I was observing only one acute angle of Western media "Tuanze na wewe
Unakubali mtu aliyekufa anaweza kufufuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I was observing only one acute angle of Western media "Tuanze na wewe
Unakubali mtu aliyekufa anaweza kufufuka?
Huko tumetokaI was observing only one acute angle of Western media "
Inawezekana sana tu. Uchawi upo na unatawala dunia.Huko tumetoka
Nahitaji kujua maoni yako kwenye hili
Haishangazi. Vp alipotea hapa mwezi mzima baadae akaibuka- ni mzaliwa wa Kigoma huyu.Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma limetoa ufafanuzi juu ya taarifa za Mwanamke mmoja wa miaka 40 Mkazi wa Kazegunga ambaye anadaiwa kuonekana November mwaka huu baada ya kufariki October 17,2018 wakati akijifungua Mtoto katika Hospitali ya Baptist iliyopo Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji na kuzikwa Kazegunga alipokua kaiishi.
Kamanda wa Polisi Mkoani Kigoma Filemon Makungu amesema kuna matukio mawili ya Watu ambao wameonekana wakiwa hai ingawa Familia wamesema walifariki “Matukio haya tumeyafatilia yote na inatakiwa kuthibitisha kisayansi tumeshapeleka vipimo kwa Mkemia Mkuu bado hatujaletewa majibu tukiletewa tutatoa maelezo yaliyokamilika lakini kwa matukio haya mawili bado upelelezi tunaendelea nao kujua kwa kina zaidi ili kujua ukweli wa yule aliyefariki na huyu aliyeokotwa akiwa hai”
Mwezi November mwaka huu Familia ilisema Mpendwa wao huyo alionekana katika eneo la Ilagala Wilayani Uvinza ambapo miezi 11 iliyopita tukio kama hili la Mtu kufariki kisha kuzikwa na kuonekana tena lilitokea Kijiji cha Kandaga Wilayani UVinza Mkoani Kigoma ambapo pia mazingira yake yanahusishwa na imani za kishirikina kutumika kupoteza Watu na kuonekana tena baada ya muda mrefu kupita.
AyoTV mpaka sasa imeshawahi kuripoti matukio matano kama haya ya kusemekana Mtu amefariki na kuzikwa na baadaye Ndugu kudai wamemuona tena Ndugu yako akiwa hai, matukio hayo yametokwa mwaka 2018 Kasulu, mwaka 2020 Kasulu, mwaka 2021 Kasulu, mwaka 2022 Uvinza na mwaka 2023 Kigoma DC.
#MillardAyoUPDATES
View attachment 2839832
Uchawi ni nini?Inawezekana sana tu. Uchawi upo na unatawala dunia.
Ni scienceUchawi ni nini?
Kwamba??Haishangazi. Vp alipotea hapa mwezi mzima baadae akaibuka- ni mzaliwa wa Kigoma huyu.
Fafanua basiHivi kiongozi yule huwa anasimama majukwaani kuwananga wanaoogopeka si anatokea huko? Kuna mwaka inasemekana aliwashughulikia greens kama wanne hivi
VipoMna vipimo vya kuthibitisha hiyo sayansi?
Walizika mgomba au gogo tu sio mtu.Kwangu binafsi nauona huu ni ushirikina, mtu azikwe na afukiwe kaburini kisha arudi mtaani kivipi?
Hata kama alikuwa kazikwa akiwa kwenye Comma na kuzinduka baada ya kuzikwa atakufa kwasababu atakosa hewa na chakula, pia ule udongo wanaoujaza juu hawezi kutumia mikono kujichimbia kwenda juu.
umeisaau MbeyaKigoma, rukwa iringa, Kuna ushirikina sana.
Sayansi gani?Ni science
Kuliko sumbawanga na tanga?Kigoma ndo inaongoza kwa uchawi
Plan philipsKwa kigoma sishangai mbona hata huyu naniliu alirest in peace ila juzi kaibuka...ndio zao watu wa kigoma🏃
MsukuleJeshi la Polisi Mkoani Kigoma limetoa ufafanuzi juu ya taarifa za Mwanamke mmoja wa miaka 40 Mkazi wa Kazegunga ambaye anadaiwa kuonekana November mwaka huu baada ya kufariki October 17,2018 wakati akijifungua Mtoto katika Hospitali ya Baptist iliyopo Halmashauri ya Manispaa Kigoma Ujiji na kuzikwa Kazegunga alipokua kaiishi.
Kamanda wa Polisi Mkoani Kigoma Filemon Makungu amesema kuna matukio mawili ya Watu ambao wameonekana wakiwa hai ingawa Familia wamesema walifariki “Matukio haya tumeyafatilia yote na inatakiwa kuthibitisha kisayansi tumeshapeleka vipimo kwa Mkemia Mkuu bado hatujaletewa majibu tukiletewa tutatoa maelezo yaliyokamilika lakini kwa matukio haya mawili bado upelelezi tunaendelea nao kujua kwa kina zaidi ili kujua ukweli wa yule aliyefariki na huyu aliyeokotwa akiwa hai”
Mwezi November mwaka huu Familia ilisema Mpendwa wao huyo alionekana katika eneo la Ilagala Wilayani Uvinza ambapo miezi 11 iliyopita tukio kama hili la Mtu kufariki kisha kuzikwa na kuonekana tena lilitokea Kijiji cha Kandaga Wilayani UVinza Mkoani Kigoma ambapo pia mazingira yake yanahusishwa na imani za kishirikina kutumika kupoteza Watu na kuonekana tena baada ya muda mrefu kupita.
AyoTV mpaka sasa imeshawahi kuripoti matukio matano kama haya ya kusemekana Mtu amefariki na kuzikwa na baadaye Ndugu kudai wamemuona tena Ndugu yako akiwa hai, matukio hayo yametokwa mwaka 2018 Kasulu, mwaka 2020 Kasulu, mwaka 2021 Kasulu, mwaka 2022 Uvinza na mwaka 2023 Kigoma DC.
#MillardAyoUPDATES
View attachment 2839832
Acha unaa, ulishiriki kumzika au kumfanyia postmortemUmri wako tafadhali kabla sijakujibu
Hakika.Alizikwa wapi? Nani alihudhuria mazishi yake? Msiba ulikua wapi? Waliaga mwili? Wameenda alipozikwa kujionea nini kinaendelea?
Story za Uchawi huwa na loopholes nyingi sana zinazohitaji common sense ndogo tu kung'amua ndo maana nasema wanaoamini Uchawi ni watu wajinga na maskini.