zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Wewe naona tayari zimeshakupanda kichwani ngoja nakuja kukupa dawa yakoSasa hapo nani kapagawa 😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe naona tayari zimeshakupanda kichwani ngoja nakuja kukupa dawa yakoSasa hapo nani kapagawa 😅😅
Wewe ndio nilikua nataka ufunguke kuna dokta 'Johnny Sins' hapo juu kasema Warts haiponi yaan ina kawaida ya kupotea tu ila itarudi, sasa wewe Doktari unasemaje kuna ukweli hapo au ni kamba koche?Yap jamaa alikutana na scabies dawa zake ndo hizo scaboma au BBE,
genital warts ni kama seli zilizokufa na kurundikana huwezi sense kitu labda uzione au uzishike ndo utajua zipo
Zerominus10 katika mbili tatuWewe ndio nilikua nataka ufunguke kuna dokta 'Johnny Sins' hapo juu kasema Warts haiponi yaan ina kawaida ya kupotea tu ila itarudi, sasa wewe Doktari unasemaje kuna ukweli hapo au ni kamba koche?
Fanikio la kwanza ni kuondoa hizo warts japo virus zitabaki lakini kwa kutumia kinga condoms na kuepuka maambukizi mapya au kuchoma chanjo hivyo virusi huondoka vyenyewe ndani ya muda fulani mwaka 1 mpaka miaka miwili,Wewe ndio nilikua nataka ufunguke kuna dokta 'Johnny Sins' hapo juu kasema Warts haiponi yaan ina kawaida ya kupotea tu ila itarudi, sasa wewe Doktari unasemaje kuna ukweli hapo au ni kamba koche?
Kwa hio ukishautibu unakua umepona au ndio unakua umejificha kwanza then unarudi tenaFanikio la kwanza ni kuondoa hizo warts japo virus zitabaki lakini kwa kutumia kinga condoms na kuepuka maambukizi mapya au kuchoma chanjo hivyo virusi huondoka vyenyewe ndani ya muda fulani mwaka 1 mpaka miaka miwili,
sio virusi vya kutisha kwamba utaishia navyo milele, mwili ukishatengeneza kinga (antibodies) baada ya kuupata huo ugonjwa virusi vinashambuliwa na kuondoka vyenyewe cha msingi ni kuepuka maambukizi mapya kwa kuchoma chanjo au kutokuuza mechi
N B mi sio Daktari ila nafuatilia sana magonjwa ni kwa sababu ni mdau wa miti dawa au mitishamba (natural medicine) na lishe dawa (natural organic food)
Unaona hapo Doktari anasema kwamba huo ugonjwa bwana hauponi, kwa hio hapo sasa inakuaje?Viral disease haiponi hasa hizo warts zitarudi kwa wakati mwingine
Mkuu,hivi nawe ile issue yako ya kunuka papuchi ulipona?Shida ya hizo ni Virus kwahiyo utaishi navyo milele
Umetaka kuununua ugomvi unajua unaemuanzishia ugomvi lakini au unamsikia wewe shogamzee? Umeshatoka kufirwa muda huu? Ukiweka mguu naweka jiwe usinilete udumedada mbele yangu
Hii aliiandika wapi au mlisimuliana privateMkuu,hivi nawe ile issue yako ya kunuka papuchi ulipona?
Umemaliza kuwapa Dawa familia yako kwanza 😅Wewe naona tayari zimeshakupanda kichwani ngoja nakuja kukupa dawa yako
Kuna siku aliwahi kuleta mada humu.Hii aliiandika wapi au mlisimuliana private
Una ID ngapi kwani mboni unatapatapa?Umemaliza kuwapa Dawa familia yako kwanza 😅
Nipe link nisome huo uzi nijifunze kituKuna siku aliwahi kuleta mada humu.
Warts Remover OintmentHiyo dawa nimeshindwa kuisoma Jina lake,
Msaada kwenye tuta
Siukumbuki,ila mleta mada namkumbuka ni yeye.Nipe link nisome huo uzi nijifunze kitu