Kwa lolote. Ni huzuni na frustration Kwa wazazi na walezi.
 
Kuna sehemu vyeti.vinahitajika acha uongo
Mfano unaweza panda ndege ambayo rubani hana vyeti? Au waweza kubali.kutibiwa na daktari asiye.na vyeti?
Mkuu hio ni asilimia ndogo Sana labda ukute mzazi au ndugu mlamba asali ya taifa akuunganishe na hio sehemu wanayotaka degree

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Pesa ndiyo elimu.

Huna pesa huna elimu.
Binafsi nashukuru sana Mungu kunipa ujasiri waakuacha chuo semister ya pili mwaka wa tatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…