Ushoga katika taifa la Israeli

Exception doesn't make a Rule.
Ni clear ktk Abrahamic faith ushoga ni katazo.
Na Kuna logic behind ya Hilo katazo
 
Exception doesn't make a Rule.
Ni clear ktk Abrahamic faith ushoga ni katazo.
Na Kuna logic behind ya Hilo katazo
Nimebisha kwa sio katazo? Nimesema tu dunia yote hairevolve kw dini izo zenu either way kila mtu mzima na akili zake timamu atajijua na mwili wake; cjaja kubishana kuhusu ushoga nishachoka; nlikuwa najibu iyo kuisingizia Israel ushoga tu utadhan Uarabuni au Africa haupo.
 
Wayahudi wengi ni members wakubwa wa freemason na vyama vingi vya Siri.
Wayahudi ndio wanaoongoza kwa uchawi Duniani hakuna mchawi yeyeto Duniani hata wale wenye PhD ya uchawi, wayahudi Wana uchawi wao unaitwa kaabal.
Wanawake wa kiyahudi ndio wanawake Bora kwenye malezi ya watoto kuliko wote Duniani.
Hakuna Myahudi fukara Duniani.
Wayahudi hawamtambui Yesu
 
Kule ni kitovu
 
Nioneshe nchi moja ambayo dhambi hii haifanyiki,wa Israeli ni wanadamu kama wanadamu wengine wa huko uarabuni na ulaya wanaofanya dhambi mbaya ya ushoga, usitufanye wengine hatujui kinachoendelea nchi zingine.
Hata tanzania ushoga upo anachoongelea nchi kuhalalisha ushoga halafu unasahau maneno mnayoongea kila siku humu kuwa hao ni wateule wa mungu saa hz tena unatuambia wa israel ni watu tu km watu wengine inaamana wa israel kama mimi tu wa kwa mtogole uteule na utakatifu umewavua.
 
Basi tunaongea lugha Moja mkuu.
 
Ukiwa muislam sio kwamba uwachukie israel.. israel wanajitetea kwa kuwa hamas aliyatakaa acha yampate
 
Nimeamini wa Israel hawa si Original hawa ni planted kuna Documentary moja inaelezea waisrael original ni wa Afrika.....ukiona kabila lolote afrika wanafuga ng'ombe mbuzi na kondoo....hiyo ndiyo utambulisho wao.
 
Nimeamini wa Israel hawa si Original hawa ni planted kuna Documentary moja inaelezea waisrael original ni wa Afrika.....ukiona kabila lolote afrika wanafuga ng'ombe mbuzi na kondoo....hiyo ndiyo utambulisho wao.
Wana wa israel si walitoka egypt au hapo nini kigumuu...!! Sema hawakua weusiii[emoji1787]
 
Lini me nimesema Wayahudi wateule wa kitu chochote??๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ Hao ni bogus Christians wenu wa Bongo au US uko; me nimeapproach mada km ilivyo; plus wayahudi wengi duniani km wayahudi wa Israel are atheists au non religious wanafuata vitu vichache sana kw Torah km wakristo wa Ulaya; so obviously majority hawajioni ni chosen people by God km majority are atheists
 
Sasa tuanzishie mada ya ushoga kwa nchi za kiarabu, huku ukutumia mifano kifani kutoka maeneo kama Zanzibar na Mombasa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
upuzi upuuuzi mtupu!
hizi nyuzi za kijinga jinga tu makala marefu tasiyokuwa na faida yyt kila siku ni mastory za kishoga shoga tu mpk yanachosha sas.

Watu mnapenda sana kuzungumzia ushoga sijui mnaona raha gan kuleta haya madude ya ovyo ovyo.

mtoa mada yan umekurupuka tu umelicopy huko unakuja kulipaste tu en fanya kuzungumzia vitu vyenye tija sio huo usยฃNg*

Sent from my SM-J337W using JamiiForums mobile app
 
Kwema Wakuu!

Kwenye vita inayoendelea hapo Palestina, mimi nipo upande wa Palestina. Nipo upande huo kutokana na udanganyifu, dhulma, na ushetani unaofanywa na hao wajiitao Waisraeli ambao kimsingi sio Waisraeli halisi.
Uhalisi wa Waisraeli nje ya vinasaba vyao unatambulika kwa utamaduni wao.

Utamaduni wa waisraeli unajulikana na haitofautiani sana na utamaduni wa jamii za mataifa jirani ya hapohapo Mashariki ya kati, kuanzia uvaaji na ulaji pamoja na miiko ya ndoa. Wanafanana kwa asilimia kubwa.

Kama hao wanaojiita Waisraeli wangekuwa waisraeli kweli basi Mji wa Tel Aviv usingetangwazwa na kurasmishwa kuwa ni mji bora rafiki kwa Mashoga yaani Mji wa kishoga.

Utamaduni wa kiyahudi ni kosa la kuuawa ukikutwa unafanya uzinzi sembuse Ushoga ambapo ni kosa kubwa zaidi. Ushoga adhabu yake ni kifo kwa wayahudi halisi.

Wayahudi na Waisraeli walimkataa Yesu kutokana na Falsafa za Yesu ambazo baadhi zinapingana na utamaduni wa Kiyahudi ambao sheria kuu ni jino kwa jino.

Ukristo ni uzungu na hilo Wayahudi halisi wanalijua wazi. Na Uyahudi halisi ni kinyume na Ukristo ndio maana sehemu zote za Wazungu walipoenda Wayahudi waliteswa na kuuawa kwa sababu Wayahudi wa kweli hawatakubali Ukristo/Uzungu.

Waisraeli wa kweli walikatazwa kuoa na kuchangamana na mataifa mengine. Ili Wasijeabudu miungu ya kigeni na kufanya Shirki(kumshirikisha Mungu na viumbe wengine) lakini kufukuzwa kwa Wayahudi katika nchi yao na kwenda uhamishoni mataifa mbalimbali ikiwemo mataifa ya Mashariki ya Ulaya kulipelekea kuoa na kuolewa na mataifa hayo. Hali iliyopelekea kuzaa watoto Machotara na hata kukengeuka kabisa

Machotara wa kiyahudi wa Ulaya ndio Hao Ashkenazi ndio wanaoiharibu taswira na jina la Waisraeli halisi. Kwa sababu wanachanganya uzungu(ukristo) na Uyahudi (kama kisingizio).

Tamaduni za Wayahudi na Waarabu baada ya ujio wa Uislamu na Mitume ya kiyahudi wanaabudu katika Mungu mmoja asiye na mshirika.

Lakini Wayahudi bandia (waliopotoka) wanaabudu miungu wengi na kufanya Shirki kwa kumshirikisha Mungu na miungu wengine kupitia kile kiitwacho Utatu Mtakatifu ambapo kiasili uzungu(Warumi) ndio walioingiza mila yao hiyo kwenye dini yao ya Ukristo.

Watu wengi wasiojua mambo kwa undani huendeshwa na propaganda za uongo za Wazungu kupitia Waisraeli Bandia(ingawaje labda kidamu wanavinasaba na wayahudi kupitia baba au mama wa kiyahudi)
Uzungu(Ukristo) ndio unaowafanya Watu kushabikia maovu yanayofanywa na Waisraeli bandia hapo Palestina.

Mtu fulani atauliza, Waisraeli au Wayahudi Halisi wapo wapi? Jibu ni kuwa Wayahudi halisi wapo hapohapo Palestina na wengine nchi mashariki ya kati, Afrika ya kaskazini na wengine wapo duniani.

Lakini uongozi na utawala uliopo sasa asilimia kubwa imeshikwa na Wayahudi Bandia hasahasa Ashkenazi ambao wamepotoka(wanauzungu mwingi).

Kwani kuwa mzungu ni kupotoka?

Kwa asilimia kubwa kuwa mzungu ni kupotoka kwa sababu uzungu unahusu zaidi Uhuru wa kujiamulia mambo hata kama ni kinyume na maumbile au na asili.

Ingawaje wapo wazungu wenye tabia njema yaani wazungu wasio na uzungu.

Palestina inahitaji Msaada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ