Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
Kama kuna binti wa miaka 19-22 anicheki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheikh ndo kusema mjini msingi kiunoMishangazi ina faida nyingi ikikupenda,,pambana chief unaweza toka mrithi🤣🤣
Kuna watu wanavimba kwenye ndinga kali kwa msingi huo huoSheikh ndo kusema mjini msingi kiuno
Kwenye thread hizi mbili hapa chini, inaonesha JF ni kimbilio, na ni sehemu ya kwanza iliyo sahihi,Ukiwa unatafuta chochote ambacho ni sensitive Kwenye maisha yako fanya jf iwe option ya Mwisho kuamini kwamba unaweza patia humo
Utaona inaishia na 35Nlikua nakunywa maji, nipigieeeee 😹😹😹
❤️❤️😍😍🙏🙏Kula chuma iko ❤️
Muda unaruhus step down rudi kwenye drawing board wakongwe hatushindwi jambo😂 😂 😂
Mzee mwenzangu 😤😤😤
Niliyakanyaga najipanga kivingine
Baharia huwa hafi bahariniMuda unaruhus step down rudi kwenye drawing board wakongwe hatushindwi jambo
🤣🤣Kwanza unakutana na aaaliyah unadhani Beyonce kumbe asha ngedere 🤣🤣🤣Mmmh!😉
Ni matumizi mabaya ya mapenzi kupenda usiyemjua huko mtaani kwani watu wameisha?
Uje...
Ungeongea nao vizuri hao walioleta feedback hawakutumia platform Hii kama first option walihangaika sana mtaaani baada ya kuona matokeo tasa ndo wakajaribu humuKwenye thread hizi mbili hapa chini, inaonesha JF ni kimbilio, na ni sehemu ya kwanza iliyo sahihi,
Je hawa wadau kwenye hizi thread mbili (kwa uchache watakuelewa kweli) kuwa JF ni option ya Mwisho?
😀😀Acha ubishiUngeongea nao vizuri hao walioleta feedback hawakutumia platform Hii kama first option walihangaika sana mtaaani baada ya kuona matokeo tasa ndo wakajaribu humu
Poa vipMambo 😢
Big point💪Kuna wasichana/wanawake wa kufaa kuwa wake.
Ni wewe tu na tabia zako humu jukwaani.
Huwezi kuchangia madudu au utoto mwingi ukamvutia mrembo anaye faa kuwa mke. Kwa mrembo huwezi kuchangia maujinga utegemee kumvutia mwanaume anayejitambua.
Huwezi kujiunga JF na kuanza kutafuta mwenza wa ndoa. Lazima uchangie mada nyingi watu wautambue uwezo wako, haiba yako, n.k.
Pokea simu basi....Ni
Niko Dsm
KabisaBaharia huwa hafi baharini
Nlitaka nishushe gazeti la Karne sema mambo mengi siwezi focus na simu😀😀Acha ubishi
KuchatKuchart [emoji777]
Kuchat [emoji3581]