Ushindi wa Trump ni habari mbaya kwa Tanzania na serikali ya CCM

Ushindi wa Trump ni habari mbaya kwa Tanzania na serikali ya CCM

tpaul

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
24,225
Reaction score
22,632
Ijapokuwa Rais Samia atamtumia Rais Trump salamu za pongezi kinafiki, ushindi wa Trump ni mwiba mkali kwa serikali ya Tanzania na CCM.
1000137008.jpg

Sote tunafahamu kuwa serikali ya CCM inapenda misaada na mikopo kutoka Marekani na nchi nyingine tajiri za dunia na kisha kuitumia misaada hiyo kwa manufaa ya machawa na wachumiatumbo wachache.

Sasa kwa kuwa Trump kaingia madarakani, CCM na serikali yake pamoja na machawa wanaopenda pesa za ubwete, wajiandae kufa njaa. Kwa kawaida Trump hashughuliki na ustawi wa nchi nyingine, hasa nchi za Afrika zinazonuka rushwa, ufisadi na uchawa.

MAONI YANGU
Nawapongeza sana wamarekani kwa kumrejesha Trump madarakani ili asaidie kuwanyoosha hawa akina Matonya wanaotandaranda huko na huko kutafuta misaada ili kujaza matumbo yao mapana yasiyoshiba. Sasa tutaelewana tu. Trump endelea kukaza hivyo hivyo hadi kieleweke. Maji mtayaita mma nyie ombaomba msiokuwa na haya. Trump mwaga mboga tukose wote. Machawa wote mnaotusumbua nchi hii, kiyama chenu kimewadia.
 
Ijapokuwa Rais Samia atamtumia Rais Trump salamu za pongezi kinafiki, ushindi wa Trump ni mwiba mkali kwa serikali ya Tanzania na CCM.

Sote tunafahamu kuwa serikali ya CCM inapenda misaada na mikopo kutoka Marekani na nchi nyingine tajiri za dunia na kuitumia misaada hiyo kwa manufaa ya machawa na wachumiatumbo wachache. Sasa kwa kuwa Trump kaingia madarakani, CCM na serikali yake pamoja na machawa wanaopenda pesa za ubwete, wajiandae kufa njaa. Ifahamike kwamba Trump hashughuliki na ustawi wa nchi nyingine, hasa nchi za Afrika zinazonuka rushwa, ufisadi na uchawa.

MAONI YANGU
Nawapongeza sana wamarekani kwa kumrejesha Trump madarakani ili asaidie kuwanyoosha hawa akina Matonya wanaotandaranda huko na huko kutafuta misaada ili kujazia matumbo yao mapana yasiyoshiba. Sasa tutaelewana tu. Trump endelea kukaza hivyo hivyo hadi kieleweke. Maji mtayaita mma nyie ombaomba msiokuwa na haya. Trump mwaga mboga tukose wote. Machawa wote mnaotusumbua nchi hii, kiyama chenu kimewadia.
Alishasema kuwa Tanzania ni mojawapo ya zile alizosema ni shithole.
 
Siku hizi kila kitu simu..

Masuala ya Benki - Simu

Ulipaji Kodi - Simu
Kufuatilia Uhalifu - Simu
Kufuatilia Mahusiano - Simu
Utoaji Maoni Dira Ya Taifa - Simu

Mwaka 2025 tutashuudia mageuzi makubwa ya upigwaji wa kura ambapo mpigaji kura atatumia simu yake ya mkononi kupiga simu Hasa ukizingatia wanaomiliki simu wapo zaidi ya milioni 53.1.


Hakika Ndani Ya Siku 3 Matokeo Ya Uraisi Yatakuwa Yameshatangazwa.
1730890622673.png
 
Siku hizi kila kitu simu..

Masuala ya Benki - Simu

Ulipaji Kodi - Simu
Kufuatilia Uhalifu - Simu
Kufuatilia Mahusiano - Simu
Utoaji Maoni Dira Ya Taifa - Simu

Mwaka 2025 tutashuudia mageuzi makubwa ya upigwaji wa kura ambapo mpigaji kura atatumia simu yake ya mkononi kupiga simu Hasa ukizingatia wanaomiliki simu wapo zaidi ya milioni 53.1.


Hakika Ndani Ya Siku 3 Matokeo Ya Uraisi Yatakuwa Yameshatangazwa.
1730890675464.png
 
Siku hizi kila kitu simu..

Masuala ya Benki - Simu

Ulipaji Kodi - Simu
Kufuatilia Uhalifu - Simu
Kufuatilia Mahusiano - Simu
Utoaji Maoni Dira Ya Taifa - Simu

Mwaka 2025 tutashuudia mageuzi makubwa ya upigwaji wa kura ambapo mpigaji kura atatumia simu yake ya mkononi kupiga simu Hasa ukizingatia wanaomiliki simu wapo zaidi ya milioni 53.1.


Hakika Ndani Ya Siku 3 Matokeo Ya Uraisi Yatakuwa Yameshatangazwa.
1730890722194.png
 
Ijapokuwa Rais Samia atamtumia Rais Trump salamu za pongezi kinafiki, ushindi wa Trump ni mwiba mkali kwa serikali ya Tanzania na CCM.
View attachment 3145176
Sote tunafahamu kuwa serikali ya CCM inapenda misaada na mikopo kutoka Marekani na nchi nyingine tajiri za dunia na kisha kuitumia misaada hiyo kwa manufaa ya machawa na wachumiatumbo wachache.

Sasa kwa kuwa Trump kaingia madarakani, CCM na serikali yake pamoja na machawa wanaopenda pesa za ubwete, wajiandae kufa njaa. Kwa kawaida Trump hashughuliki na ustawi wa nchi nyingine, hasa nchi za Afrika zinazonuka rushwa, ufisadi na uchawa.

MAONI YANGU
Nawapongeza sana wamarekani kwa kumrejesha Trump madarakani ili asaidie kuwanyoosha hawa akina Matonya wanaotandaranda huko na huko kutafuta misaada ili kujazia matumbo yao mapana yasiyoshiba. Sasa tutaelewana tu. Trump endelea kukaza hivyo hivyo hadi kieleweke. Maji mtayaita mma nyie ombaomba msiokuwa na haya. Trump mwaga mboga tukose wote. Machawa wote mnaotusumbua nchi hii, kiyama chenu kimewadia.
Sasa maCCM yajiandae kula ma.vi. Hakuna pesa za bure!
 
Nasapoti Trump kuinyima Tanzania misaada, maana wezi na walafi wa madaraka huitumia kwa manufaa yao binafsi. Ccm ikikosa misaada humu ndani, njaa kali itasababisha hadi chawa wa kijani kuona umuhimu wa KATIBA MPYA.
Safari hii njaaa zitawaua machawa na mafisadi
 
Back
Top Bottom