zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Sakanyoka hapo hata words alizoandika ni-searchSiukumbuki,ila mleta mada namkumbuka ni yeye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sakanyoka hapo hata words alizoandika ni-searchSiukumbuki,ila mleta mada namkumbuka ni yeye.
Mbona stage ya 4 umebadili upande wa dusheOyaaa wakatiii nina furaha kupitilizaa kuonaa vidude vinakaukaaa.. nikawa najiongeza kuvikata na kucha vile vidude mana vilikuwa vigumu vyeusii baada ya kutumia ile dawa..
Nikawa navinyofoa alaf naweka yale mafutaa baada ya mda naweka ile cream kudadekiiiiiiii skumaliza wiki mbili kama mshkaji wanguu ngoma ikakaa sawa vidude vikapoteaaa kabisaaa kabisaa ile dawa ikabakiii ya kutosha hahahahahahahahhaha
Baada ya kupona ndo nikaja kumsanua yule jamaa kama na mm nilikuw mgonjwaa...
Baada ya kuponaa uume wangu
Picha hapo chinii
View attachment 3192647
Oyaaa nilifurahiii sanaa kudadekiiiii
Sasa mtihani ulibaki hapaa.. vipi kuhusu yule dem? Basi me nikamsanua kama vile vidude vimepotea kabisa havipo kabisa yaaan hata alama tu ya warts haipooo... alishangaaa sanaaaa then akafurahi sanaa.. nikamwambia kabla ya kusex inabid tuende tukacheki kama una Virusi vya HPV na kam hauna basi upate kinga na mm nipate kinga maisha ya sex yarud kama kawaida.. kweli tukaenda kucheki, manzi matokeo yametoka yupo salama kabisa basi akapata chanjo na mm nkacheki bado virus ziko mwilin na nikaambiwa hizo zikifika haziondoki tena kweny damu so hazina madhara kam nitaimarisha tu kinga mwili.. aaah me nikaona poaaa tu ishu ni hivi vinyama bwanaa..
daaaaah yule demu hata kabla sjapiga c akafiwa bwana ikabidi aondoke kwao kigoma akazike daaah tangu kaondoka ajarud had leoo... na mm naogopa sana kupiga dem mwingne kwa kuhofia vidude vitarudi basi nikajikaza miezi ya mwanzo ile daaah sku nlvokuja kukamatia manzi niliosha kama akili sina but ni safe sex..
safari ilikuwa hivyo yaniii
Stage 1
View attachment 3192653
View attachment 3192654
Stage 2
View attachment 3192655
View attachment 3192657
View attachment 3192658
Stage 3
Matibabu
View attachment 3192659View attachment 3192660
View attachment 3192661
Stage 4
Kuponaa uzimaaaa
View attachment 3192663
Uzima raha wananguuuu
Naishukuru sana jamiii forums kwa kunisaidia kuipagana vita hiiii asehhh
SIKUSHAURI
kutokwenda hospital kama mimi..
Skwenda hospital kwasabb nilikuwa muoga wakuuu
namshukuru Mungu kwa kunionjesha ladha ya kuumwa na kuniponya maana hali ile ilinifanya nimkumbuke sana Sir God aseeh..
ugonjwa nimepona niko sawa kabisaa now..
Nimeshuhudia ili watu wajue kuwa Jamiiforums inaweza kuwa majibu ya maswali yako mengi magumu aseehh..
Nimemalizaa
Et eeeeh..Mkuu wewe haukuwa na genital warts, kwa sababu unadai gonjwa lilipuka kambini mkawa mnaambukizana kirahisi hiyo huenda ilikuwa tetekuwanga au scabies.
Genital warts sio gonjwa la mlipuko ni ugonjwa wa zinaa STD, na hutokea sehemu za siri tu that's why we have word 'genital' on it, ndo maana mtoa mada kwa miaka 7 zilikuwa zinamtokea sehemu za siri tu genital part, na si kwingineko.
Stupid ni wew na ukoo wako mpaka wa mumeo MFK'sHe has given the best advise to many
Wewe unaangalia mboo
Stupid fish
The fish has responded 😂😂😂😂Stupid ni wew na ukoo wako mpaka wa mumeo MFK's
Yeah DR SANTOS yuko sahihi kabisa..Doktari emu tolea ufafanuzi hapo kidogo ili utuongezee minyama, DR Mambo Jambo ufike huku utoe maelezo ya ziada kidogo
Kwa hio hapo Doktari inamaana kwamba kwa kutumia dawa na kupotea maana yake sio kwamba umewamaliza ila umewafubaza maana yake kwamba ukipiga mechi na mtu mwingine na game ikiwa kavu kavu bila condoms ni kwamba wale virus wana uwezo wa kumuingia yule ambae anafanya nae au hio pia ni ngumu pia?Yeah DR SANTOS yuko sahihi kabisa..
Virus wengi hasa hao HPV (human papillomavirus) can be 'Treated but Not cured"
Maana yake Inawesa Kutibiwa Ila haiwezi kupona kabisa na Inaweza Kurudi inategemea na Immune ya Muhusika pia..
Si Unafahamu hata Chicken Pox (Matete Maji/Tete Kuwanga) huwa yanatibika Ila Huwa hayaponi?
Na kama Kinga ya Mtu ikishuka ndo huwa Inafanya Reactivation kuwa Mkanda wa Jeshi?
So inshort yuko sahihi..
Kama Kuna Swali nitajitahidi kulijibu
Pitia pitia uzi uko juu kuna la kujifunza humuAbee
Kwamba nikatibiwe au?Pitia pitia uzi uko juu kuna la kujifunza humu
Pitia pitia uone mandonga mtu kaziKwamba nikatibiwe au?
Sawa mkuu nimeshapitiaPitia pitia uone mandonga mtu kazi
Bado hujapitia mkuuSawa mkuu nimeshapitia