Ushawahi zimikiwa na jiko la gesi ukiwa unapika?

Hcho kifaa (regulator) ulinunua sh ngapi
 
kinapatikana wapi??
Kwa aina hii ya regulator nenda kariakoo pale shimoni. Na kwenye maduka ya wahindi wanapouza hizi jiko za plate mbili na kadhalika wanakuwa nazo kuna fake lakini so kuwa makini sana.
 
Unasema hupiki mara nyingi, huwa unakula nini?
 
Mie mara nyingi tu.

Ila mara nyingi nakuwa nishajipanga maana huwa naihesabia tarehe. Na ikiwa mambo hayako vizuri kununua mtungi mwengine naponea kwenye electricity cooker. Ila siku hio mapishi huwa mwepesi......like chips na mayai tu baas
 

Nina Mkubwa na mdogo
Ila yote ikiwa na gas natumia yote
Huku mboga kule chai [emoji23][emoji23]

Nimeona nisijaze tu
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…