Labda nikuulize wwUshoga mbunge mmoja alisema hata hungeni wapo. Je walioko bungeni ni akina nani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda nikuulize wwUshoga mbunge mmoja alisema hata hungeni wapo. Je walioko bungeni ni akina nani.
Endelea kuotaSiku hizi kila kitu simu..
Masuala ya Benki - Simu
Ulipaji Kodi - Simu
Kufuatilia Uhalifu - Simu
Kufuatilia Mahusiano - Simu
Utoaji Maoni Dira Ya Taifa - Simu
Mwaka 2025 tutashuudia mageuzi makubwa ya upigwaji wa kura ambapo mpigaji kura atatumia simu yake ya mkononi kupiga simu Hasa ukizingatia wanaomiliki simu wapo zaidi ya milioni 53.1.
Hakika Ndani Ya Siku 3 Matokeo Ya Uraisi Yatakuwa Yameshatangazwa.
View attachment 3145189
Basi habari ndio hiyoLabda nikuulize ww
Toto la 2000 naona umeandika baada ya kushiba wali maharage hapo kwenu. Marekani inazihitaji nchi za Afrika kuliko unavyodhani. Tanzania, DRC, Zambia, Ghana na nchi zingine zilizobarikiwa madini ni hot cakes. Ukikua utaelewa haya mambo.Ijapokuwa Rais Samia atamtumia Rais Trump salamu za pongezi kinafiki, ushindi wa Trump ni mwiba mkali kwa serikali ya Tanzania na CCM.
View attachment 3145176
Sote tunafahamu kuwa serikali ya CCM inapenda misaada na mikopo kutoka Marekani na nchi nyingine tajiri za dunia na kisha kuitumia misaada hiyo kwa manufaa ya machawa na wachumiatumbo wachache.
Sasa kwa kuwa Trump kaingia madarakani, CCM na serikali yake pamoja na machawa wanaopenda pesa za ubwete, wajiandae kufa njaa. Kwa kawaida Trump hashughuliki na ustawi wa nchi nyingine, hasa nchi za Afrika zinazonuka rushwa, ufisadi na uchawa.
MAONI YANGU
Nawapongeza sana wamarekani kwa kumrejesha Trump madarakani ili asaidie kuwanyoosha hawa akina Matonya wanaotandaranda huko na huko kutafuta misaada ili kujazia matumbo yao mapana yasiyoshiba. Sasa tutaelewana tu. Trump endelea kukaza hivyo hivyo hadi kieleweke. Maji mtayaita mma nyie ombaomba msiokuwa na haya. Trump mwaga mboga tukose wote. Machawa wote mnaotusumbua nchi hii, kiyama chenu kimewadia.
Subiri uone.Toto la ngapi 2000 naona umeandika baada ya kushiba wali maharage hapo kwenu. Marekani inazihitaji nchi za Afrika kuliko unavyodhani. Tanzania, DRC, Zambia, Ghana na nchi zingine zilizobarikiwa madini ni hot cakes. Ukikua utaelewa haya mambo.
Ni hv ndg hebu tuachane na hayo kwanza kwa leo ila mm naona vyama vya upinzani bado sana kwa sasa maana wanayoyapigia kelele wao kwao ndo changamoto sugu!Basi habari ndio hiyo
Upinzani uko imara kuliko ccm usiwe na wasi wasi.Ni hv ndg hebu tuachane na hayo kwanza kwa leo ila mm naona vyama vya upinzani bado sana kwa sasa maana wanayoyapigia kelele wao kwao ndo changamoto sugu!
teheteheeeeUpinzani uko imara kuliko ccm usiwe na wasi wasi.
Ccm nguvu yake tunaijua ilipo. Ni kamba nyembamba sana.teheteheeee
Nimefurahi yaan kwetu tusifanye makosa kwa kweli, kama taifa kubwa namna ile limeshindwa kumchagua mwanamke kuongoza taifa sisi ni kina nani jaman tumchague mama fulaniIjapokuwa Rais Samia atamtumia Rais Trump salamu za pongezi kinafiki, ushindi wa Trump ni mwiba mkali kwa serikali ya Tanzania na CCM.
View attachment 3145176
Sote tunafahamu kuwa serikali ya CCM inapenda misaada na mikopo kutoka Marekani na nchi nyingine tajiri za dunia na kisha kuitumia misaada hiyo kwa manufaa ya machawa na wachumiatumbo wachache.
Sasa kwa kuwa Trump kaingia madarakani, CCM na serikali yake pamoja na machawa wanaopenda pesa za ubwete, wajiandae kufa njaa. Kwa kawaida Trump hashughuliki na ustawi wa nchi nyingine, hasa nchi za Afrika zinazonuka rushwa, ufisadi na uchawa.
MAONI YANGU
Nawapongeza sana wamarekani kwa kumrejesha Trump madarakani ili asaidie kuwanyoosha hawa akina Matonya wanaotandaranda huko na huko kutafuta misaada ili kujazia matumbo yao mapana yasiyoshiba. Sasa tutaelewana tu. Trump endelea kukaza hivyo hivyo hadi kieleweke. Maji mtayaita mma nyie ombaomba msiokuwa na haya. Trump mwaga mboga tukose wote. Machawa wote mnaotusumbua nchi hii, kiyama chenu kimewadia.
Haturudii kosa. Deep state watuelewe tuNimefurahi yaan kwetu tusifanye makosa kwa kweli, kama taifa kubwa namna ile limeshindwa kumchagua mwanamke kuongoza taifa sisi ni kina nani jaman tumchague mama fulani
Kivipi mkuu? Hebu fafanua kwanza.Toto la 2000 naona umeandika baada ya kushiba wali maharage hapo kwenu. Marekani inazihitaji nchi za Afrika kuliko unavyodhani. Tanzania, DRC, Zambia, Ghana na nchi zingine zilizobarikiwa madini ni hot cakes. Ukikua utaelewa haya mambo.
Kwa kweli rafiki, nitatumia nguvu yangu ya ushawishi hasa vijijiniHaturudii kosa. Deep state watuelewe tu
Mike Pompoe anarudi mzigoni kiama cha watekajiBashite sasa hivi anatia huruma sana....ni kama mtoto yatima aisee!!
Habari njema sana hiiIjapokuwa Rais Samia atamtumia Rais Trump salamu za pongezi kinafiki, ushindi wa Trump ni mwiba mkali kwa serikali ya Tanzania na CCM.
View attachment 3145176
Sote tunafahamu kuwa serikali ya CCM inapenda misaada na mikopo kutoka Marekani na nchi nyingine tajiri za dunia na kisha kuitumia misaada hiyo kwa manufaa ya machawa na wachumiatumbo wachache.
Sasa kwa kuwa Trump kaingia madarakani, CCM na serikali yake pamoja na machawa wanaopenda pesa za ubwete, wajiandae kufa njaa. Kwa kawaida Trump hashughuliki na ustawi wa nchi nyingine, hasa nchi za Afrika zinazonuka rushwa, ufisadi na uchawa.
MAONI YANGU
Nawapongeza sana wamarekani kwa kumrejesha Trump madarakani ili asaidie kuwanyoosha hawa akina Matonya wanaotandaranda huko na huko kutafuta misaada ili kujazia matumbo yao mapana yasiyoshiba. Sasa tutaelewana tu. Trump endelea kukaza hivyo hivyo hadi kieleweke. Maji mtayaita mma nyie ombaomba msiokuwa na haya. Trump mwaga mboga tukose wote. Machawa wote mnaotusumbua nchi hii, kiyama chenu kimewadia.
rasmi sasa wachina wanakuwa wamachinga kariakooCCM ni CHAMA KUBWA duniani.
Watekaji na wauaji wa Watanzania bila kufuata sheria wajiandae kisaikolojiaMike Pompoe anarudi mzigoni kiama cha watekaji