USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

Oyaaa wakatiii nina furaha kupitilizaa kuonaa vidude vinakaukaaa.. nikawa najiongeza kuvikata na kucha vile vidude mana vilikuwa vigumu vyeusii baada ya kutumia ile dawa..
Nikawa navinyofoa alaf naweka yale mafutaa baada ya mda naweka ile cream kudadekiiiiiiii skumaliza wiki mbili kama mshkaji wanguu ngoma ikakaa sawa vidude vikapoteaaa kabisaaa kabisaa ile dawa ikabakiii ya kutosha hahahahahahahahhaha

Baada ya kupona ndo nikaja kumsanua yule jamaa kama na mm nilikuw mgonjwaa...


Baada ya kuponaa uume wangu
Picha hapo chinii


View attachment 3192647
Oyaaa nilifurahiii sanaa kudadekiiiii

Sasa mtihani ulibaki hapaa.. vipi kuhusu yule dem? Basi me nikamsanua kama vile vidude vimepotea kabisa havipo kabisa yaaan hata alama tu ya warts haipooo... alishangaaa sanaaaa then akafurahi sanaa.. nikamwambia kabla ya kusex inabid tuende tukacheki kama una Virusi vya HPV na kam hauna basi upate kinga na mm nipate kinga maisha ya sex yarud kama kawaida.. kweli tukaenda kucheki, manzi matokeo yametoka yupo salama kabisa basi akapata chanjo na mm nkacheki bado virus ziko mwilin na nikaambiwa hizo zikifika haziondoki tena kweny damu so hazina madhara kam nitaimarisha tu kinga mwili.. aaah me nikaona poaaa tu ishu ni hivi vinyama bwanaa..
daaaaah yule demu hata kabla sjapiga c akafiwa bwana ikabidi aondoke kwao kigoma akazike daaah tangu kaondoka ajarud had leoo... na mm naogopa sana kupiga dem mwingne kwa kuhofia vidude vitarudi basi nikajikaza miezi ya mwanzo ile daaah sku nlvokuja kukamatia manzi niliosha kama akili sina but ni safe sex..

safari ilikuwa hivyo yaniii
Stage 1

View attachment 3192653



View attachment 3192654


Stage 2

View attachment 3192655



View attachment 3192657



View attachment 3192658


Stage 3

Matibabu

View attachment 3192659View attachment 3192660


View attachment 3192661


Stage 4

Kuponaa uzimaaaa

View attachment 3192663

Uzima raha wananguuuu

Naishukuru sana jamiii forums kwa kunisaidia kuipagana vita hiiii asehhh
SIKUSHAURI
kutokwenda hospital kama mimi..

Skwenda hospital kwasabb nilikuwa muoga wakuuu
namshukuru Mungu kwa kunionjesha ladha ya kuumwa na kuniponya maana hali ile ilinifanya nimkumbuke sana Sir God aseeh..

ugonjwa nimepona niko sawa kabisaa now..

Nimeshuhudia ili watu wajue kuwa Jamiiforums inaweza kuwa majibu ya maswali yako mengi magumu aseehh..

Nimemalizaa
Mbona stage ya 4 umebadili upande wa dushe
 
Mkuu nisanue hiyo dawa bi mkubwa wangu zimejaa usoni
 
Mkuu wewe haukuwa na genital warts, kwa sababu unadai gonjwa lilipuka kambini mkawa mnaambukizana kirahisi hiyo huenda ilikuwa tetekuwanga au scabies.
Genital warts sio gonjwa la mlipuko ni ugonjwa wa zinaa STD, na hutokea sehemu za siri tu that's why we have word 'genital' on it, ndo maana mtoa mada kwa miaka 7 zilikuwa zinamtokea sehemu za siri tu genital part, na si kwingineko.
Et eeeeh..
Sasa jichanganye
 
Doktari emu tolea ufafanuzi hapo kidogo ili utuongezee minyama, DR Mambo Jambo ufike huku utoe maelezo ya ziada kidogo
Yeah DR SANTOS yuko sahihi kabisa..
Virus wengi hasa hao HPV (human papillomavirus) can be 'Treated but Not cured"

Maana yake Inawesa Kutibiwa Ila haiwezi kupona kabisa na Inaweza Kurudi inategemea na Immune ya Muhusika pia..

Si Unafahamu hata Chicken Pox (Matete Maji/Tete Kuwanga) huwa yanatibika Ila Huwa hayaponi?
Na kama Kinga ya Mtu ikishuka ndo huwa Inafanya Reactivation kuwa Mkanda wa Jeshi?
So inshort yuko sahihi..

Kama Kuna Swali nitajitahidi kulijibu
 
Yeah DR SANTOS yuko sahihi kabisa..
Virus wengi hasa hao HPV (human papillomavirus) can be 'Treated but Not cured"

Maana yake Inawesa Kutibiwa Ila haiwezi kupona kabisa na Inaweza Kurudi inategemea na Immune ya Muhusika pia..

Si Unafahamu hata Chicken Pox (Matete Maji/Tete Kuwanga) huwa yanatibika Ila Huwa hayaponi?
Na kama Kinga ya Mtu ikishuka ndo huwa Inafanya Reactivation kuwa Mkanda wa Jeshi?
So inshort yuko sahihi..

Kama Kuna Swali nitajitahidi kulijibu
Kwa hio hapo Doktari inamaana kwamba kwa kutumia dawa na kupotea maana yake sio kwamba umewamaliza ila umewafubaza maana yake kwamba ukipiga mechi na mtu mwingine na game ikiwa kavu kavu bila condoms ni kwamba wale virus wana uwezo wa kumuingia yule ambae anafanya nae au hio pia ni ngumu pia?

Tolea ufafanuzi hapo mkuu je unaweza kusambaza virusi pamoja na kwamba umetumia dawa ukavifubaza au hio pia inategemea na kinga mwili ya yule unaefanya nael?
 
Asili hua ina mambo ya ajabu sana.

Nilishawai kua na kisundo mithili ya hivyo vya warts, kilikua kimoja kushoto kwenye paji la uso.

Sikukitilia maanani saaana, kwasababu kipindi kile nilikua so stresssed na ajira nilio kua nafanya.

Mara moja moja nikiona kimekua, nilikua nakikata na Nailcuttor kinapungua size lkn kinarudi baada ya wiki.

Sasa sikumoja, kuna dogo alikua mwajiriwa mpya kazini, nikampokea akakaa kwangu kama mwezi hivi, ndo akanisanua broo hicho kata paka mavi ya mbuzi hakirudi tena 😀

Nikampuuzia tu, Fast foward imepita miezi 2 nikatoka kwenye ile ajira, nikaingia DSM akili ilivokaa sawa ndo nikaanza kuona kama hiki kitu kina ni annoy tu.

Basi nikaamka na kuanza kusaka mavi ya mbuzi, mpaka nikayapata nikaokota 3

Nikarudi home, nika visawazisha usawa wa ngozi kwa kutumia nailcuttor(Vinatoa damu mno).

Nikapala yale mavi ya mbuzi nikalala, ahsubuhi nikaoga nikaendelea na kazi zangu.

Sasa imepita miezi kama 4 hivi, hakijawai kurudi, Pako shwari kabisa japo kuna kakovu.

Hili ni moja ya tukio linalonifanya niamini asili iko na majibu ya maswali mengi tunayo jiuliza
 
Back
Top Bottom