USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

Hivyo vi warts wengine huvisugua kwa maganda ya ndizi mixer mavi kidgo then vina potea kwa kukatika vyenyewe tu. Asili ina majibu ya maswali mengi ni kweli. Tatizo tunapataje kujua yote ya asili
 
Hahahahahaaaa,eti mkojo wa mbwa

Wanawake ni wafukunyuku,kuna mwanamke aliwah nichungulia matakoni wakati nimesinzia usiku na siku moja ananiambia nina alama za kulogwa matakoni
Nacheka kama mazuri 🤣🤣🤣 kuumwa sikia tu kaka
 
Kujichekesha na furaha ya Mwamba vimeishia hapa
Yaan happiness ya kushinda hii vita haiwezi kuharbiwa na comment za namna hiii🤣🤣
Nina muongozo wa nini nifanye aseeh ili niwe salama mimi na mwenza wangu
 
Kweli kabisa niliambiwa niimarishe kinga ya mwili kwa kufanya mazoezi na vyakula vya mbogamboga tangu hapo gud clean kabisa
 
Brother sitokuja kuumwa gono maisha had nakufa hilo nina uhakika...
Siri ya gono kwa wanaume ni kuokota madem wachafu wale wa stend na wasio na kwao
Huyo unaemuonesha rungu Miss Natafuta anatafuta kweli atakusaka umkamie, mimi ngoja niishie hapa ukipata lingine fanya hivi hivi sasa ufanye mpango wa gonjwa lingine hatari hatari kulisakia dawa yake anza na Gonno
 
Warts hata vidoleni hutokea
Ninacho hapa na sijawahi kuwa aware nacho,nilikikata sikumbuki but nadhani mwaka uliopita mwanzoni sasa kinarudi na nina ndugu zangu watatu wana hali hii mmoja vipo shingoni wengine vipo kwenye viwiko vya mikono

So mkuu ni kusema hiyo nayo ni HPV?
DR Mambo Jambo
kama una cha kusema weka neno!
 
Nilipona mkuu tena baada ya hiyo dawa inaitwa scaboma chap tuu..

Alafu mkuu nikufundishe kitu
Usipende sana mambo ya kunyonyana sio wewe wala yeye... Kansa ya koo hata wewe inaweza kukupata ..
Acha kemea hilo pepo
We ulikuwa unaumwa ukurutu
 
Asante kaka me tayr nikichoma kinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…