kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Maana karibia kila tukio la namna hii kigomaInaonekana Kuna jambo lisilo la kawaida Kigoma.
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana karibia kila tukio la namna hii kigomaInaonekana Kuna jambo lisilo la kawaida Kigoma.
Inaelekea uchawi hauendi kwa fisadi. Fisadi lazima awe yuko fiti ndio maana wakina msukuma wanalia bungeni kwa uchungu wakitoks wanasahau kumshughulikia fisadi hayo yanapita wanasubiri kulia tena bunge lijaloDaaaa! Tanzania hii jaman? Yaan wanaroga wasio na hatia badala ya kuroga matapeli na mafisadi ya chama cha maigizo (CCM)
Kama nini?Sasa hapa unabisha nini?
Kwani uchawi uko wapi?Kuna jinga moja litasema uchawi hakuna...
Kuna vitu hata sayansi imeshindwa kuthibitisha uwepo wake. mfano kuna kitu kinaitwa black matter, hakionekani hakithibitishiki lakini dalilu zinaonyesha kuwa kipo na ndio kinachangua sehemu kubwa uzito wa universe.Thibitisha kama ni kweli.
Kuna vitu hata sayansi imeshindwa kuthibitisha uwepo wake. mfano kuna kitu kinaitwa black matter, hakionekani hakithibitishiki lakini dalilu zinaonyesha kuwa kipo na ndio kinachangua sehemu kubwa uzito wa universe.
Kuna pia sayari ya tisa. Miaka na miaka tangu enzi inaaminika ipo, hadi brhavior ya gravitation force eneo fulani linaonyesha itakuwepo lakini hakuna ambaye amethibitisha uwepo wake wala kuiona japo watu kibao wamejaribu.
Huenda njia za uthibitishaji haziko sahihi kama ambavyo njia za kuthubitisha uchawi huwezi kutumia vifaa vya sayansi ya kawaida maana haufanyi kazi kama sayansi ya kawaida.
Kwa kigoma sishangai mbona hata huyu naniliu alirest in peace ila juzi kaibuka...ndio zao watu wa kigoma[emoji125]
Sijakuelewa kabisa. Uliandika ukowa umelewa nini?Kuna vitu hata sayansi imeshindwa kuthibitisha uwepo wake. mfano kuna kitu kinaitwa black matter, hakionekani hakithibitishiki lakini dalilu zinaonyesha kuwa kipo na ndio kinachangua sehemu kubwa uzito wa universe.
Kuna pia sayari ya tisa. Miaka na miaka tangu enzi inaaminika ipo, hadi brhavior ya gravitation force eneo fulani linaonyesha itakuwepo lakini hakuna ambaye amethibitisha uwepo wake wala kuiona japo watu kibao wamejaribu.
Huenda njia za uthibitishaji haziko sahihi kama ambavyo njia za kuthubitisha uchawi huwezi kutumia vifaa vya sayansi ya kawaida maana haufanyi kazi kama sayansi ya kawaida.
Inawezekana pia maana walevi tunafahamiana hadi kwenye maandishiSijakuelewa kabisa. Uliandika ukowa umelewa nini?
Umewakosea heshima sana sumbawanga... Kigoma mbona bado wachumba sana kwa sumbawangaKigoma ndo inaongoza kwa uchawi
Umesahau shinyanga mwanza simiyuKigoma, rukwa iringa, Kuna ushirikina sana.
Ficha kidogo ujinga utanishukuruWapuuzi hao waongo na huyo anayetangaza hizo habari naye ni mpenda sifa tu anatafuta Views
Mbona kigoma wanafufuka sana lakiniKigoma, rukwa iringa, Kuna ushirikina sana.